Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

RIWAYA : MPANGO WA CONGO.

Sehemu ya 16



Kizibo na Sajini Kebu wakatasamu huku wakiliendea geti.

Kitu ambacho hawakujua ni kuwa Simbi alikuwa ndani na mwanaume mwingine na mwanaume aliekuwa ndani nae hakujua kuna mwanaume mwingine nae anakuja hapo ndani.

Wao walikuwa hawajui ila Simbi alijua na alipanga kucheza nao wote usiku mmoja.

Tatizo hakuwahi kujua wanaume wanaonenda kukutana ndani ni wanaumeume wa aina gani!!

Patamu!!

Simbi alikuwa anaishi ndani ya nyumba kubwa yenye vyumba vinne huku vyumba hivyo vikitengenishwa na sebule pana iliojumuisha jiko na sehemu maalumu ya maakuli.

Honda ndie aliekuwa mwanaume wa kwanza kutangulia pale huku lengo lake likiwa ni kupumzika na kumuliza Simbi juu ya uwepo wa Club X ndani ya Kinshasa ama Gombe.

Alifikia hatua ya kumuliza kwa sababu, hakuna sehemu ya anasa na starehe ambayo Simbi hakuwahi kufika.

Honda alitoka bafuni na hakumkuta Simbi chumbani.

Hakujali!!

Akaendelea na hamsini zake kisha akajilaza huku akiutazama mkoba mweusi aliokuwa ameuweka kwenye sofa kubwa lililokuwa mle chumbani.

Mawazo yalipata kichwani mwake bila majibu.

Akanyanyuka na kuuendea mkoba ule.

“Ulitaka kusema nini Bulembo!!” alijiuliza huku akiushika mkoba ule.

Akaufungua na kuzitoa karatasi tatu ambazo hazikuwa zimeandikwa chochote kile.

Akazigeuza huku na huko lakini bado hakuona kitu katika karatasi zile.

Akilini mwake hakutaka kuamini kwamba karatasi zile zilikuwa mle bahati mbaya.

Akazirudisha kwenye mkoba, kisha akatoa kidole ambacho alishindwa kutambua kilikusudiwa nini kuwekwa mle ndani ya Mkoba.

Akakishika kwa tahadhari, huku akibinua huku na huko..

“Mtu gani anakidole cha hivi jama!!” akilijisemea huku akiendelea kuona namna kidole kile kilivyokuwa kimepasukapasuka.

“Kwa nini alikikikata,na…” hakumaliza alichokusudia kuwaza,akaona kitu kilichomsitabisha kidogo.

Ni baada ya kukibonyeza,kikawa kinatoa kimiminika mithili ya damu.

Akabonyeza tena na hali ikawa ile ile japo safari hii mbonyezo wake ulifikia kitu kingine ndani ya kidole kile.

Akajaribu kukibinua binua huku na huko tena.

Mara macho yakanasa kitu pale kulipokuwa kunatoa kimiminika mithili ya damu.

Kulikuwa kuna upenyo kama mchano wa wembe.

“ina maanisha nini hii” akajisemea huku akitazama huku na huko kuhakikisha kama bado yupo peke yake chumbani.

Bado alikuwa peke yake.

“Hapa si pahala sahihi” alijisemea huku akiweka tena karatasi na kidole kile ndani ya mkoba kisha akasafisha mikono kwa maji baada ya kuchafuka kwa kimiminika kilichokuwa ndani ya kidole kile cha ajabu.

Akajilaza tena huku akimsubiri Simbi ambae alikuwa amekawia huko sebuleni.

***

Wakati Honda akiwa anangoja,huku chumba kingine Simbi alikuwa anamalizia kutupia kanga mwilini mwake.

Ni baada ya kumpa mambo ya kikubwa Sajini Kebu ndani ya dakika tatu.

“Mbona sikuelewi Simbi”aliuliza Sajini.

“Sajini nimekwambia mama kaja kunitembelea yupo chumbani kwangu” alisema kwa madeko Simbi.

Sauti yake nyororo ikausisimua mwili wa Sajini;akakosa kauli kwa dakika kadhaa.

“Kwa hiyo mama yako anakukataza kulala mbali nae!?” aliuliza Sajini.

Simbi aliamua kutumia jinsia yake kama silaha ya kumlegeza Sajini.

Aliamua kulegeza sauti na kuongea kimadeko ili amweke sawa Sajini.

“No baby,nitakuja nakupa kama hivi afu narudi tena wala usijali” alisema kwa madeko huku akimpiga busu la sikioni kisha akaingiza ulimi wake wa moto sikioni mwa Sajini.

