Japo Yanga inamtenga na kumchukia lakini Mzee wa Utopolo anabaki kuwa shabiki wa Yanga mwenye mvuto zaidi

Japo Yanga inamtenga na kumchukia lakini Mzee wa Utopolo anabaki kuwa shabiki wa Yanga mwenye mvuto zaidi

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Huyu mwamba yuko level nyingine kabisa, huwezi kumlinganisha na akina Mwalimu Yanga au God Yanga ambao wanaonekana kupendwa zaidi na uongozi.
images (17).jpeg


Ushauri: club ya Yanga isimtenge mzee wa utopolo. Ndiyo ana wadhamini kadhaa wanaomwezesha kusafiri mikoa mbalimbali kuifuata timu ila ukiongea naye chemba anaumia kutengwa waziwazi na baadhi ya watu wanamwambia kabisa hawampendi.

Sababu wanayotoa ni kwamba yeye ndiye alipelekea Yanga kuitwa Utopolo.
 
Yanga wanataka mashabiki ambao wanaisema Yanga positive na kuisema negative Simba muda wote.

Ikitokea shabiki yeyote anakosoa mchezaji wa Yanga hata kama ukosoaji wake ni sahihi bado huyo shabiki watamchukia.

Mzee wa Utopolo nikama Club imeamua rasmi kumtenga nadhani hiyo ni kutokana na hisia zake kile kipindi ambacho Yanga haifanyi vizuri.

Hisia zake zimepelekea mpaka leo Yanga wapate jina baya ambalo wote wanalichukia.

Huyu jamaa nakumbuka mwaka juzi kwenye ile ofa aliyotoa raisi ya tiketi za kwenda SA jamaa walimuengua. Na hata ile ya fainali nayo pia nayo aliliwa kichwa.

Kwenye kijiwe cha Station tayari Dosa naye wamemla kichwa kwasababu tu alimsifia Debora Mavambo kwenye game ya mwisho dhidi ya Tripoli.

Ni aina ya mashabiki wenye mambo ya ajabu ambao hawaendani na falsafa ya michezo kuwa fair dhidi ya mpinzani ikiwemo na ku appreciate ubora wao.

Kipindi Chama yupo Simba, Hersi aliwahi kusema anampenda Chama na anatamani siku moja aje Yanga kwasababu ni mchezaji mzuri.

Lakini leo maneno hayo akisikika shabiki wa Yanga anayatoa basi yupo hatarini sana ya kuwekewa vikwazo vingi vyenye hila ndani yake.
 
Yanga wanataka mashabiki ambao wanaisema Yanga positive na kuisema negative Simba muda wote.

Ikitokea shabiki yeyote anakosoa mchezaji wa Yanga hata kama ukosoaji wake ni sahihi bado huyo shabiki watamchukia.

Mzee wa Utopolo nikama Club imeamua rasmi kumtenga nadhani hiyo ni kutokana na hisia zake kile kipindi ambacho Yanga haifanyi vizuri.

Hisia zake zimepelekea mpaka leo Yanga wapate jina baya ambalo wote wanalichukia.

Huyu jamaa nakumbuka mwaka juzi kwenye ile ofa aliyotoa raisi ya tiketi za kwenda SA jamaa walimuengua. Na hata ile ya fainali nayo pia nayo aliliwa kichwa.

Kwenye kijiwe cha Station tayari Dosa naye wamemla kichwa kwasababu tu alimsifia Debora Mavambo kwenye game ya mwisho dhidi ya Tripoli.

Ni aina ya mashabiki wenye mambo ya ajabu ambao hawaendani na falsafa ya michezo kuwa fair dhidi ya mpinzani ikiwemo na ku appreciate ubora wao.

Kipindi Chama yupo Simba, Hersi aliwahi kusema anampenda Chama na anatamani siku moja aje Yanga kwasababu ni mchezaji mzuri.

Lakini leo maneno hayo akisikika shabiki wa Yanga anayatoa basi yupo hatarini sana ya kuwekewa vikwazo vingi vyenye hila ndani yake.
Mbona ni swala jepesi tu hilo halihitaji mkalimani, mwalimu wala nini kuelewa kuwa hajatengwa bali kapewa fursa ya kushangilia timu ambayo sio utopolo. Kaiona Yanga ni utopolo asa kwanini uangaike na utopolo wakati timu zipo nyingi? Umeshikishwa bunduki kushabikia? Huyo kapewa somo kuwa akashabikie timu nyingine ambayo sio utopolo
 
Yanga wanataka mashabiki ambao wanaisema Yanga positive na kuisema negative Simba muda wote.

Ikitokea shabiki yeyote anakosoa mchezaji wa Yanga hata kama ukosoaji wake ni sahihi bado huyo shabiki watamchukia.

Mzee wa Utopolo nikama Club imeamua rasmi kumtenga nadhani hiyo ni kutokana na hisia zake kile kipindi ambacho Yanga haifanyi vizuri.

Hisia zake zimepelekea mpaka leo Yanga wapate jina baya ambalo wote wanalichukia.

Huyu jamaa nakumbuka mwaka juzi kwenye ile ofa aliyotoa raisi ya tiketi za kwenda SA jamaa walimuengua. Na hata ile ya fainali nayo pia nayo aliliwa kichwa.

