Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza

Inatosha mkuu. Sasa tuwaombee wawe na Amani maana dah kila saa kila siku ni nyuzi tu za Palestina. Pole na Mungu akutie nguvu bro katika kipindi kigumu na cha jaribu hili kubwa kwako Mpalestina wa Kisiju. Ebu kunywa chai na tulia kidogo mkuu.
Afadhali nawe mwambie labda ataanza kuelewa. Nimeshamsihi apumzike hataki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]umemuelezea vizuri sana. Walio karibu naye wasipochukua hatua haraka watamkuta juu ya mwembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo chai, mstaafu kanali, amejuaje masuala ya ofisi? wakati ni mstaafi?

Hamas mmekwisha awamu hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dozi wanayopokea wapalestina na HAMAS kutoka Israel ni nzito.
 
Israel sio nchi ila ni kambi ya Jeshi la Marekani
 
Halafu wanazunguka kuwalaza viongozi wa waarabu kwa kuwashinikiza kushikamana na mikataba ya kimataifa

Pia wamefake pia watoto wa Israel wamechinjwa na wakasema na hawa ni watoto wa Israel πŸ˜„

Vita hawaviwezi bila propoganda ili dunia iwasaidie, miaka nenda Israel fighter Jet zinapiga maboom Gaza hatukusikia Europe au America wanalalamika walipo pigwa kambi nne za Hamasi na kuliwa zaidi ya WAISRAEL 5000 America na Europe wamekuja na kilio or Hamasi kachinja oh Hamasi kapiga wanawake πŸ˜„ Hata kile kimama kilikuwa matekwa walikichukua kwenye kambi ya jeshi la Israel mwanae ni officer wa jeshi la Israel, sa wanakisema kinawasaidia Hamasi πŸ˜„ Kipigo kimewachanganya mpaa wamechukua watoto wa Gaza wakasema eti ni watoto wa Israel, watu wenye lana tabu sana walisha zowea kuwazulia uwongo Mitume wa Mungu wawache kuwazulia Hamasi uwongo πŸ˜„
 
Kwa hiyo ww unajua kuliko Aljazeera aliye lipoti habari ya kuwa Marekani ametuma vikosi nchini Israel?
Kwa kifupi: Israel Katika katiba ya Marekani Ina paragraphs kadhaa,So ni kama mtoto wa Marekani,Raia wa USA katika katiba ya Israel na Ile ya USA wanaruhusiwa kuhudumia/kutumika kwenye jeshi la nchi hizi 2.Israel ni miongoni mwa nchi chache ambapo Raia wake wanaweza Ingia ,kuishi au kutoka nje ya Marekani bila VISA
 
Mbona kila mwaka Marekani inamimina dola bilioni nne kwa Israel? Hiyo si kuwasaidia katika mauaji ya Wapalestina?
Kwanza ni dola bilioni tatu na sio nne, halafu Iran inafadhili vikundi vya kigaidi kama Hamas, Islamic Jihad, Houth na Hezbollah.
 
Mashoga ya Kizayuni hayana akili wala nguvu za kupigana mpaka yaite marine ,Navy seal na Delta force kupambana na vijana wa Hamas ,
Aibu
 
Hayatollah nae si atume vikosi vyake maalum.
 
Mashoga ya Kizayuni hayana akili wala nguvu za kupigana mpaka yaite marine ,Navy seal na Delta force kupambana na vijana wa Hamas ,
Aibu
Mashoga zaidi ya 7000 Wameshawahishwa kupokea mabikra 72 huku wakiogelea kwenye mito ya ulevi. Sema Takbirrrr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…