Sajini alihisi kapigwa na waya uliotengenezwa kwa barafu,mwili mzima ukaingiwa na mtetemeko wa ajabu.

Sajini akajikuta akicheka kibwege huku akimshudia Simbi akitikisa makalio yake kama abilia wa Mbagala akiwahi daladala.

Akatabasamu huku chini ya suruali kukifuruka bila mpango maalumu, mara kunese mara kulale ili mradi mtafaruku tu ndani ya kaptura aliokuwa amevaa.

***

Dakika sita baadae Simbi alikuwa akitoka bafuni huku akiwa na Kanga tupu mwilini, akatazama kitandani kuliko kuwa na mwanaume wa ndoto zake.

Nafsini mwake alijutia kwa kile anachokifanya yani kulala na wanaume wawili ndani ya nyumba moja huku wote wakiwa hawajuani.

Ila akapiga moyo konde huku akimwomba mungu asije kuumbuka.

Kitu ambacho hakujua ni kuwa tamaa ikiwa mbele mauti huwa nyuma kila mara.

“Chibaby kwani umechoka sana?!” Aliuliza Simbi baada ya kuona Honda amegeuka na kumtazama tu bila kufanya wala kuzungumza lolote.

Simbi alijua namna ya kucheza na hisia za Honda hivyo hakungoja jibu lake.

Akaitupa Kanga chini kisha akaienda kwenye meza ya kujipodoa ambayo haikuwa mbali na kitanda alicholalia Honda.

Akaugeuzia mgongo machoni mwa Chibaby wake kisha akainama huku akikata mauno taratibu kama wafanyavyo wanengua uchi kwenye Club za usiku.

Akaanza kujipaka mafuta huku kila mara akiyatikisa makalio yake yaliojaa kwa mpangilio thabiti.

Mtikisiko wa makalio yake ukamsisimua Honda ambae muda wote alikuwa amemkodolea macho Simbi kwa uchu wa ngono.

Akanyanyuka na kumvaa Simbi vile vile alivyokuwa ameinama na kilichoendelea hapo ni miguno na mtikisiko wa nyonga.

Hawakuishia hapo,wakahamia kitandani ambapo Simbi akawa juu ya Honda huku akitoa miguno kama Paka anaetekenywa na kiuno akikizungusha na kufanya makalio yake yapapatike kama kaumwa na siafu.

Walidumu katika mtifuano huo kwa zaidi ya saa tatu huku kila mmoja akionekana kufurahia tendo hilo adhimu.

Kilichoafuata ni kila mmoja kuangukia upande wake akiwa hoi.

Zilipita dakika zaidi ya araobaini ndipo Honda akanyanyuka kitandani kisha akatazama saa ukutani ambayo ilionesha ni saa saba unusu usiku.

Hakutaka kupoteza muda akiwa amelala na mwanamke wakati hajui kinaendelea nini huko nje.

Alienda kwa Simbi kupumzika na tayari alishapumzika na kupunguza uzito.

Alijihisi yupo sawa kuendelea na harakati zingine.

Akamtazama Simbi akaona bado amelala na hakutaka kumwamsha ili kuepuka usumbufu wa maswali.

Akavaa nguo haraka na kutaka kutoka.

Akakumbuka kilichompeleka pale ilikuwa ni zaidi ya kupumzika.

Alihitaji kujua ilipo Club X.

Taratibu akamwamsha Simbi.

Simbi aliamka huku akipiga mwayo kuondoa uchovu na usingizi.

“Chibaby mbona wavaa usiku huu?” aliuliza Simbi.

“Chimamy nimepigiwa simu sasa hivi kuna wadau wameingia usiku huu na lazima tuonane” alijibu Honda.

“Haiwezi kuwa ahsubuhi?”

“ Hapana; ahsubuhi wanaondoka na ndege ya alfajiri mpenzi”

“Mh haya bwana” alijibu kinyonge Simbi.

“Afu wamenambia wapo Club X na sipajui”

Simbi akaonesha msituko dhahiri bila kificho.

Honda aliuona msituko ule.

Kwanini asituke?
.
Ni swali ambalo alilijibu kwa hisia.

“yaezekana si sehemu salama!!” Honda aliwaza.

“Kwanini wamefikia Club X?” alihoji Simbi huku bado akionekana kuwa na msituko.

“Kwani vipi” Honda alitupa jiwe kizani, alihoji bila kufafanua alilenga nini.

“Kama huna kadi,pale huingii na ukiingia hutoki. Je una kadi?” alimaliza kwa kuhoji Simbi.

Honda alibabaika kidogo na mawazo yalipita kichwani kama mvua huku akitamani kuhoji maswali mengi kuhusu Club X.

Alijionya!!