Kwenye kijiwe cha Station tayari Dosa naye wamemla kichwa kwasababu tu alimsifia Debora Mavambo kwenye game ya mwisho dhidi ya Tripoli.

Ni aina ya mashabiki wenye mambo ya ajabu ambao hawaendani na falsafa ya michezo kuwa fair dhidi ya mpinzani ikiwemo na ku appreciate ubora wao.

Kipindi Chama yupo Simba, Hersi aliwahi kusema anampenda Chama na anatamani siku moja aje Yanga kwasababu ni mchezaji mzuri.

Lakini leo maneno hayo akisikika shabiki wa Yanga anayatoa basi yupo hatarini sana ya kuwekewa vikwazo vingi vyenye hila ndani yake.
Ni lini wewe binafsi umekuwa fair kwa Yanga? Ni kwamba huoni ubora wa Yanga au nawewe unaendeshwa na ushabiki kindakindaki ambao unataka mashabiki wa Yanga wauache?
 
Mbona ni swala jepesi tu hilo halihitaji mkalimani, mwalimu wala nini kuelewa kuwa hajatengwa bali kapewa fursa ya kushangilia timu ambayo sio utopolo. Kaiona Yanga ni utopolo asa kwanini uangaike na utopolo wakati timu zipo nyingi? Umeshikishwa bunduki kushabikia? Huyo kapewa somo kuwa akashabikie timu nyingine ambayo sio utopolo
We hujawahi kuikosoa Yanga kwa namna yeyote ile?
 
Wa
Yanga wanataka mashabiki ambao wanaisema Yanga positive na kuisema negative Simba muda wote.

Ikitokea shabiki yeyote anakosoa mchezaji wa Yanga hata kama ukosoaji wake ni sahihi bado huyo shabiki watamchukia.

Mzee wa Utopolo nikama Club imeamua rasmi kumtenga nadhani hiyo ni kutokana na hisia zake kile kipindi ambacho Yanga haifanyi vizuri.

Hisia zake zimepelekea mpaka leo Yanga wapate jina baya ambalo wote wanalichukia.

Huyu jamaa nakumbuka mwaka juzi kwenye ile ofa aliyotoa raisi ya tiketi za kwenda SA jamaa walimuengua. Na hata ile ya fainali nayo pia nayo aliliwa kichwa.

Kwenye kijiwe cha Station tayari Dosa naye wamemla kichwa kwasababu tu alimsifia Debora Mavambo kwenye game ya mwisho dhidi ya Tripoli.

Ni aina ya mashabiki wenye mambo ya ajabu ambao hawaendani na falsafa ya michezo kuwa fair dhidi ya mpinzani ikiwemo na ku appreciate ubora wao.

Kipindi Chama yupo Simba, Hersi aliwahi kusema anampenda Chama na anatamani siku moja aje Yanga kwasababu ni mchezaji mzuri.

Lakini leo maneno hayo akisikika shabiki wa Yanga anayatoa basi yupo hatarini sana ya kuwekewa vikwazo vingi vyenye hila ndani yake.
Wana roho za kimaskini..kichawi...
Mbona 62Gb sijui aliisema wee Simba ila mbona yupo kwny ziara za,Ahmed Aly...yule sijui Agy simba alitoa maneno gani sijui wakamfungia..ila kifungo kimeisha huyo yuko zake uwanjani na shangwe linaendelea...ila utopolo wana mioyo ya kijini yani awe mchezaji sijui shabiki aende kinyume chao atajua hajui ..wanaweza kumfanya hata msukule....😃😃
 
Wanayanga mtanisamehe ila jina la "Yanga" limekaa kienyeji sana. Ni kama jina unalotegemea kulisikia katika kibanda cha wac*w. Kuna wakati nahisi ni moja ya vifaa vinavyotumika kurogea watu. Halina tofauti sana na Utopolo.
 
Wanayanga mtanisamehe ila jina la "Yanga" limekaa kienyeji sana. Ni kama jina unalotegemea kulisikia katika kibanda cha wac*w. Kuna wakati nahisi ni moja ya vifaa vinavyotumika kurogea watu. Halina tofauti sana na Utopolo.
Kweli bhana hata mimi timu hii nilishindwa kuipenda tangu utoto wangu kwa sababu Jina Baya nilikuwa sielewi maana yake nikaona litakuwa timu la wachawi Acha nijitoe
 
Huyu mwamba yuko level nyingine kabisa, huwezi kumlinganisha na akina Mwalimu Yanga au God Yanga ambao wanaonekana kupendwa zaidi na uongozi.
View attachment 3107400

Ushauri: club ya Yanga isimtenge mzee wa utopolo. Ndiyo ana wadhamini kadhaa wanaomwezesha kusafiri mikoa mbalimbali kuifuata timu ila ukiongea naye chemba anaumia kutengwa waziwazi na baadhi ya watu wanamwambia kabisa hawampendi.

Sababu wanayotoa ni kwamba yeye ndiye alipelekea Yanga kuitwa Utopolo.
Nani kakwmbia anatengwa? Au we we ndo unamtenga?
 
Back
Top Bottom