Uchaguzi 2020 Jaribio la kwanza la CCM kwa Upinzani kupima uvumilivu wao

Uchaguzi 2020 Jaribio la kwanza la CCM kwa Upinzani kupima uvumilivu wao

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Jaribio la kwanza ni kuwaengua wapinzani kwa visingizio vya mapingamizi yasiyokuwa mbele wala mkia ili kujihakikishia Idadi ya wabunge wanaosubiri kuapishwa baada ya Uchaguzi hapo October. Hiii hujuma wapinzani wanapimwa wanaweza kufanya nini ikiwa watafanyiwa hivyo.

Jaribio la pili ni kuwapora ushindi wao kupitia sanduku la kura ambapo hawatatangazwa hata kama mtu ameshinda. Hili litakuwa na mafanikio makubwa kama jaribio kwa kwanza litafanikiwa. Kama jaribio la kwanza litakwama kwa misimamo imara ya wapinzani, basi hata kwenye sanduku la kura watu wataheshimiana na watakaoshinda kwa haki watatangazwa. Kwahiyo wapinzani wakishindwa kupangua jaribio la swali basi mambo yanaweza yakawa magumu zaidi mbeleni.

Haya yote ni baada ya kuona ile mipango yao ya wasimamizi kutokuwepo kwenye ofisi zao limeshindikana kufuatia NEC kutoa karipio kwa wasimamizi kuwepo ofisini muda wote na kinyume na hapo watafukuzwa kazi.
 
Yote yatapita yasiposhughurikiwa kisheria Kwa kuwa yapo kisheria! Ukijaza fomu kinyume na Sheria unashufhurikiwa na Sheria hiyohiyo
 
Ushindwe kujaza form ulete story za abunuwasi. Mtapotena mwaka huu na kupata kura mbili

WEWE NI MPUMBAVU, MIAKA YOTE WALIKUWA WANAJAZIWA NA NYIE? HALAFU KWANINI MNAKATAA KUTOA FOMU ZA RUFAA? NI KWA SABABU, HIZO SABABU ZA KUWAENGUA SIO ZA KWELI NDIO MAANA HAMKUTAKA KUTOA FOMUZA RUFAA. HALAFU MNAKIMBILIA KWENDA KUOMBA AMANI! WAKATI NYIE MNAHATARISHA AMANI. PIMBI NYIE
 
WEWE NI MPUMBAVU, MIAKA YOTE WALIKUWA WANAJAZIWA NA NYIE? HALAFU KWANINI MNAKATAA KUTOA FOMU ZA RUFAA? NI KWA SABABU, HIZO SABABU ZA KUWAENGUA SIO ZA KWELI NDIO MAANA HAMKUTAKA KUTOA FOMUZA RUFAA. HALAFU MNAKIMBILIA KWENDA KUOMBA AMANI! WAKATI NYIE MNAHATARISHA AMANI. PIMBI NYIE
Huko wanakotupeleka bado kidogo tutakuwa tumefika.
 
Catherene Ruge karudishwa kugombea kwa nguvu analalamika hana hela, alitamani akatwe apate kisingizio, wagombea wengi wameuza form kwa kukosa hela ya kampeni wanasingizia kukatwa.

Catherine Ruge ametoa ad yake anaombwa kuchangiwa 🤣
Countrywide ameomba watumie viinua mgonga vyao 200m, wawaonee huruma wananchi wao.
 
Tunakaribia kufika huko ambako ccm chama cha kishetani wanataka twende....
 
Catherene Ruge karudishwa kugombea kwa nguvu analalamika hana hela, alitamani akatwe apate kisingizio, wagombea wengi wameuza form kwa kukosa hela ya kampeni wanasingizia kukatwa.
Punguza kiherehere , utapakatwa.
 
Hizi kampeni bado mbichi sanaaa. Mnasoma reaction za wapinzani kwa hujuma mnazofanya na wao wanaficha karata zao kwa kutojibu kwa wakati au jinsi mnavyotaka nyie.

Huu mchezo hauhitaji hasira. Narudia tena, hili game bado libichi sanaaa.
 
Hizi kampeni bado mbichi sanaaa. Mnasoma reaction za wapinzani kwa hujuma mnazofanya na wao wanaficha karata zao kwa kutojibu kwa wakati au jinsi mnavyotaka nyie.

Huu mchezo hauhitaji hasira. Narudia tena, hili game bado libichi sanaaa.
Mbowe ana mikwara sana kwenye majukwaa
 
Ushindwe kujaza form ulete story za abunuwasi. Mtapotena mwaka huu na kupata kura mbili

Hakuna form yoyote inashindikana kujaza kama form hiyo itakuwa wazi bila kuingiza hujuma na mitego
 
Back
Top Bottom