utapata cheo unashinda unakunywa kahawa? Thubutuuuuu..
Mkuu je wale wanaoshinda baa siku nzimaaaaaaa alafu wanaangusha magari vip????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utapata cheo unashinda unakunywa kahawa? Thubutuuuuu..
Funguka kidogo katika utafiti wako, kufuatana na source yako kati ya mwaka 1988 mpaka 2002 wamezidi watu 356018, watu hawa wametoka wapi? jibu tunalipata katika link hiyohiyo:Jamani nawatahadharisha Watanzania tuache uchochezi kama mwenzetu alivyoonyesha takwimu feki hapa jamvini.
Sideeqameandika: Ni wakati gani baada ya uhuru serikali imepanga maendeleo yake kufuatilia sensa?
Kama ni hivyo basi Tanga tayari imeshakwamishwa kimaendeleo kwa sababu sensa iliyofanyika 1988 wakazi wa Tanga ni millioni 1.5, sensa iliyofanyika miaka 14 baadae 2002 inaonyesha idadi ileile kuwa wakazi wa Tanga ni milioni 1.5!!
Maajabu ya Tanga hayo! lakini mikoa yenye Wakristo wengi idadi yao inaongezeka kila sensa inapofanyika!
Sensa is not for us!
Inaonyesha jinsi mwenzetu asivyofanya utafiti wake sawa. Kwa kumsaidia wakaazi wa Tanga walikuwa:
1,038,767 mwaka 1978; 1,280,262 mwaka 1988; na mwaka 2002 walikuwa 1,636,280
Source: bonyeza hapa
Vipi una chuki binafsi na mwandishi au annur nini? utamtiliaje shaka mwandishi kuwa hana source yoyote zaidi ya mitaani wakati kuna habari ya wanafunzi "20 bora" source yake ikiwa ni bunge?!Soma hii uniambie kama huyu mwandishi ana source yoyote zaidi ya habari za mitaani!!
wewe uone aibu,waislamu mmejaa kila sehemu serikalini leo unalaumu wakristo.mie nimenyimwa kazi kisa sina ushungi,sema wanapata kazi waislamu wengi ni vilaza na wabinafsi.wezi na majambazi.mfani mzuri ni
1.lkikwete
2.bilali
3.chande
na wengine wengi,hampendani nyie kwa nyie kutwa mnabaguana na kutusababishia matatizo.sidhani hata huyo mtume kama mnamheshimu.hebu angalia BAKWATA uone madudu.
kafanye ibada ili waislam wenzio wawe na utu.
Angekuwa ni Julius Nyerere au Benjamin MKAPA ungesemaje?
Unataka kutuambia kuwa faida inayopatikana katika Mahospitali na Mashule ya vyuo zinaingia wapi kama si Kanisani?Rekodi zinaonyesha kuwa kwa kipindi cha miaka mitatu tu 2008-2011 Serikali ilitoa bilioni 331 kuyapa Makanisa (kumbuka kuwa mkataba ulifungwa 1992) fikiria pesa ambazo Serikali imezipatia Makanisa toka 1992 ingeweza kujenga Mahospitali na Mashule mangapi ambayo raia wa kawaida wangekuwa na uwezo wa kumudu gharama zake?
Aidha Serikali ijitoe haraka au taasisi nyingine za kidini nazo zipewe fursa sawa na Kanisa, vinginevyo nchi igawanywe.Wangepungua idadi, lakini kuwa sawa ileile?!
Mkuu! hili la sensa hata Wakristo wa "vijiweni" wanakiri kuwa sasa wanawaelewa Waislamu zaidi wakati wakisema wanahujumiwa.
Tunachanganya mambo,
Kilichotokea NECTA kwenye Islamic Knowledge ni kupata wataalamu wa kiislamu wa kusahihisha ambapo majibu yaliyoteuliwa yalishindwa kukidhi hadhi ya uelewa wa masheikh kwenye somo hilo. NECTA Wanasema Bible knowlege iko rahisi kusasahisha ikilinganishwa na Islamic knowledge ambayo majibu yake hayako straight. imekubalika kwamba kutokana na mchanganyiko huo na hasa kuondoa dosari hiyo miaka ijayo watachukuliwa Masheikh kwenda kuhakiki matokeo ya Islamic Knowledge. Hivyo, matokeo yalisahihishwa upya.
