Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] wengine hata mwaka mzima milioni saba haifiki, naona sisi tujipige kichwa sio kifua tenaKama haufiki milioni 7 kwa mwezi, jipige kifuani sema mimi ni cheap labour
Taratibu naanza kuielewa hii slogan yakoUafrika hasa utanzania ni laana
Acha utani mkuu, milioni saba kwa mwezi ni wachache mnoKama haufiki milioni 7 kwa mwezi, jipige kifuani sema mimi ni cheap labour
Na ukitaka kujiona upo wapi, ibadilishe kuwa dolaLeo katika harakati nikataka kujua take home yangu ya mwaka in USD ni ngapi aise ni aibu! Yaani mwaka mzima napata chini ya USD 6,500!
Ukiona mwanao ana kipaji mpeleke huko haraka sana....
Uchumi wetu bado sana
Ni kweli, ndio maana nasema wengi sisi ni ma cheap labourAcha utani mkuu, milioni saba kwa mwezi ni wachache mno
995.69 US Dala.Baada ya makato
Funga pm kijanaShida ukitaja unakuta invoice PM
Maybe ndo maana watu wanaenda mbele huko hiyo Kwa vibarua ni pesa ya mwezi$6500 ni kubwa aisee mm bado huko sifiki Kwa mwaka, labda nichanganye na side hustling zngn ndo naweza karibia 😁😁😁
Mimi ni cheap labour, cyo cheap tu mm ni manamba🤣🤣🤣🤣
Mkuu.Taratibu naanza kuielewa hii slogan yako
Sio maths tu hata languageUnapigaje...?
Wengine mwalimu wa math's akiingia tulikuwa tunatumwa stationary.
Mambele Kuna pesa aisee na wanangu huko wao wamepata kazi za mkataba Denmark & Norway hela wanazotaka acha tuNdo
Maybe ndo maana watu wanaenda mbele huko hiyo Kwa vibarua ni pesa ya mwezi
Duh 60,000 per year bado mm siyo milionea aisee.1m utakua na USD kama 5000 hivi!