Hakutaka kumuuliza maswali mengi ambayo yangemtia wasiwasi Simbi.

Alipanga kuhoji siku nyingine.

“Ipo wapi Club yenyewe?” aliuliza Honda.

Simbi akasimama.

“Honda mpenzi; kama huna kadi wambie rafikizo mkutane sehemu nyingine” alisema Simbi huku akionesha woga ambao Honda alishindwa kuutafsiri kwa haraka.

“Simbi chaurembo wangu,kwa sasa naomba unielekeze ilipo Club X tafadhali, mengine tutayongea nikirudi”

Simbi alibaki akimkodolea macho Honda kisha aazishusha pumzi zake kwa mkupuo.

“Ni Club ndani ya Club nyingine na ipo D…” Simbi hakumalizia kauli yake.

Mara mlangoni kukasikika kishindo na malumbano.

Honda akakaa chonjo huku Simbi akitamani ardhi ipasuke aingie mzima ili aepuke balaa linalokuja.

Haikuwezekana alichoomba.

Simbi akaanza kutetemeka.

****

Kizibo tangu waingie pale ndani alitokea kuuhusudu uzuri wa Simbi na hata wakati anapewa chumba akajipumzishe,yeye mawazo yake yalikuwa kwa Sajini jinsi anavyomfaidi mlimbwende yule..

Hata wakati Simbi anaingia na kuvua nguo kwa Sajini,yeye alinyata na kuchungulia kwenye tundu la funguo.

Alipoona haoni kitu akaamua kuweka sikio lake kwenye mlango huku hisia zake akiziweka sehemu moja tu.

Kilio cha mahaba alichokitoa Simbi kilimpagiwisha Kizibo huku akitamani avunje mlango na yeye aonje hicho kilio ila akajionya.

Hakutaka mgogoro wakati bado wanakazi.

Kilio cha Simbi hakikuzidi dakika tatu kikata.

Alilaani na kumdharau Sajini,mana alitegemea Simbi aendelee kulia hata zaidi ya dakika kumi.

Hata wakati wanaagana na Simbi kuahidi kurudi usiku,yeye alisikia na akaondoka mlangoni ili asikutwe.

Usiku ulikuwa mgumu kwa Kizibo. Kila alipofikiria umbo na kilio cha Simbi alitamani aende chumbani kwa Simbi walau amwekee hata kidole tu.

Aligalagala huku na huko kama mtoto aliebalehe huku akitizama filamu za kikubwa.

Ki kawaida alitakiwa awe kubwa jinga mana umri wake haukufanania kabisa na mawazo yake.

Akaanza kujichua huku akijifananisha yupo juu ya kifua kichanga cha mlimbwende Simbi.

Uvumilivu ukamshinda na yeye katika makuzi yake hakuwahi kutongoza.

Yeye alikuwa akitaka mwanamke basi njia pekee ni kumteka na kumbaka kisha kila mtu anapita njia yake.

Kizibo hakuwahi kupenda, yeye alichokipenda na kukihusudu ni bunduki yake iliotoa uhai wa watu kadri alivyoweza.

Mazoea mabaya.

Akaona njia pekee ni kubaka na aliamini Simbi na Mama yake kamwe wasingeweza kupiga kelele.

Alikuwa fundi wa kubaka.

***
Wakati Kizibo akiwaza kwenda kubaka,Sajini Kebu yeye alikuwa anaona anacheleweshwa.

Kila alipodhani Simbi angelitokea,haikuwa hivyo.

Muda ulizidi kusonga na alihitaji kuushika tena mwili wa Simbi.

Akaona ni uzuzu kuendelea kulala.
Akataka kwenda kumgongea Simbi.

Kamwe mwanamke hajawahi kuwa juu ya mwanaume. Ndicho alichokiamini Sajini.

Akanyanyuka.

Wakati anafungua mlango ni wakati huo Kizibo alikuwa tayari alikuwa ameshavuka sebule na kuelekea kilipo chumba cha Simbi.

Sajini alitoka taratibu akiwa hana habari ya Kizibo kuwa huko aendako.

Na si Kizibo tu aliekuwa huko ila ndani ya Chumba kulikuwa na kidume mwingine aliekuwa amefaidi utamu wa Simbi usiku ule na ndie adui yao alikuwa amewalaza kichovu.

Mi simo!!!

******

Tuendelee kuachia maoni tafadhali
 
RIWAYA : MPANGO WA CONGO.

Sehemu ya 16



Kizibo na Sajini Kebu wakatasamu huku wakiliendea geti.

Kitu ambacho hawakujua ni kuwa Simbi alikuwa ndani na mwanaume mwingine na mwanaume aliekuwa ndani nae hakujua kuna mwanaume mwingine nae anakuja hapo ndani.

