Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Huyu ni mpiganaji asilia
Hakuna cha upiganaji wala nini,alisaidiwa na ndugu zke walioko Canafa na Australia.walimpa malori ya mizigo ndo kilichomtoa.mdogo wake yeye walipoachiwa na Mwinyi 1995 aliondoka zake nchini.
 
Wadau naomba kujua jinsi upangaji njama za kufanya Uhaini Serikali ya Hayati Mwl.Nyerere miaka hiyo.
 
Hadithi za kutengenezwa huwa tamu sana!! Hivi waasi waliokuja kuachiwa na mzee Mwinyi ni kina nani?
 
Hiki kitabu hakijasambazwa maeneo mengine ili kisomwe kwa wingi?? Bei yake ikoje?
 
nzuri hii

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Bongoyo island na mbudya island.

Sent from my Lenovo P1a42 using JamiiForums mobile app
 
Shuleni kwetu haiwezi kutokea na wasumbufu wote tunawafuta shule wenye nafuu tunawashusha madarasa.
 
Pasi na shaka nyerere alikuwa ni moja kati ya watu waliokuwa wakitumia "third eye" yao vizuri kabisa.
 
Okay kwa nini babu yako hakuongoza nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…