Jaribio la polisi kumkamata Dkt. Slaa kuelekea maandamano ya Septemba 23, 2024 lashindwa

Jaribio la polisi kumkamata Dkt. Slaa kuelekea maandamano ya Septemba 23, 2024 lashindwa

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Leo ahsubuhi, mnamo saa mbili Polisi wakiwa katika mavazi ya kiraia walifika nyumbani kwa Dkt, Slaa kwa nia ya kumchukua.

Dkt Slaa ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza maoni ya Watanzania kupitia Club House akatoa taarifa mapema kwa baadhi ya Wanadiaspora, ambapo kelele zikaanza kupigwa mitandaoni dhidi ya jatibio hilo

Muda mfupi uliopita nimemsikia Dkt Slaa akitoa maelezo kuhusu jaribio hilo lililofeli. Anasema walikuja polisi wakiongozana na OCD wote wakiwa in civilian clothes, hali waliyomkuta nayo na kwa kufahamu ameshawataarifu Watanzania wenzake, ilibidi wamuombe waondoke naye kwa agizo la RCO.

Aliongea naye kwenye simu na kumueleza hakatai wito lakini asubiri ruhusa ya daktari wake. Dkt Slaa anaendelea na matibabu baada ya vipimo na upasuaji mdogo.

Askari wameshaondoka lakini upo uwezekano kuwa wanaendelea kumuwinda ili kumchukua kimya kimya

Rais na watu wake wamepanick, sasa kila mmoja anayesimama mbele yao wanamhalalishia brutal code.
 
Leo ahsubuhi, mnamo saa mbili
Polisi wakiwa katika mavazi ya kiraia walifika nyumbani kwa Dkt, Slaa kwa nia ya kumchukua.
Dkt Slaa ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza maoni ya Watanzania kupitia Club House akatoa taarifa mapema kwa baadhi ya Wanadiaspora, ambapo kelele zikaanza kupigwa mitandaoni dhidi ya jatibio hilo

Muda mfupi uliopita nimemsikia Dkt Slaa akitoa maelezo kuhusu jaribio hilo lililofeli. Anasema walikuja polisi wakiongozana na OCD wote wakiwa in civilian clothes, hali waliyomkuta nayo na kwa kufahamu ameshawataarifu Watanzania wenzake, ilibidi wamuombe waondoke naye kwa agizo la RCO. Aliongea naye kwenye simu na kumueleza hakatai wito lakini asubiri ruhusa ya daktari wake. Dkt Slaa anaendelea na matibabu baada ya vipimo na upasuaji mdogo. Adkari wwmeshaondoka lakini upo uwezekano kuwa wanaendelea kumuwinda ili kumchukua kimya kimya


Rais na watu wake wamepanick, sasa kila mmoja anayesimama mbele yao wanamhalalishia brutal code.
Aisee wasije kumuua maana kama kibao alichukuliwa na waliojiita polisi na wakamuua ni muhimu tuache kuchukuana kihuni
 
Aisee wasije kumuua maana kama kibao alichukuliwa na waliojiita polisi na wakamuua ni muhimu tuache kuchukuana kihuni
Inaonekana labda saliomchukua Kibao ni watu anaowafahamu ndo maana wakapoteza ushahidi hata wa macho
 
Leo ahsubuhi, mnamo saa mbili
Polisi wakiwa katika mavazi ya kiraia walifika nyumbani kwa Dkt, Slaa kwa nia ya kumchukua.
Dkt Slaa ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza maoni ya Watanzania kupitia Club House akatoa taarifa mapema kwa baadhi ya Wanadiaspora, ambapo kelele zikaanza kupigwa mitandaoni dhidi ya jatibio hilo

