Jaribio la kugomea Sensa: Mwitikio wa Serikali

Jaribio la kugomea Sensa: Mwitikio wa Serikali

Kwanini sintoshoriki zoezi la sensa
mimi ni mkiristo wa dhehebu la rc.katika mafundisho yetu yesu alizaliwa wakati wa zoezi la sensa hivyo imani ya dini yangu haipingani na zoezi hilo.
Pia naelewa zoezi hili ni muhimu kwa ajili ya serikali kujua idadi ya watu wake ili iweze kupanga mipango ya maendeleo kulingana na idadi hiyo.
Pamoja na kutambua yote hayo nimeamua kutoshiriki zoezi hilo kwa sababu kuu zifuatazo
kama serikali iliweza kulazimisha tununue ndege ya thamani hata kama wananchi watakula nyasi zoezi hili ni kiini macho.serikali makini inajali huduma muhimu za wananchi na sio huduma za mtu mmoja mmoja.
Kama serikali imeshindwa kuwalipa madokta na walimi kwa kisingizio haina pesa na wakati huo huo imeendelea kuwaongeza wabunge marupurupu na posho zao pia imeendelea kununua magari ya thamani,kuongeza mikoa,wilaya na kuwa na baraza kubwa la mawaziri bado zoezi la sensa halina maana.
Kama viongozi wa serikali na wabunge wanaendelea kupelekwa kutibiwa india badala ya kuimarisha hosptal zetu sijui wanataka wajue idadi yetu ili wafanyeje.
Kama bajeti za wizara nyeti kama afya na elimu hazitengewi bajeti ya kutosha ni mipango gani watakayoipanga baada ya kutuhesabu
sababu ni nyingi siwezi kuzitaja zote nitawachosha ila kesho sihesabiwi
 
Ili twende sawa ni lazima michanganuo inayopelekwa na waislam ijumlishwe na bilioni 331 mlizogaina hapo awali. na serikali isiyo na dini ijiandae kugawa mabilioni kwa Wahindu/buddha/wapagani/wasio na dini etc.

Hapo manta hofu! Kwani hizo pesa hazikutolewa kuchonga misalaba ati! Ni kuhudumia jamii yote wakiwemo, waislamu, wakristo, na wapagani! Hivyo basi kwa kazi ambayo imefanyika budi wahusika wapongezwe kwa huduma walio itoa badala ya serkali! Hivyo basi na nyie ombeni zaidi ya hapo ili muhudumie mpate thawabu? au? kurudisha hiyo pesa manake ni kuwabebesha wananchi mzigo wa nazi ngata kifuu! Ombeni hela mbona zipo, kijiba cha roho kunani? miratul rasul, au?
 
Wewe si mkatoliki, kwanza hata dhehebu lenyewe hulijui labda ungeandika kwa herufi kubwa ROMAN CATHOLIC (R.C). Pia hoja zako hazina mashiko.
 
matokeo ya sensa 2012 waislamu asilimia 75, wakristu20, wapagani 5, haya semeni wala kitimoto mnataka nini tena?
 
hoja zako zina mashiko kwa watu wenye kufikiri, maana tukisema wenye akili wako wengi lakini wenye kufikiri ni wachache.
Pia unapojibu hoja usitangulize maslai binafsi, au kutumika maana hata kama ni msomi hoja zako zitakuwa hazina maana zaidi ya jazba.
MIMI SIHESABIWI!!!!!!!!!!!!
 
Suala la msingi hii SENSA HAITOFANIKISHA LENGO LILILOKUSUDIWA.

Kama serikali inataka kujua idadi ya raia wake ili wapange maendeleao, suala ni rahisi sana na lakudumu sio la siku moja, watu waliopanga ili kuchota serikalini kujiwekea hela za uchaguzi.

Serikali iweke utaratibu wa kudumu ambao utawawezesha kujua idadi ya watu wao, wanaozaliwa na wanaokufa, wanaotoka nje ya nchi na wanaoingia kila siku kila saa, kila wiki, kila mwezi, kila mwaka.

