Japo wenye Maono ya Kimpira tulisema tumeshatoka, ila yafuatayo kadhaa yamechangia kabisa Kaizer Chiefs FC Kufuzu kwa Aggregate ya 4 - 3

Ila waganga nao walifanya kazi kubwa sana,wale kaizer mpira walikua awauoni kabisa 😀,waganga wapewe heko zao kwa kweli
 

Attachments

  • VID-20210522-WA0014.mp4
    6.1 MB
Asilimia kubwa wachezaji walijitahidi na kujitoa Sana..

Kuhusu kukosa magoli sio Mugalu Peke yake hata Bocco, Morrison, Chama walikosa.

Game ilikuwa ya Presha Sana
 
Nimekusoma hapa.

1. Mugalu michosho.
2. Ubinafsi wa wachezaji.

Hayo mawili pekee yangefanyiwa kazi haraka jana, wale Kaizer wangetoka mapema sana, bado siamini inakuwaje kocha hakuona kabisa umuhimu wa Kagere kwenye ile mechi.
 
Kocha De Rosa ana leseni ya ukocha daraja A ya Uefa, ana uzoefu wa kutosha ktk coaching,,, anakaa na wachezaji kuanzia mazoezini mpaka kwenye mechi
Anajua uimara na udhaifu wa kila mchezaji, ana wasaidizi waliobobea ktk soka kuanzia Matola, Kocha wa makipa, Kocha wa physics, game analyst na wengne

Sisi mashabk tunamuona mchezaji katika muda usiozidi dk 90 tu,, wengi wetu hatuna taaluma ya ukocha

Mechi ya mwisho ya makundi dhidi ya Ahly Kagere alianza ile game ila Simba haikuwa tishio kabisa pale mbele, nafasi tulizotengeneza hazikuzidi hata Tatu,
Lakini akicheza Mugalu basi Simba inatengeneza nafasi za kutosha kabisa kuimaliza hio game, na tunakuwa tishio kwelikweli pale mbele,, hvyo inawapa fursa wachezaji wengne waweze kuscore kwasbb attention ya mabeki wawili wa kati inakuwa dhidi ya The StrongMan Mugalu



Sasa unapoanza kusema kwann hakumpanga Kagere badala ya Mugalu, unaonesha kiwango chako cha ungumbalu, upopoma na ushabk maandazi
 
Ingawa mimi nililiona la ubinafsi na morison kucheza na jukwaa, pia boko alikosa umakini mno kila sehemu yeye ni kupiga shuti hata sehemu za kupress tu yeye shuti, by the way upo sahihi kwa asilimia nyingi sana
 
Na ni Popoma 1st class...Eti anazungumzia ubinafsi wa mpira na kukosa magoal. Ni striker gani Dunian hapa hakosi magoal..Anzia kwa lewandosk mpka kwa kina Tammy abrahm...akina rashford hadi kwa kina benzema...
 
Alishamaliza Sub, alitoka mzamiru, akatoka taddeo akatoka Onyango......
subs ziliongezwa sababu ya covid ni 5 siyo tatu alikuwa na chance mbili kuna wakati niltamani aingie hata bwalya atoke mugalu sema jamaa lina nguvu lilikuwa linasukumana na mabeki linamsafishia njia boko na chama
 
wengine wamechambua ila wewe umemaliza kama manara hanapitia aubebe huu shauri kama ulivyo
 
Mkuu GENTAMYCINE ,una kipaji kikubwa sana.
Ila sijui ni kipaji gani.
Kongole sana.
Pia umeandika ukweli kwa asilimia 85.
 
Pumbavu.
 
Achana nae huyo Authentic Idiot Mkuu.

Cc: Kajole
 
Huna Hadhi Kubishana nami Kisoka Ok?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…