Muda mfupi uliopita nimemsikia Dkt Slaa akitoa maelezo kuhusu jaribio hilo lililofeli. Anasema walikuja polisi wakiongozana na OCD wote wakiwa in civilian clothes, hali waliyomkuta nayo na kwa kufahamu ameshawataarifu Watanzania wenzake, ilibidi wamuombe waondoke naye kwa agizo la RCO. Aliongea naye kwenye simu na kumueleza hakatai wito lakini asubiri ruhusa ya daktari wake. Dkt Slaa anaendelea na matibabu baada ya vipimo na upasuaji mdogo. Adkari wwmeshaondoka lakini upo uwezekano kuwa wanaendelea kumuwinda ili kumchukua kimya kimya


Rais na watu wake wamepanick, sasa kila mmoja anayesimama mbele yao wanamhalalishia brutal code.
Hii ndio bongo kila mtu ni bongo movie bila ya kwenda chuo cha sanaa polisi wa bongo wakukute wasikuchue hata wakukute juu ya kinena wataondoka nawe!
 
Ninaona hata CCM yenyewe inachanganyikiwa na hizi moves.
Matendo ya mama yanapingana na tamko la CCM kupitia Katibu wake Mkuu Dkt. Nchimbi
Kuna athari kubwa sana ya mpumbavu kushauriwa na mpumbavu mwenzie. Matokeo yake huwa ni upumbavu mtupu.

Mtu akijijua ana upeo mdogo inabidi ajitahidi sana kujiweka karibu na wenye busara na upeo mkubwa zaidi yake.
 
Kingunge alituambia ccm ilishiwa pumzi toka 2015,inabidi tuamue moja kuondokana na hili likitu linaitwa ccm, miaka 60 bado yako na hofu , why? Kichwani yamejaa maji.
 
Inaonekana labda saliomchukua Kibao ni watu anaowafahamu ndo maana wakapoteza ushahidi hata wa macho
Inawezekana kabisa ila swali kwanini wafanye kwa uwazi kiasi hicho??? Walilenga nini? Kwa sababu naamini polisi hawawezi fanya hivyo hata tuseme vyombo vyetu vyote vya usalama hawawezi fanya hivyo
 
Samia elewa hutoishi milele. Haya mambo ni ya muda tu.
Huwezi vuruga amani Kwa kigezo Cha kuishi au kutokuishi milele, chadema ni wahuni,wapingwe na Kila raia mpenda amani,mitano tena Kwa mama samia
 
Leo ahsubuhi, mnamo saa mbili Polisi wakiwa katika mavazi ya kiraia walifika nyumbani kwa Dkt, Slaa kwa nia ya kumchukua.

Dkt Slaa ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza maoni ya Watanzania kupitia Club House akatoa taarifa mapema kwa baadhi ya Wanadiaspora, ambapo kelele zikaanza kupigwa mitandaoni dhidi ya jatibio hilo

Muda mfupi uliopita nimemsikia Dkt Slaa akitoa maelezo kuhusu jaribio hilo lililofeli. Anasema walikuja polisi wakiongozana na OCD wote wakiwa in civilian clothes, hali waliyomkuta nayo na kwa kufahamu ameshawataarifu Watanzania wenzake, ilibidi wamuombe waondoke naye kwa agizo la RCO.

Aliongea naye kwenye simu na kumueleza hakatai wito lakini asubiri ruhusa ya daktari wake. Dkt Slaa anaendelea na matibabu baada ya vipimo na upasuaji mdogo.

Askari wameshaondoka lakini upo uwezekano kuwa wanaendelea kumuwinda ili kumchukua kimya kimya

Rais na watu wake wamepanickliona, sasa kila mmoja anayesimama mbele yao wanamhalalishia brutal code.
Tumeliona hilo. Kuna jamaa toka Idodomya katueleza kuhusu "gumboot diplomacy" huko. Magari yao yenye bendera nyekundu, ambulance, yakiongozana na vifaa vya kuzuia ghasia, magari yawashawasha, ving'ora n.k. yanazunguka karibu maeneo yote katika Jiji hilo.
 
Mimi kuna kitu najiuliza SAMIA amefanya nini kibaya mpaka aondoke?
 
Back
Top Bottom