Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Huu upumbavu sijui utaisha lini kwa timu za Tanzania. Siyo Simba tuu hata yanga wote mnahara tuu nje ya uwanjà. Mnakera sanaa.Tunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu.
Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio team ya kukaa mkiani.
Simba nguvu moja.
View attachment 2836205
Wabongo tunapenda sana kupeana matumaini ya uongo yaani bongo ukiwa mkweli unaitwa "mwenye roho mbaya". Kwa mtu yoyote anaejua mpira ashaona simba inapigwa jumamosi, ni suala la kuwa neutral tu utauona ukweli wala sio roho mbayaTunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu.
Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio team ya kukaa mkiani.
Simba nguvu moja.
View attachment 2836205
Hayo ni maono yako ndugu shabiki, ila kiuhalisia tupo Morroco kuchukua point 3ashaona simba inapigwa jumamosi
We mwehu (utani ) nani ana haki mbaya wakati mna point 1[emoji12]
Tulishinda Makolo day.Unaizungumzia hii Simba ambayo mwaka huu haijashinda mchezo wowote wa kimataifa
Mwenyekiti afukuzwe kwanzaTunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu.
Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio team ya kukaa mkiani.
Simba nguvu moja.
View attachment 2836205