Wao walikuwa hawajui ila Simbi alijua na alipanga kucheza nao wote usiku mmoja.

Tatizo hakuwahi kujua wanaume wanaonenda kukutana ndani ni wanaumeume wa aina gani!!

Patamu!!

Simbi alikuwa anaishi ndani ya nyumba kubwa yenye vyumba vinne huku vyumba hivyo vikitengenishwa na sebule pana iliojumuisha jiko na sehemu maalumu ya maakuli.

Honda ndie aliekuwa mwanaume wa kwanza kutangulia pale huku lengo lake likiwa ni kupumzika na kumuliza Simbi juu ya uwepo wa Club X ndani ya Kinshasa ama Gombe.

Alifikia hatua ya kumuliza kwa sababu, hakuna sehemu ya anasa na starehe ambayo Simbi hakuwahi kufika.

Honda alitoka bafuni na hakumkuta Simbi chumbani.

Hakujali!!

Akaendelea na hamsini zake kisha akajilaza huku akiutazama mkoba mweusi aliokuwa ameuweka kwenye sofa kubwa lililokuwa mle chumbani.

Mawazo yalipata kichwani mwake bila majibu.

Akanyanyuka na kuuendea mkoba ule.

“Ulitaka kusema nini Bulembo!!” alijiuliza huku akiushika mkoba ule.

Akaufungua na kuzitoa karatasi tatu ambazo hazikuwa zimeandikwa chochote kile.

Akazigeuza huku na huko lakini bado hakuona kitu katika karatasi zile.

Akilini mwake hakutaka kuamini kwamba karatasi zile zilikuwa mle bahati mbaya.

Akazirudisha kwenye mkoba, kisha akatoa kidole ambacho alishindwa kutambua kilikusudiwa nini kuwekwa mle ndani ya Mkoba.

Akakishika kwa tahadhari, huku akibinua huku na huko..

“Mtu gani anakidole cha hivi jama!!” akilijisemea huku akiendelea kuona namna kidole kile kilivyokuwa kimepasukapasuka.

“Kwa nini alikikikata,na…” hakumaliza alichokusudia kuwaza,akaona kitu kilichomsitabisha kidogo.

Ni baada ya kukibonyeza,kikawa kinatoa kimiminika mithili ya damu.

Akabonyeza tena na hali ikawa ile ile japo safari hii mbonyezo wake ulifikia kitu kingine ndani ya kidole kile.

Akajaribu kukibinua binua huku na huko tena.

Mara macho yakanasa kitu pale kulipokuwa kunatoa kimiminika mithili ya damu.

Kulikuwa kuna upenyo kama mchano wa wembe.

“ina maanisha nini hii” akajisemea huku akitazama huku na huko kuhakikisha kama bado yupo peke yake chumbani.

Bado alikuwa peke yake.

“Hapa si pahala sahihi” alijisemea huku akiweka tena karatasi na kidole kile ndani ya mkoba kisha akasafisha mikono kwa maji baada ya kuchafuka kwa kimiminika kilichokuwa ndani ya kidole kile cha ajabu.

Akajilaza tena huku akimsubiri Simbi ambae alikuwa amekawia huko sebuleni.

***

Wakati Honda akiwa anangoja,huku chumba kingine Simbi alikuwa anamalizia kutupia kanga mwilini mwake.

Ni baada ya kumpa mambo ya kikubwa Sajini Kebu ndani ya dakika tatu.

“Mbona sikuelewi Simbi”aliuliza Sajini.

“Sajini nimekwambia mama kaja kunitembelea yupo chumbani kwangu” alisema kwa madeko Simbi.

Sauti yake nyororo ikausisimua mwili wa Sajini;akakosa kauli kwa dakika kadhaa.

“Kwa hiyo mama yako anakukataza kulala mbali nae!?” aliuliza Sajini.

Simbi aliamua kutumia jinsia yake kama silaha ya kumlegeza Sajini.

Aliamua kulegeza sauti na kuongea kimadeko ili amweke sawa Sajini.

“No baby,nitakuja nakupa kama hivi afu narudi tena wala usijali” alisema kwa madeko huku akimpiga busu la sikioni kisha akaingiza ulimi wake wa moto sikioni mwa Sajini.

Sajini alihisi kapigwa na waya uliotengenezwa kwa barafu,mwili mzima ukaingiwa na mtetemeko wa ajabu.

Sajini akajikuta akicheka kibwege huku akimshudia Simbi akitikisa makalio yake kama abilia wa Mbagala akiwahi daladala.