kwa kuwa tulichelewa, serikali bado ina nafasi ya kutumia zoezi la kupata kitambulisho cha taifa kama kuweka database ya kudumu ya raia wake.
Wakati huo huo, kuweka utaratibu utakaomlazimisha kila mtoto anayezaliwa kupata cheti cha kuzaliwa kupitia rita, ambao wata upload hizo details kwenye database ya utambulisho wa taifa.
Pia kuweka utaratibu utakaomfanya kila anayekuwa apate cheti cha kifo hivyo kuwatoa wale wanaokufa kwenye database.
utaratibu huu ni rahisi kuuweka kwa kusema, Kila mtoto anayezaliwa lazima apate cheti, hatosoma shule yoyote bila kupata cheti, iwapo hana, akakate cheti ndio aanze chekechea, darasa la kwanza, form 1, form5, chuo and so forth.
Kuondoa option za mtu kupata passport ya kusafiria kwa kusema, only cheti cha kuzaliw andio kitatumika kupata passport ya kusafiria kuongeza utambuzi wa raia wako.
Kuweka amri ya mtu hapati leseni ya udereva bila cheti cha kuzaliwa (na polisi wawe na kitengo kitakachoweza kuhakiki cheti hicho kupitia rita) ili kuongeza utambuzi.
na mambo mengine mengi ya kufanya kulazimisha kila raia atambulike ambayo yanaweza kufanyika kwa kudumu,

Lakini hawa ndugu wanataka kutoa hela hazina ya kufanyia mambo yao, maana in reality ni ngumu sana kupata hata makadirio ya sensa, maana kama itadanganya idadi, basi ni more than 50%
 
Wewe si mkatoliki, kwanza hata dhehebu lenyewe hulijui labda ungeandika kwa herufi kubwa ROMAN CATHOLIC (R.C). Pia hoja zako hazina mashiko.
Hata mie nahisi hivyo kwa kusoma hapo red. Yesu alizaliwa wakati wa sensa? Over My Dead Body! Sijui ni biblia gani ameisoma asee!!

Kwanini sintoshoriki zoezi la sensa
mimi ni mkiristo wa dhehebu la rc.katika mafundisho yetu yesu alizaliwa wakati wa zoezi la sensa hivyo imani ya dini yangu haipingani na zoezi hilo.
Pia naelewa zoezi hili ni muhimu kwa ajili ya serikali kujua idadi ya watu wake ili iweze kupanga mipango ya maendeleo kulingana na idadi hiyo.
Pamoja na kutambua yote hayo nimeamua kutoshiriki zoezi hilo kwa sababu kuu zifuatazo
kama serikali iliweza kulazimisha tununue ndege ya thamani hata kama wananchi watakula nyasi zoezi hili ni kiini macho.serikali makini inajali huduma muhimu za wananchi na sio huduma za mtu mmoja mmoja.
Kama serikali imeshindwa kuwalipa madokta na walimi kwa kisingizio haina pesa na wakati huo huo imeendelea kuwaongeza wabunge marupurupu na posho zao pia imeendelea kununua magari ya thamani,kuongeza mikoa,wilaya na kuwa na baraza kubwa la mawaziri bado zoezi la sensa halina maana.
Kama viongozi wa serikali na wabunge wanaendelea kupelekwa kutibiwa india badala ya kuimarisha hosptal zetu sijui wanataka wajue idadi yetu ili wafanyeje.
Kama bajeti za wizara nyeti kama afya na elimu hazitengewi bajeti ya kutosha ni mipango gani watakayoipanga baada ya kutuhesabu
sababu ni nyingi siwezi kuzitaja zote nitawachosha ila kesho sihesabiwi
 
Aksante pamoja na mtizamo wako hasi, umeuliza swali zuri kwa nini inaogopa matokeo ya swali la sensa? Historia sahihi inaonesha Waislamu ni wengi katika nchi hii maana walikuwa hivyo sensa ya mwisho ya mkoloni 1957, Lakini pia katika Dunia makadirio ya ongezeko la watu kufuatana na dini zao yalifanywa kati ya mwaka 1935 na 1985 na matokeo kwa dini mbili kuu duniani yalikuwa hivi: Islam 235% increase, and Christianity 78% maana yake kama Tanzania ni subset ya dunia na growth rate ya kidunia ni hivyo na kwamba 1957 waislamu walikuwa wengi then automatically sensa yenye kipengele cha dini itaonesha waislamu ni wengi. HATA hivyo mtoa mada anaweza kunifafanulia zaidi:


  1. Kwa nini taasisi mbalimbali za serikali na binafsi zimekua zikitoa takwimu za watu na dini zao?
Mfano0fisi ya waziri mkuu inadai wakristo ni 45%-waislamu 35%. TBC1, imetangazawakristo ni 52%-waislamu 32%.Bodi ya watalii -Christianity and Islam are the predominantreligions of Tanzania. About 40-45% of the population practice Christianity,about 35-40% practice Islam.,Tovuti kikatoliki (RCNet) waislamu 34%- na wakristo ni 44%


a) kwa nini takwimu zinatofautiana? na b)kwa nini pamoja na kutofautiana zotezinaonesha wakristo ni wengi kuliko waislamu?

