Hata mzee Mbowe iko siku atapndola tu ana ataicha nchi kwenye amaniSamia elewa hutoishi milele. Haya mambo ni ya muda tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mzee Mbowe iko siku atapndola tu ana ataicha nchi kwenye amaniSamia elewa hutoishi milele. Haya mambo ni ya muda tu.
Mambo yasipoharibika, yakiharibika kwa kuumiza watu ataagombea na mikono inayonuka damu ya watu? Mshaurini ayalinde maandamano watu wasiumizwe bila sababu ya msingi.Samia ndoo Rais mtake msitake mpaka 2030 Mungu akijalia
Nasikia Nyumbani kwako Juice unayotumia ni Damu za akina Kibao. Mpaka kiu iishe tutamalizwa wengi...Huwezi vuruga amani Kwa kigezo Cha kuishi au kutokuishi milele, chadema ni wahuni,wapingwe na Kila raia mpenda amani,mitano tena Kwa mama samia
Una hojaNasikia Nyumbani kwako Juice unayotumia ni Damu za akina Kibao. Mpaka kiu iishe tutamalizwa wengi...
Adui wa Samia sio slaa Wala chadema adui ni mfumo anao uongoza Samia mwenyeweLeo ahsubuhi, mnamo saa mbili Polisi wakiwa katika mavazi ya kiraia walifika nyumbani kwa Dkt, Slaa kwa nia ya kumchukua.
Dkt Slaa ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza maoni ya Watanzania kupitia Club House akatoa taarifa mapema kwa baadhi ya Wanadiaspora, ambapo kelele zikaanza kupigwa mitandaoni dhidi ya jatibio hilo
Muda mfupi uliopita nimemsikia Dkt Slaa akitoa maelezo kuhusu jaribio hilo lililofeli. Anasema walikuja polisi wakiongozana na OCD wote wakiwa in civilian clothes, hali waliyomkuta nayo na kwa kufahamu ameshawataarifu Watanzania wenzake, ilibidi wamuombe waondoke naye kwa agizo la RCO.
Aliongea naye kwenye simu na kumueleza hakatai wito lakini asubiri ruhusa ya daktari wake. Dkt Slaa anaendelea na matibabu baada ya vipimo na upasuaji mdogo.
Askari wameshaondoka lakini upo uwezekano kuwa wanaendelea kumuwinda ili kumchukua kimya kimya
Rais na watu wake wamepanick, sasa kila mmoja anayesimama mbele yao wanamhalalishia brutal code.