Akatabasamu huku chini ya suruali kukifuruka bila mpango maalumu, mara kunese mara kulale ili mradi mtafaruku tu ndani ya kaptura aliokuwa amevaa.

***

Dakika sita baadae Simbi alikuwa akitoka bafuni huku akiwa na Kanga tupu mwilini, akatazama kitandani kuliko kuwa na mwanaume wa ndoto zake.

Nafsini mwake alijutia kwa kile anachokifanya yani kulala na wanaume wawili ndani ya nyumba moja huku wote wakiwa hawajuani.

Ila akapiga moyo konde huku akimwomba mungu asije kuumbuka.

Kitu ambacho hakujua ni kuwa tamaa ikiwa mbele mauti huwa nyuma kila mara.

“Chibaby kwani umechoka sana?!” Aliuliza Simbi baada ya kuona Honda amegeuka na kumtazama tu bila kufanya wala kuzungumza lolote.

Simbi alijua namna ya kucheza na hisia za Honda hivyo hakungoja jibu lake.

Akaitupa Kanga chini kisha akaienda kwenye meza ya kujipodoa ambayo haikuwa mbali na kitanda alicholalia Honda.

Akaugeuzia mgongo machoni mwa Chibaby wake kisha akainama huku akikata mauno taratibu kama wafanyavyo wanengua uchi kwenye Club za usiku.

Akaanza kujipaka mafuta huku kila mara akiyatikisa makalio yake yaliojaa kwa mpangilio thabiti.

Mtikisiko wa makalio yake ukamsisimua Honda ambae muda wote alikuwa amemkodolea macho Simbi kwa uchu wa ngono.

Akanyanyuka na kumvaa Simbi vile vile alivyokuwa ameinama na kilichoendelea hapo ni miguno na mtikisiko wa nyonga.

Hawakuishia hapo,wakahamia kitandani ambapo Simbi akawa juu ya Honda huku akitoa miguno kama Paka anaetekenywa na kiuno akikizungusha na kufanya makalio yake yapapatike kama kaumwa na siafu.

Walidumu katika mtifuano huo kwa zaidi ya saa tatu huku kila mmoja akionekana kufurahia tendo hilo adhimu.

Kilichoafuata ni kila mmoja kuangukia upande wake akiwa hoi.

Zilipita dakika zaidi ya araobaini ndipo Honda akanyanyuka kitandani kisha akatazama saa ukutani ambayo ilionesha ni saa saba unusu usiku.

Hakutaka kupoteza muda akiwa amelala na mwanamke wakati hajui kinaendelea nini huko nje.

Alienda kwa Simbi kupumzika na tayari alishapumzika na kupunguza uzito.

Alijihisi yupo sawa kuendelea na harakati zingine.

Akamtazama Simbi akaona bado amelala na hakutaka kumwamsha ili kuepuka usumbufu wa maswali.

Akavaa nguo haraka na kutaka kutoka.

Akakumbuka kilichompeleka pale ilikuwa ni zaidi ya kupumzika.

Alihitaji kujua ilipo Club X.

Taratibu akamwamsha Simbi.

Simbi aliamka huku akipiga mwayo kuondoa uchovu na usingizi.

“Chibaby mbona wavaa usiku huu?” aliuliza Simbi.

“Chimamy nimepigiwa simu sasa hivi kuna wadau wameingia usiku huu na lazima tuonane” alijibu Honda.

“Haiwezi kuwa ahsubuhi?”

“ Hapana; ahsubuhi wanaondoka na ndege ya alfajiri mpenzi”

“Mh haya bwana” alijibu kinyonge Simbi.

“Afu wamenambia wapo Club X na sipajui”

Simbi akaonesha msituko dhahiri bila kificho.

Honda aliuona msituko ule.

Kwanini asituke?
.
Ni swali ambalo alilijibu kwa hisia.

“yaezekana si sehemu salama!!” Honda aliwaza.

“Kwanini wamefikia Club X?” alihoji Simbi huku bado akionekana kuwa na msituko.

“Kwani vipi” Honda alitupa jiwe kizani, alihoji bila kufafanua alilenga nini.

“Kama huna kadi,pale huingii na ukiingia hutoki. Je una kadi?” alimaliza kwa kuhoji Simbi.

Honda alibabaika kidogo na mawazo yalipita kichwani kama mvua huku akitamani kuhoji maswali mengi kuhusu Club X.

Alijionya!!

Hakutaka kumuuliza maswali mengi ambayo yangemtia wasiwasi Simbi.

Alipanga kuhoji siku nyingine.

“Ipo wapi Club yenyewe?” aliuliza Honda.

Simbi akasimama.

