Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Nimetoka na kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua nini mkuu....Nyeto ni swala la kibaolojia tu hilo Mkuu, sio mapepo
Mbona sikuoni....Nimetoka na kitu
Utaniona spiritual way mkuu.Mbona sikuoni....
Ahahahaha
Nikutakie likizo njema tu kiongozi, 😂Unajua nini mkuu....
UNAZINGUA hii ni serious unazingua mi nimeacha bana don't advice me to climb coconut tree by one hand
Yaan hiyo dp ako imenikumbusha mpiga debe mmoja rangi tatu pale..Utaniona spiritual way mkuu.
Hongera sana kwa yote uliyofanikiwa. Usichoke kupambanaMkuu nilijaribu mambo yafuatayo kwa faida yangu....
1-kufungua biashara (mtaa ambao niliambiwa ni mgumu kama mfupa)
2-kugharamikia matibabu ya mwanadada ambaye alikua sio mpenzi wangu mtu baki baada ya kuumwa
3-kujizuia kupiga nyeto, kufanya mapenzi yaani Semen retention huu ushauri nilipata hapa hapa jukwaani
4-kujitenga na familia. Hi mpaka sasa bado hawajui nilipo zaidi ya wanaojua wale common tuu
Faida ni nyingi sana nilizopata mfano nikiianza namba moja hadi 4
1- Alhamdulillah kwa sasa ninaona matokeo kwani napata basic need kupitia hii biashara
2- Amepona na anaendelea vizuri pia wazazi wake wameniamini kiasi ambacho wamenipa chumba cha kujisitiri japo kidogo lakini kinanitosha maana nimekua mwana familia sasa
3- Hii ya kuacha punyeto na kufanya mapenzi faida nyingi sana kiroho kwani nakuta wadada ndio wanakutafuta wewe kila leo lakini sasa mda huo huna..
Unakua na nuru kuanzia pesa na kila kitu,, ila yataka uwe na moyo kama mfupa... Usiwe zuchu
4-Hi kujitenga na familia imefanya nifanye mambo yangu kwa uhuru bila kuulizwa maswali yasio na muhimu wala kutishwa na kukatishana tamaa.
Ni hayo tuu mkuu...
Lakini naomba nikuuliz kitu mkuu ka utojari....
Unazani kwanini ZUCHU hajajichora tatoo..? Unaweza ukajibu hata kesho mkuu
Ameen mamyHongera sana kwa yote uliyofanikiwa. Usichoke kupambana