Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu

Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu

Duh ana bwana mwarabu naona anautumia vyema mtandao unaompa zaidi, ila hongera zake bana si haba!
 
mnaropoka xana kwa mazuri mpongezen achen wivu, nyie mmechangia sh ngap mbna wakuda hvyo?
 
Style za kulenda ujiko mjini!bab kubwa wolper afadhali umekita doo la maana kwa mkupo kulinda jina mjini na kuacha magazeti wapaishe kuliko kutoa kwa mafungu ili jina lizidi kuwa juu!
 
wewe una akiri fupi kama maisha ya funza. nani kakuburuza? Hutaki unaacha. pumbavu.

Usitumie kichwa kubebea masikio.
JF sio mtandao wa porojo na udaku...ushuzi wewee.
Kama hamna cha kuandika ni bora mtulize masaburi chini kisha msome vya wenzenu.

na kama hilo mtashindwa basi kila mmoja wenu akachukue kopo akachambe.
 
tatizo unavyoambiwa tanzania maskini unafiri wote ni maskini kama wewe....licha ya utajiri bado kutoa ni moyo.!!

Funga bakuli lako.
Kama huna cha kuandika kachkue kopo ukachambe...
Gagulo wewee
 
mwenzie jakcline patrik na mmewe wanatafutwa.....................
 
what ever the case,hata ka analiwa tigo and so on tuache utani huyo binti ana moyo,c rahisi kivile kutoa dola elf10,mola ambariki,amzidishie,aendelee kumpa moyo wa huruma,wangapi wana mihela hawajathubutu bhanaaaaa!!

do you know the state in which her parents live in? yani i fail to understand how how she could splash out all that money and yet her parents are eating grass.......!!! trust showbizz
 
Back
Top Bottom