Ukiamua kuchunguza takwimu nyingine (zisizohusiana na dini) kama idadi ya waathirika wa ukimwi, idadi ya watu wanaojua kusoma na kuandika n.k utakuta kuna utofauti mkubwa kutegemeana na taasisi/mtu gani kazitoa. Hili la kudhani kuwa tofauti za idadi ya waislamu/wakristo linafanywa ili wakristo wapendelewe ni hisia tu ambazo mtu akiamua kutokuwa biased atagundua kuwa ukweli uko tofauti na hisia hizo.

Kuna waislamu wengi tu serikalini, iweje wakubali ukandamizaji wa kiserikali dhidi yao? It doesn't make sense to me!
 
Kwanini sintoshoriki zoezi la sensa
mimi ni mkiristo wa dhehebu la rc.katika mafundisho yetu yesu alizaliwa wakati wa zoezi la sensa hivyo imani ya dini yangu haipingani na zoezi hilo.
Pia naelewa zoezi hili ni muhimu kwa ajili ya serikali kujua idadi ya watu wake ili iweze kupanga mipango ya maendeleo kulingana na idadi hiyo.
Pamoja na kutambua yote hayo nimeamua kutoshiriki zoezi hilo kwa sababu kuu zifuatazo
kama serikali iliweza kulazimisha tununue ndege ya thamani hata kama wananchi watakula nyasi zoezi hili ni kiini macho.serikali makini inajali huduma muhimu za wananchi na sio huduma za mtu mmoja mmoja.
Kama serikali imeshindwa kuwalipa madokta na walimi kwa kisingizio haina pesa na wakati huo huo imeendelea kuwaongeza wabunge marupurupu na posho zao pia imeendelea kununua magari ya thamani,kuongeza mikoa,wilaya na kuwa na baraza kubwa la mawaziri bado zoezi la sensa halina maana.
Kama viongozi wa serikali na wabunge wanaendelea kupelekwa kutibiwa india badala ya kuimarisha hosptal zetu sijui wanataka wajue idadi yetu ili wafanyeje.
Kama bajeti za wizara nyeti kama afya na elimu hazitengewi bajeti ya kutosha ni mipango gani watakayoipanga baada ya kutuhesabu
sababu ni nyingi siwezi kuzitaja zote nitawachosha ila kesho sihesabiwi
Sijaona umuhimu wa kutumia Roman Cathoric hapo na blaaa blaaa zako sinazoonesha hata hilo dhehubu lenyewe na viatabu vyake hauvijui. Kama maamuzi ya kutoshiriki ni yako usiingize dini sababu kuna vifungu kibao vitakavyokurazimisha kushiriki.
 
kama ukisoma biblia wakati Yesu anazaliwa wazazi wake walikuwa wameenda kushiriki kwenye zoezi la kuhesabiwa
swala la mimi kuwa mkatoriki au sio mkatoriki halikuhusu kwani wewe siyo uliyonibatiza ila swala langu la kutoshiriki zoezi hilo halihusiani ma maswala ya kiimani
 
Ume qoute lakini hujajibu hata hoja moja katiak kiambatanisho.
Pamekuwa na watu ambao wanaona Waislamu ni wajinga.Nimeambatanisha makala ya msomi wa Kiislamu na hoja alizotoa.
Changia hoja la sivyo kaa kimya.

Najibu hoja juu ya sheria ya ndoa. Huyo uliem-quote kaamua (ama kwa makusudi which means ana lengo la kupotosha, ama kwa bahati mbaya which means hajaisoma vizuri hiyo sheria) kutoainisha kuwa sheria ya ndoa inatambua ndoa za kidini, kimila na kiserikali. Kwa maana hiyo, ndoa inaweza kuwa ni halali kiserikali lakini isiwe halali kidini. Kwa sheria kutambua uhusiano wa mwanamke na mwanaume walioishi pamoja kwa angalau miaka miwili (2) kuwa ni ndoa kulikuwa na lengo la kumlinda mwanamke (kumbuka katika mahusiano ya namna hiyo si rahisi mwanamke akae kinyumba na mwanaume halafu achukuliwe kuwa sawa na yule ambae hakuwa na mwanaume).