Kama kuna kundi lingine halikuafiki matokeo ya masomo mengine lina nafasi ya kwenda NECTA na kusahihisha upya. Kulalamika nje ya NECTA haitaweza kutupa jibu sahihi itaonekana ni kuleta fujo kwani nafasi ya kukata rufaa iko wazi kama ilivyofanyika kwa somo la Isalmic knowledge.
Kama malalamiko yangekuwa kwa masomo yote ni kwa nini Masheik waliokwenda kufanya marudio ya Islamic knowledge hawakuomba kurudia masomo yote? kazi hii pia inaweza kufanywa na mlalamikaji ( mwanafunzi) au shule aliyosoma mwanafunzi inaweza kulalamika na kuomba rufaa.
Na mkataba wenyewe ulifungwa rais akiwa Muislamu, Mwembechai Waislamu waliuliwa huku Mkuu wa mkoa Muislamu akiyabariki mauaji, unafikiri tatizo liko wapi hapo?mwaka 2008 hadi mwaka 2011 unasema kanisa lilipewa bilioni 331 rais akiwa mwisilamu jk huoni anatakiwa kuwapa jibu waislamu? labda kaona bado waislamu hawaombi kama alivyowahi kusema
Angetupa chuo cha Tanesco, Huyu ndugu yetu kashindwa hata kutupatia Kadhi Mkuu. Hatuna sababu ya kumwonea huruma. liwalo na liwe, huyu ni kafiri tu, kasomea huko huko seminari
naomba kuuliza..hivi ikipita siku bila kutukana au kukejeli wakristo hamnaga raha eeh?? mnajiuliza iweje husikii wakristo wamechoma misikiti wamefanya vurugu au wamegomea sensa au kitu chochote ambacho hakileti maendeleo hakipigwi vita na wakristo..tatizo ni shule..nendeni shule kuna mengi ya kujifunza badala ya kubakia kusoma madrasa ndio maana mko hapo mlipo leo hii...Rais wa nchi hii ni muislam umeona jinsi vyeo vingi serikalini na kwenye mashirika ya umma wamepewa waislam lakini mbona wakristo hatulalamiki? unajua kwa nini? kwa sababu cheo apewe mkristo au muislam mradi ni mtanzania mchapa kazi na ataleta maendeleo hua hatuna shida...you guys could learn one or two things from us..
Mbona mnapenda vya kupewa tu? Mwaka Jana wakati wa eid alisema nani aliyewanyima MOU??? Jengeni hospitali NA Shule Nanyi mpate MOU, sijui tangu kauli ile Shule NA hospitali ngapi zimejengwa???? Tujadili maendeleo , sio KULALAMIKA tu, NA tumalize magomvi ya nyumba ZA wakfu akili itarudi tujenge Shule NA hospitali then tutapata MOU, TUSISUBIRI VYA KUPEWA
Na mkataba wenyewe ulifungwa rais akiwa Muislamu, Mwembechai Waislamu waliuliwa huku Mkuu wa mkoa Muislamu akiyabariki mauaji, unafikiri tatizo liko wapi hapo?
au mnaogopa waislam wakionekana wapo wengi huku wakiristo ndio waliotufisha hapa kwenye umaskini kwa kupeana vyeo makazini?
waziri ni Muislam, Naibu wake ni muislamu, katibu mkuu ni muislam,Lakini bado tu haturidhiki hadi siku tutakapohakikisha taifa zima ni la kiislamu. Hata nyama akichinja ambaye sio mwislama hatuli. hata kipindi cha mwezi mtukufu tulitaka ipitishwe sheria mtu asile chakula mchana. Kama msipokubaliana nasi tutatumia nguvu, tunaanzia zanzibar, kwa kutumia msaada wa Alshabaab na boko kharam tutawatawala tu
Nimeipenda!, .... 'mfumo mohammed!'kutojua umuhimu wa sensa kwa maendeleo yako ni upungufu wa weredi hata tukiamua kusingizia mfumo mohammed au mfumo kristo.
kwa hakika sensa ikisema tuko milioni 25 wakati tuko milioni 45 baada ya mkakati wa kugoma, Jk hataweza kufikia malengo yake kwa takwimu bandia