Jaribu kujaribu! Utajishukuru mwenyewe baadaye

Jaribu kujaribu! Utajishukuru mwenyewe baadaye

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kwa nini unaogopa kujaribu? Nini shida Kijana? Jaribu kufanya Chochote kizuri kitakachokusaidia wewe. Usitegemee mtu.

Maisha ya sasa hivi ni wewe mwenyewe na wala usimlaumu mtu.

Kama umekosea kitu. Anza upya usiogope.

Kama una kipaji cha kusuka anza kusuka. Kama una kipaji cha kuimba imba tafuta connection nenda studio omba wasikilize wimbo wako.

Fanya kile kitu unachoweza. Kiwe kizuri ambacho kitajenga mahusiano yako na Serikali. Piga kazi upate mtaji. Ulemavu wako mtaji wako, nyanyuka, jiamini.

Hakuna linaloshindikana chini ya Jua.
 
Yeah
Screenshot_20240718-154444~2.jpg
 
Maisha ya sasa hivi ni wewe mwenyewe na wala usimlaumu mtu.

Hakuna linaloshindikana chini ya Jua.
Ni mwiko kukata tamaa. Vijana wengi tunapitia magumu sana ila niwaombe tuwe wavumilivu na wenye subira, kukata tamaa sio suluhisho la hali tunazopitia.

Ukianguka simama jikung'ute vumbi kisha endelea kupiga hatua na sio uendelee kubaki umekaa chini.

NB: HAKUNA WAKUJA KUKUSAIDIA KUYAISHI MAISHA YAKO.
 
Mkuu ujue ujumbe ulio utoa ni mkubwa sana...
Hasa kwangu mimi aise na ngoja nijaribu maana nilikua naogopa sana najikuta napiga mabajetu nakata tamaa ila sasa leo asbhi nikajaribu...

Mpaka sasa nipo poa kabisa
 
Karibu Mkuu
Mkuu nilijaribu mambo yafuatayo kwa faida yangu....
1-kufungua biashara (mtaa ambao niliambiwa ni mgumu kama mfupa)

2-kugharamikia matibabu ya mwanadada ambaye alikua sio mpenzi wangu mtu baki baada ya kuumwa

3-kujizuia kupiga nyeto, kufanya mapenzi yaani Semen retention huu ushauri nilipata hapa hapa jukwaani

4-kujitenga na familia. Hi mpaka sasa bado hawajui nilipo zaidi ya wanaojua wale common tuu

Faida ni nyingi sana nilizopata mfano nikiianza namba moja hadi 4

1- Alhamdulillah kwa sasa ninaona matokeo kwani napata basic need kupitia hii biashara

2- Amepona na anaendelea vizuri pia wazazi wake wameniamini kiasi ambacho wamenipa chumba cha kujisitiri japo kidogo lakini kinanitosha maana nimekua mwana familia sasa

3- Hii ya kuacha punyeto na kufanya mapenzi faida nyingi sana kiroho kwani nakuta wadada ndio wanakutafuta wewe kila leo lakini sasa mda huo huna..
Unakua na nuru kuanzia pesa na kila kitu,, ila yataka uwe na moyo kama mfupa... Usiwe zuchu

4-Hi kujitenga na familia imefanya nifanye mambo yangu kwa uhuru bila kuulizwa maswali yasio na muhimu wala kutishwa na kukatishana tamaa.

Ni hayo tuu mkuu...

Lakini naomba nikuuliz kitu mkuu ka utojari....
Unazani kwanini ZUCHU hajajichora tatoo..? Unaweza ukajibu hata kesho mkuu
 
Mkuu nilijaribu mambo yafuatayo kwa faida yangu....
1-kufungua biashara (mtaa ambao niliambiwa ni mgumu kama mfupa)

2-kugharamikia matibabu ya mwanadada ambaye alikua sio mpenzi wangu mtu baki baada ya kuumwa

3-kujizuia kupiga nyeto, kufanya mapenzi yaani Semen retention huu ushauri nilipata hapa hapa jukwaani

4-kujitenga na familia. Hi mpaka sasa bado hawajui nilipo zaidi ya wanaojua wale common tuu

Faida ni nyingi sana nilizopata mfano nikiianza namba moja hadi 4

1- Alhamdulillah kwa sasa ninaona matokeo kwani napata basic need kupitia hii biashara

2- Amepona na anaendelea vizuri pia wazazi wake wameniamini kiasi ambacho wamenipa chumba cha kujisitiri japo kidogo lakini kinanitosha maana nimekua mwana familia sasa

3- Hii ya kuacha punyeto na kufanya mapenzi faida nyingi sana kiroho kwani nakuta wadada ndio wanakutafuta wewe kila leo lakini sasa mda huo huna..
Unakua na nuru kuanzia pesa na kila kitu,, ila yataka uwe na moyo kama mfupa... Usiwe zuchu

4-Hi kujitenga na familia imefanya nifanye mambo yangu kwa uhuru bila kuulizwa maswali yasio na muhimu wala kutishwa na kukatishana tamaa.

Ni hayo tuu mkuu...

Lakini naomba nikuuliz kitu mkuu ka utojari....
Unazani kwanini ZUCHU hajajichora tatoo..? Unaweza ukajibu hata kesho mkuu
Iyo namba 3 ni umepumzika tu niamini mimi 😂😂
 
Kwa nini unaogopa kujaribu? Nini shida Kijana? Jaribu kufanya Chochote kizuri kitakachokusaidia wewe. Usitegemee mtu.

Maisha ya sasa hivi ni wewe mwenyewe na wala usimlaumu mtu.

Kama umekosea kitu. Anza upya usiogope.

Kama una kipaji cha kusuka anza kusuka. Kama una kipaji cha kuimba imba tafuta connection nenda studio omba wasikilize wimbo wako.

Fanya kile kitu unachoweza. Kiwe kizuri ambacho kitajenga mahusiano yako na serikali. Piga kazi upate mtaji. Ulemavu wako mtaji wako, nyanyuka, jiamini.

Hakuna linaloshindikana chini ya Jua.
Usijaribu #FANYA
 
Back
Top Bottom