Jaribu ku- convent mshahara/kipato chako kwenda USD Kwa mwaka una USD ngapi?

Leo katika harakati nikataka kujua take home yangu ya mwaka in USD ni ngapi aise ni aibu! Yaani mwaka mzima napata chini ya USD 6,500!

Ukiona mwanao ana kipaji mpeleke huko haraka sana....

Uchumi wetu bado sana
Na ukitaka kujiona upo wapi, ibadilishe kuwa dola
 
$6500 ni kubwa aisee mm bado huko sifiki Kwa mwaka, labda nichanganye na side hustling zngn ndo naweza karibia 😁😁😁

Mimi ni cheap labour, cyo cheap tu mm ni manamba🤣🤣🤣🤣
 
Ndo
$6500 ni kubwa aisee mm bado huko sifiki Kwa mwaka, labda nichanganye na side hustling zngn ndo naweza karibia 😁😁😁

Mimi ni cheap labour, cyo cheap tu mm ni manamba🤣🤣🤣🤣
Maybe ndo maana watu wanaenda mbele huko hiyo Kwa vibarua ni pesa ya mwezi
 
Taratibu naanza kuielewa hii slogan yako
Mkuu.

Wala huitaji Akili nyingi sana kuielewa na kujua kwamba ni laana.

Ni rahisi tu.

Binadamu anayekaa na rasilimali karibu zote nchini kwake lakini bado ni tegemezi na umaskini ni janga kubwa nchini mwake huyo ana Laana.

Kuna habari moja ilinishangaza sana kwamba wakazi wa Mwanza walikuwa wanalalamika hawana Maji na ziwa Victoria wana lipo tu.

Geita mji wenye dhahabu lakini Raia wake wengi ni Maskini choka mbaya.

Tanzanite inapatikana Tanzania pekee, lakini anaye ongoza kwa kuuza Tanzanite Worldwide ni India.

Mifano ni mingi ili mpaka hapa unaona kwamba, Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Duh nawale tulio jiajiri na tunavuta zaidi ya 1m kwa mwezi tunaruhusiwa ku convet?

Si lipi makato tra yoyote zaid ya pango la mwenye nyumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…