“Honda mpenzi; kama huna kadi wambie rafikizo mkutane sehemu nyingine” alisema Simbi huku akionesha woga ambao Honda alishindwa kuutafsiri kwa haraka.

“Simbi chaurembo wangu,kwa sasa naomba unielekeze ilipo Club X tafadhali, mengine tutayongea nikirudi”

Simbi alibaki akimkodolea macho Honda kisha aazishusha pumzi zake kwa mkupuo.

“Ni Club ndani ya Club nyingine na ipo D…” Simbi hakumalizia kauli yake.

Mara mlangoni kukasikika kishindo na malumbano.

Honda akakaa chonjo huku Simbi akitamani ardhi ipasuke aingie mzima ili aepuke balaa linalokuja.

Haikuwezekana alichoomba.

Simbi akaanza kutetemeka.

****

Kizibo tangu waingie pale ndani alitokea kuuhusudu uzuri wa Simbi na hata wakati anapewa chumba akajipumzishe,yeye mawazo yake yalikuwa kwa Sajini jinsi anavyomfaidi mlimbwende yule..

Hata wakati Simbi anaingia na kuvua nguo kwa Sajini,yeye alinyata na kuchungulia kwenye tundu la funguo.

Alipoona haoni kitu akaamua kuweka sikio lake kwenye mlango huku hisia zake akiziweka sehemu moja tu.

Kilio cha mahaba alichokitoa Simbi kilimpagiwisha Kizibo huku akitamani avunje mlango na yeye aonje hicho kilio ila akajionya.

Hakutaka mgogoro wakati bado wanakazi.

Kilio cha Simbi hakikuzidi dakika tatu kikata.

Alilaani na kumdharau Sajini,mana alitegemea Simbi aendelee kulia hata zaidi ya dakika kumi.

Hata wakati wanaagana na Simbi kuahidi kurudi usiku,yeye alisikia na akaondoka mlangoni ili asikutwe.

Usiku ulikuwa mgumu kwa Kizibo. Kila alipofikiria umbo na kilio cha Simbi alitamani aende chumbani kwa Simbi walau amwekee hata kidole tu.

Aligalagala huku na huko kama mtoto aliebalehe huku akitizama filamu za kikubwa.

Ki kawaida alitakiwa awe kubwa jinga mana umri wake haukufanania kabisa na mawazo yake.

Akaanza kujichua huku akijifananisha yupo juu ya kifua kichanga cha mlimbwende Simbi.

Uvumilivu ukamshinda na yeye katika makuzi yake hakuwahi kutongoza.

Yeye alikuwa akitaka mwanamke basi njia pekee ni kumteka na kumbaka kisha kila mtu anapita njia yake.

Kizibo hakuwahi kupenda, yeye alichokipenda na kukihusudu ni bunduki yake iliotoa uhai wa watu kadri alivyoweza.

Mazoea mabaya.

Akaona njia pekee ni kubaka na aliamini Simbi na Mama yake kamwe wasingeweza kupiga kelele.

Alikuwa fundi wa kubaka.

***
Wakati Kizibo akiwaza kwenda kubaka,Sajini Kebu yeye alikuwa anaona anacheleweshwa.

Kila alipodhani Simbi angelitokea,haikuwa hivyo.

Muda ulizidi kusonga na alihitaji kuushika tena mwili wa Simbi.

Akaona ni uzuzu kuendelea kulala.
Akataka kwenda kumgongea Simbi.

Kamwe mwanamke hajawahi kuwa juu ya mwanaume. Ndicho alichokiamini Sajini.

Akanyanyuka.

Wakati anafungua mlango ni wakati huo Kizibo alikuwa tayari alikuwa ameshavuka sebule na kuelekea kilipo chumba cha Simbi.

Sajini alitoka taratibu akiwa hana habari ya Kizibo kuwa huko aendako.

Na si Kizibo tu aliekuwa huko ila ndani ya Chumba kulikuwa na kidume mwingine aliekuwa amefaidi utamu wa Simbi usiku ule na ndie adui yao alikuwa amewalaza kichovu.

Mi simo!!!

******

Tuendelee kuachia maoni tafadhali
Asante shemela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIWAYA : MPANGO WA CONGO.

Sehemu ya 16



Kizibo na Sajini Kebu wakatasamu huku wakiliendea geti.

Kitu ambacho hawakujua ni kuwa Simbi alikuwa ndani na mwanaume mwingine na mwanaume aliekuwa ndani nae hakujua kuna mwanaume mwingine nae anakuja hapo ndani.

Wao walikuwa hawajui ila Simbi alijua na alipanga kucheza nao wote usiku mmoja.

Tatizo hakuwahi kujua wanaume wanaonenda kukutana ndani ni wanaumeume wa aina gani!!

