Japo ' Wanachukiwa ' na wengi ila hadi hivi leo bado sijaona Baba wa ' Promo ' Tanzania nzima kama Clouds Media Group

Japo ' Wanachukiwa ' na wengi ila hadi hivi leo bado sijaona Baba wa ' Promo ' Tanzania nzima kama Clouds Media Group

Watu zaidi ya elfu 18 unawaita kiduchu ni zaid ya capacity ya Shamba la Bibi inakoenda kufanyika Fiesta
Kwa mujibu wa wikipedia
Screenshot_20191204-181013.jpeg
 
Shamba la Bibi inaingiza Watu 18000? Acha Kunilazimisha nianze ' Kukudharau ' japo nilishakuwa na hilo wazo la ' Kukudharau ' Kitambo tu. Ninachojua kwa mujibu wa Takwimu za Mzee Matoke Shamba la Bibi ( Uwanja wa Uhuru ) unaingiza Watu takribani 39000 hadi 40000 hivyo kama Fiesta ikifanyika hapo Clouds Media Group watakuwa ' wameula ' na watapata Faida Kubwa mno kuliko hata lile Tamasha la Wasafi. Kataa uwezavyo ila kwa Tanzania nzima Baba na Mama wa ' Promo ' ni Clouds Media Group. Nimemaliza.
Watu kweli watakuwa wengi ila faida watapataje kwa kiingilio kidogo hivi au sponsor ndio analeta faida?
Wakilipia watu 40,000 kwa shilingi 3000 ni sawa sawa na sh 120m.
Toa kodi ya VAT kama (18m)
Toa malipo wasanii (40m) kima cha chini 1m kila mmoja wako 40
Toa walinzi, polisi, kokodi uwanja, crew, music system,usafiri, generators n.k. (30m)
Promo, perdiem, allowance (10m)
Inabaki milioni 22m tu??

Hizi ni hesabu za makisio tu, inawezekana kuna namna watapata faida zaidi lakini kutokana na kiingilio bado haitakuwa kubwa ukizangatia wanaoenda matamasha ya aina hiyo hawapendi aghali.....

Pengine ndio maana kijana mwenye tamasha lake anapiga maneno kuhusu viingilio.
 
Back
Top Bottom