ww ndio umetoka nje ya Mada kabisa
Nani kasema Hans Pope ana biashara ya Malori?
Yeye ni Kiongozi wa Chama cha wenye malori Katibu wake akiwa Mtoto wa Lukumay
Huyo Lukumay na Lowassa unajua wana nasaba gani
Zacharia hawezi kuwa na idadi ya MaTank km Kobil, Premus, OilCom na hata yale ya Ridhiwan
Huyo Jamaa yako ni chambo tu hana biashara huko ni M/kiti tu
Sawa nakubali, Zakaria yupo katika hiyo picha lakini haina maana kuwa anafanya biashara na hao Mafisadi [RIdhwani etc.] isipokuwa kwa vile wote ni wasafirishaji wa mafuta bila shaka wana ushirikiano kupitia chama chao ambamo yeye Zakaria ni kiongozi mkuu!!! Nasisitiza kuwa Zakaria Hans Pope hana ubia wa biashara na wakina Lowassa.