Patamu!!

Simbi alikuwa anaishi ndani ya nyumba kubwa yenye vyumba vinne huku vyumba hivyo vikitengenishwa na sebule pana iliojumuisha jiko na sehemu maalumu ya maakuli.

Honda ndie aliekuwa mwanaume wa kwanza kutangulia pale huku lengo lake likiwa ni kupumzika na kumuliza Simbi juu ya uwepo wa Club X ndani ya Kinshasa ama Gombe.

Alifikia hatua ya kumuliza kwa sababu, hakuna sehemu ya anasa na starehe ambayo Simbi hakuwahi kufika.

Honda alitoka bafuni na hakumkuta Simbi chumbani.

Hakujali!!

Akaendelea na hamsini zake kisha akajilaza huku akiutazama mkoba mweusi aliokuwa ameuweka kwenye sofa kubwa lililokuwa mle chumbani.

Mawazo yalipata kichwani mwake bila majibu.

Akanyanyuka na kuuendea mkoba ule.

“Ulitaka kusema nini Bulembo!!” alijiuliza huku akiushika mkoba ule.

Akaufungua na kuzitoa karatasi tatu ambazo hazikuwa zimeandikwa chochote kile.

Akazigeuza huku na huko lakini bado hakuona kitu katika karatasi zile.

Akilini mwake hakutaka kuamini kwamba karatasi zile zilikuwa mle bahati mbaya.

Akazirudisha kwenye mkoba, kisha akatoa kidole ambacho alishindwa kutambua kilikusudiwa nini kuwekwa mle ndani ya Mkoba.

Akakishika kwa tahadhari, huku akibinua huku na huko..

“Mtu gani anakidole cha hivi jama!!” akilijisemea huku akiendelea kuona namna kidole kile kilivyokuwa kimepasukapasuka.

“Kwa nini alikikikata,na…” hakumaliza alichokusudia kuwaza,akaona kitu kilichomsitabisha kidogo.

Ni baada ya kukibonyeza,kikawa kinatoa kimiminika mithili ya damu.

Akabonyeza tena na hali ikawa ile ile japo safari hii mbonyezo wake ulifikia kitu kingine ndani ya kidole kile.

Akajaribu kukibinua binua huku na huko tena.

Mara macho yakanasa kitu pale kulipokuwa kunatoa kimiminika mithili ya damu.

Kulikuwa kuna upenyo kama mchano wa wembe.

“ina maanisha nini hii” akajisemea huku akitazama huku na huko kuhakikisha kama bado yupo peke yake chumbani.

Bado alikuwa peke yake.

“Hapa si pahala sahihi” alijisemea huku akiweka tena karatasi na kidole kile ndani ya mkoba kisha akasafisha mikono kwa maji baada ya kuchafuka kwa kimiminika kilichokuwa ndani ya kidole kile cha ajabu.

Akajilaza tena huku akimsubiri Simbi ambae alikuwa amekawia huko sebuleni.

***

Wakati Honda akiwa anangoja,huku chumba kingine Simbi alikuwa anamalizia kutupia kanga mwilini mwake.

Ni baada ya kumpa mambo ya kikubwa Sajini Kebu ndani ya dakika tatu.

“Mbona sikuelewi Simbi”aliuliza Sajini.

“Sajini nimekwambia mama kaja kunitembelea yupo chumbani kwangu” alisema kwa madeko Simbi.

Sauti yake nyororo ikausisimua mwili wa Sajini;akakosa kauli kwa dakika kadhaa.

“Kwa hiyo mama yako anakukataza kulala mbali nae!?” aliuliza Sajini.

Simbi aliamua kutumia jinsia yake kama silaha ya kumlegeza Sajini.

Aliamua kulegeza sauti na kuongea kimadeko ili amweke sawa Sajini.

“No baby,nitakuja nakupa kama hivi afu narudi tena wala usijali” alisema kwa madeko huku akimpiga busu la sikioni kisha akaingiza ulimi wake wa moto sikioni mwa Sajini.

Sajini alihisi kapigwa na waya uliotengenezwa kwa barafu,mwili mzima ukaingiwa na mtetemeko wa ajabu.

Sajini akajikuta akicheka kibwege huku akimshudia Simbi akitikisa makalio yake kama abilia wa Mbagala akiwahi daladala.

Akatabasamu huku chini ya suruali kukifuruka bila mpango maalumu, mara kunese mara kulale ili mradi mtafaruku tu ndani ya kaptura aliokuwa amevaa.

***

Dakika sita baadae Simbi alikuwa akitoka bafuni huku akiwa na Kanga tupu mwilini, akatazama kitandani kuliko kuwa na mwanaume wa ndoto zake.

