Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ndo hiyo. Kumbe wasanii wa bongo wana hela.
Habari ndo hiyo hutaki unaacha.
source Radio pendwa na magazeti pendwa.
Maaavi...
Eti Kabisa huku unabana pua ''Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu''.
peleka huu ushuzi Facebook.
Hapa watu hawakurupuki wala kuburuzwa.
Mbona hata wewe uchumi unao lakini unaukalia tu!!??.....
aiseee!Maaavi...
Eti Kabisa huku unabana pua ''Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu''.
peleka huu ushuzi Facebook.
Hapa watu hawakurupuki wala kuburuzwa.
wewe una akiri fupi kama maisha ya funza. nani kakuburuza? Hutaki unaacha. pumbavu.
tatizo unavyoambiwa tanzania maskini unafiri wote ni maskini kama wewe....licha ya utajiri bado kutoa ni moyo.!!
angekuwa ana M.15 siangebadilisha gari , mbona anaendesha toyota starlet ya M.4jamani acheni uongo mbona mke wake sajuki amesema wamepata mil 19 kama jack angekua amechanga hizo hela basi c ingepita milioni 25
Funga bakuli lako.
Kama huna cha kuandika kachkue kopo ukachambe...
Gagulo wewee
Nani amekwambia atamwagwa?
All in all kutoa ni moyo,kuna wangapi wenye pesa kuliko yeye lakini bado hawajaguswa?
what ever the case,hata ka analiwa tigo and so on tuache utani huyo binti ana moyo,c rahisi kivile kutoa dola elf10,mola ambariki,amzidishie,aendelee kumpa moyo wa huruma,wangapi wana mihela hawajathubutu bhanaaaaa!!
Duh ana bwana mwarabu naona anautumia vyema mtandao unaompa zaidi, ila hongera zake bana si haba!