Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
AiseeeNgoja nikavute bangi zangu ndio nnapata ujasir wa kunena Mke wa kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeNgoja nikavute bangi zangu ndio nnapata ujasir wa kunena Mke wa kaka
isije kuwa mleta mada ndo brian mwenyewe amekuja kujitangaza
[emoji23][emoji23][emoji23]Sema " na mimi nikiwamo"
Hapana
Asante kwa kujali
Ilikuaje?
Ndo nani eti mkuu
Acha mkuu sie hatuna taarifa hata hatujui dah niliona yule demu ana mwambia jamaa mke wako akiona kumbe jamaa alikua na mke sijui hii ishu iliishaje.dunia inaenda kasi sana.Hahahah hivi yule demu ndio alijinyonga, sio?
Ni nani eti jirani?!Usipomjua Ntashkuru sana
Vipi tena jamaniHahahaha
DaaahhhJamaa aliuwa nyoka kwa kumng'ata na meno
Eeeh shem, jamaa hatari sana 🤣🤣Daaahhh
Nyoka kabisaa Shem?!
Jamaa anaitwa Brianhivi hakuna mtu mwenye file la huyu jamaa. wajihi wake unaonyesha kama mtu mwenye asili ya mikoa ya kaskazini mwa tanzania. bado majina yake halisi, kazi yake na alipo hivi sasa. yule dame sihitaji kujua taarifa zake.
Nimefurahi tu ulivyo jibu mwalikoVipi tena jamani