Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Ni suala la ushikaji au majukumu ya kikazi?
 
Baba yake aliuwawa mwaka 1971 wakati wa vita iliitwa ya MUTUKULA muda kidogo baada ya kumpindua Obote. Mzee Hanspope alikuwa RPC mkoa wa ziwa magharibi sasa Kagera. Mwili wake ulifichwa Mulago Hospital mpaka 1979 ukardishwa na kuzikwa Iringa.
Kwanini mwili ulifichwa? Na kwanini miaka mingi hivi?
 
Hadithi za kutengenezwa huwa tamu sana!! Hivi waasi waliokuja kuachiwa na mzee Mwinyi ni kina nani?

Hadithi za kutengenezwa? Hebu jaribu kuielewa historia ya Tanzania nje ya milango ya shule.

Hizo si hadithi za kutengeneza. Baadhi yetu tulikuwa tunazisikia kwenye radio.
 
Hadithi za kutengenezwa? Hebu jaribu kuielewa historia ya Tanzania nje ya milango ya shule.

Hizo si hadithi za kutengeneza. Baadhi yetu tulikuwa tunazisikia kwenye radio.
Kama ambavyo tulisikia "Rais anachapa kazi... au mlitaka mmuone anazurula Kariakoo..." ikiwa utaamini kila unachoambiwa pasina kujipa muda wa kudadavua... utalishwa tangopori ...aaah hapana "...za kuambiwa...!!
 
Hadithi za kutengenezwa? Hebu jaribu kuielewa historia ya Tanzania nje ya milango ya shule.

Hizo si hadithi za kutengeneza. Baadhi yetu tulikuwa tunazisikia kwenye radio.
Kama ambavyo tulisikia "Rais anachapa kazi... au mlitaka mmuone anazurula Kariakoo..."
 
Kama ambavyo tulisikia "Rais anachapa kazi... au mlitaka mmuone anazurula Kariakoo..."

Kama unazungumzia matukio haya matatu ya majaribio ya kuleta mageuzi/mapinduzi haya siyo drama:
1. Lile la 1964 kuna uncle wetu mmoja ndiyo kwanza alikuwa amerudi kutoka UK mafunzoni, ile mutiny ilimkumba akafukuzwa kazi.

2. Hilo la 1969/71? Tulikuwa tunasikiliza kwenye vyombo vya habari. Masikini Bi Titi hakuwahi kueleza lolote kuhusu kipindi chake alipokuwa jela kwa hivyo tumepoteza historia.

3. La 1983 niliisoma ile story ya Maganga kwenye Rai. Aidha niliwahi kusoma story ya Lugangira na jinsi alivyokamatishwa na Yahya Husein kiujanja hivi.
 
Mitaani kuna vijiwe aina mbili... vijiwe vya wavuta bange na vijiwe vya wanywa kahawa kote kuna vijiredio!!
Taarifa za redio zikaendelea kusema kuwa "Idi Amini alikuwa akila nyama za watu!!" Zilikutwa kwenye friji!!!
 
Mitaani kuna vijiwe aina mbili... vijiwe vya wavuta bange na vijiwe vya wanywa kahawa kote kuna vijiredio!!
Taarifa za redio zikaendelea kusema kuwa "Idi Amini alikuwa akila nyama za watu!!" Zilikutwa kwenye friji!!!

Niliwahi kusoma kitabu ‘State of blood’ ambacho kiliandikwa na aliyekuwa Waziri wake mmoja aliyekuwa mkimbizi kipindi kile.

Aliandika kwamba ndani ya friji lake la ofisini alikuwa amehifadhi kichwa cha mtu (nimesahau kama kilikuwa cha his murdered wife au boyfriend wake). Alikuwa anapenda kufungua lile friji ili mualikwa aweze kuona nini kingemtokea kama angekuwa mbishi.

To be fair siku moja niliona mahojiano baina ya binti yake mmoja na mtangazaji wa tv moja USA. Yule mtangazaji alimuuliza hilo suali na binti alikataa na kusema ilikuwa ni propaganda za western media kuharibu jina lake.
 
@Yericko Nyerere zamani ulikuwa na IQ kubwa well done kijana, lazima unajua mengi vile wewe unasoma vitabu.

Ongeza nyama hasa tunapomlilia mwana harakati huyu Hanspope.

I hope Hans alisababisha Pili Misana kupigwa chini na wajumbe alipojitosa Viti maalum, mwendazake alinusa mapinduzi through her.

Anyways Nampenda Mwalimu Nyerere, Endelea kupumzika Mtakatifu.
 
Hilo jaribio bila Uingereza hadithi ingekuwa tofauti
 

Wakubwa waliowatuma hao vijana pengine ndio Mwalimu aliwasamehe. Nyerere was a character. Yule Mzee alikuwa beyond some of todays imaginations.

Ndio maana aliwapa za uso hawa machief ambao wengine tunafikiri wana uwezo wa kusafisha nyota zetu🤣🤣🤣😍😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…