Japokuwa Simba tuna mechi ngumu na Waydad tumejipanga kuchukua point 3

Japokuwa Simba tuna mechi ngumu na Waydad tumejipanga kuchukua point 3

Tunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu.

Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio team ya kukaa mkiani.

Simba nguvu moja.
View attachment 2836205
Huu upumbavu sijui utaisha lini kwa timu za Tanzania. Siyo Simba tuu hata yanga wote mnahara tuu nje ya uwanjà. Mnakera sanaa.
 
Tunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu.

Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio team ya kukaa mkiani.

Simba nguvu moja.
View attachment 2836205
Wabongo tunapenda sana kupeana matumaini ya uongo yaani bongo ukiwa mkweli unaitwa "mwenye roho mbaya". Kwa mtu yoyote anaejua mpira ashaona simba inapigwa jumamosi, ni suala la kuwa neutral tu utauona ukweli wala sio roho mbaya
 
Back
Top Bottom