Suala la kuwa serikali inakubali uzinifu halina mashiko kwa kuwa hata ndoa ya kiislamu inaweza kutafsiriwa kuwa ni uzinifu kwenye imani nyingine.
 
Kwanini sintoshoriki zoezi la sensa
mimi ni mkiristo wa dhehebu la rc.katika mafundisho yetu yesu alizaliwa wakati wa zoezi la sensa hivyo imani ya dini yangu haipingani na zoezi hilo.
Pia naelewa zoezi hili ni muhimu kwa ajili ya serikali kujua idadi ya watu wake ili iweze kupanga mipango ya maendeleo kulingana na idadi hiyo.
Pamoja na kutambua yote hayo nimeamua kutoshiriki zoezi hilo kwa sababu kuu zifuatazo
kama serikali iliweza kulazimisha tununue ndege ya thamani hata kama wananchi watakula nyasi zoezi hili ni kiini macho.serikali makini inajali huduma muhimu za wananchi na sio huduma za mtu mmoja mmoja.
Kama serikali imeshindwa kuwalipa madokta na walimi kwa kisingizio haina pesa na wakati huo huo imeendelea kuwaongeza wabunge marupurupu na posho zao pia imeendelea kununua magari ya thamani,kuongeza mikoa,wilaya na kuwa na baraza kubwa la mawaziri bado zoezi la sensa halina maana.
Kama viongozi wa serikali na wabunge wanaendelea kupelekwa kutibiwa india badala ya kuimarisha hosptal zetu sijui wanataka wajue idadi yetu ili wafanyeje.
Kama bajeti za wizara nyeti kama afya na elimu hazitengewi bajeti ya kutosha ni mipango gani watakayoipanga baada ya kutuhesabu
sababu ni nyingi siwezi kuzitaja zote nitawachosha ila kesho sihesabiwi

teh teh teh...haya bwana mkiristo....wewe gomea kwa raha zako. Mimi kwangu ruksa....
 
Wewe si mkatoliki, kwanza hata dhehebu lenyewe hulijui labda ungeandika kwa herufi kubwa ROMAN CATHOLIC (R.C). Pia hoja zako hazina mashiko.

Githeri, bora umwambie ukweli maana nina shaka na anachokisema. Maandishi yanaongea mengi kuliko anachojaribu kuwakilisha
 
Last edited by a moderator:
kama ukisoma biblia wakati Yesu anazaliwa wazazi wake walikuwa wameenda kushiriki kwenye zoezi la kuhesabiwa
swala la mimi kuwa mkatoriki au sio mkatoriki halikuhusu kwani wewe siyo uliyonibatiza ila swala langu la kutoshiriki zoezi hilo halihusiani ma maswala ya kiimani
Ni kweli mkuu nakubaliana na wewe kuwa ni Mkatoriki wa Mara na siyo Mkatoliki
 
Hata mie nahisi hivyo kwa kusoma hapo red. Yesu alizaliwa wakati wa sensa? Over My Dead Body! Sijui ni biblia gani ameisoma asee!!
Na wewe ni mkristu wa wapi? Soma luka 2: 1- 7
2 In those days Caesar Augustus issued a decree that a census should be taken of the entire Roman world. [SUP]2 [/SUP](This was the first census that took place while[SUP][a][/SUP] Quirinius was governor of Syria.) [SUP]3 [/SUP]And everyone went to their own town to register.

[SUP]4 [/SUP]So Joseph also went up from the town of Nazareth in Galilee to Judea, to Bethlehem the town of David, because he belonged to the house and line of David. [SUP]5 [/SUP]He went there to register with Mary, who was pledged to be married to him and was expecting a child. [SUP]6 [/SUP]While they were there, the time came for the baby to be born, [SUP]7 [/SUP]and she gave birth to her firstborn, a son. She wrapped him in cloths and placed him in a manger, because there was no guest room available for them.

Ila nina doubt kama mtoa mada ni RC.
 
Liwalo na liwe
naelekea uwanja wa sahara(mwanza)
kwenye mkutano wa mh wenje bhana
sitaki tabu
M4C twanga kotekote.....

kesho kazi ipo kwelikweli na
tena wamearibu sana kuweka
watoto wadogo (form 4 n 6 leaver)
na kuwaacha walimu kidogo wanaheshimikaga sana na jamiii.

liwalo na liwe~ mimi housegirl wangu
ndio atahojiwa kwa kila kitu na kalani...

V
SENGEREMA
 
Back
Top Bottom