Jaribio la polisi kumkamata Dkt. Slaa kuelekea maandamano ya Septemba 23, 2024 lashindwa

Jaribio la polisi kumkamata Dkt. Slaa kuelekea maandamano ya Septemba 23, 2024 lashindwa

Samia ndoo Rais mtake msitake mpaka 2030 Mungu akijalia
Mambo yasipoharibika, yakiharibika kwa kuumiza watu ataagombea na mikono inayonuka damu ya watu? Mshaurini ayalinde maandamano watu wasiumizwe bila sababu ya msingi.
 
Polisi wanatumika na mabonyenye wachache
Wanapelekwa kwa remote

Ova
 
Leo ahsubuhi, mnamo saa mbili Polisi wakiwa katika mavazi ya kiraia walifika nyumbani kwa Dkt, Slaa kwa nia ya kumchukua.

Dkt Slaa ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza maoni ya Watanzania kupitia Club House akatoa taarifa mapema kwa baadhi ya Wanadiaspora, ambapo kelele zikaanza kupigwa mitandaoni dhidi ya jatibio hilo

Muda mfupi uliopita nimemsikia Dkt Slaa akitoa maelezo kuhusu jaribio hilo lililofeli. Anasema walikuja polisi wakiongozana na OCD wote wakiwa in civilian clothes, hali waliyomkuta nayo na kwa kufahamu ameshawataarifu Watanzania wenzake, ilibidi wamuombe waondoke naye kwa agizo la RCO.

Aliongea naye kwenye simu na kumueleza hakatai wito lakini asubiri ruhusa ya daktari wake. Dkt Slaa anaendelea na matibabu baada ya vipimo na upasuaji mdogo.

Askari wameshaondoka lakini upo uwezekano kuwa wanaendelea kumuwinda ili kumchukua kimya kimya

Rais na watu wake wamepanick, sasa kila mmoja anayesimama mbele yao wanamhalalishia brutal code.
Adui wa Samia sio slaa Wala chadema adui ni mfumo anao uongoza Samia mwenyewe
 
Huku Samia sio kiongozi, hana karama ya uongozi, haelewi aende na maamuzi gani, mara maridhiano, mara 4R, mara magenge ya utekaji na kuua raia, she is not a presidential material. Na sasa hivi kachanganyikiwa haswa.
 
Back
Top Bottom