Nafsini mwake alijutia kwa kile anachokifanya yani kulala na wanaume wawili ndani ya nyumba moja huku wote wakiwa hawajuani.

Ila akapiga moyo konde huku akimwomba mungu asije kuumbuka.

Kitu ambacho hakujua ni kuwa tamaa ikiwa mbele mauti huwa nyuma kila mara.

“Chibaby kwani umechoka sana?!” Aliuliza Simbi baada ya kuona Honda amegeuka na kumtazama tu bila kufanya wala kuzungumza lolote.

Simbi alijua namna ya kucheza na hisia za Honda hivyo hakungoja jibu lake.

Akaitupa Kanga chini kisha akaienda kwenye meza ya kujipodoa ambayo haikuwa mbali na kitanda alicholalia Honda.

Akaugeuzia mgongo machoni mwa Chibaby wake kisha akainama huku akikata mauno taratibu kama wafanyavyo wanengua uchi kwenye Club za usiku.

Akaanza kujipaka mafuta huku kila mara akiyatikisa makalio yake yaliojaa kwa mpangilio thabiti.

Mtikisiko wa makalio yake ukamsisimua Honda ambae muda wote alikuwa amemkodolea macho Simbi kwa uchu wa ngono.

Akanyanyuka na kumvaa Simbi vile vile alivyokuwa ameinama na kilichoendelea hapo ni miguno na mtikisiko wa nyonga.

Hawakuishia hapo,wakahamia kitandani ambapo Simbi akawa juu ya Honda huku akitoa miguno kama Paka anaetekenywa na kiuno akikizungusha na kufanya makalio yake yapapatike kama kaumwa na siafu.

Walidumu katika mtifuano huo kwa zaidi ya saa tatu huku kila mmoja akionekana kufurahia tendo hilo adhimu.

Kilichoafuata ni kila mmoja kuangukia upande wake akiwa hoi.

Zilipita dakika zaidi ya araobaini ndipo Honda akanyanyuka kitandani kisha akatazama saa ukutani ambayo ilionesha ni saa saba unusu usiku.

Hakutaka kupoteza muda akiwa amelala na mwanamke wakati hajui kinaendelea nini huko nje.

Alienda kwa Simbi kupumzika na tayari alishapumzika na kupunguza uzito.

Alijihisi yupo sawa kuendelea na harakati zingine.

Akamtazama Simbi akaona bado amelala na hakutaka kumwamsha ili kuepuka usumbufu wa maswali.

Akavaa nguo haraka na kutaka kutoka.

Akakumbuka kilichompeleka pale ilikuwa ni zaidi ya kupumzika.

Alihitaji kujua ilipo Club X.

Taratibu akamwamsha Simbi.

Simbi aliamka huku akipiga mwayo kuondoa uchovu na usingizi.

“Chibaby mbona wavaa usiku huu?” aliuliza Simbi.

“Chimamy nimepigiwa simu sasa hivi kuna wadau wameingia usiku huu na lazima tuonane” alijibu Honda.

“Haiwezi kuwa ahsubuhi?”

“ Hapana; ahsubuhi wanaondoka na ndege ya alfajiri mpenzi”

“Mh haya bwana” alijibu kinyonge Simbi.

“Afu wamenambia wapo Club X na sipajui”

Simbi akaonesha msituko dhahiri bila kificho.

Honda aliuona msituko ule.

Kwanini asituke?
.
Ni swali ambalo alilijibu kwa hisia.

“yaezekana si sehemu salama!!” Honda aliwaza.

“Kwanini wamefikia Club X?” alihoji Simbi huku bado akionekana kuwa na msituko.

“Kwani vipi” Honda alitupa jiwe kizani, alihoji bila kufafanua alilenga nini.

“Kama huna kadi,pale huingii na ukiingia hutoki. Je una kadi?” alimaliza kwa kuhoji Simbi.

Honda alibabaika kidogo na mawazo yalipita kichwani kama mvua huku akitamani kuhoji maswali mengi kuhusu Club X.

Alijionya!!

Hakutaka kumuuliza maswali mengi ambayo yangemtia wasiwasi Simbi.

Alipanga kuhoji siku nyingine.

“Ipo wapi Club yenyewe?” aliuliza Honda.

Simbi akasimama.

“Honda mpenzi; kama huna kadi wambie rafikizo mkutane sehemu nyingine” alisema Simbi huku akionesha woga ambao Honda alishindwa kuutafsiri kwa haraka.

“Simbi chaurembo wangu,kwa sasa naomba unielekeze ilipo Club X tafadhali, mengine tutayongea nikirudi”

Simbi alibaki akimkodolea macho Honda kisha aazishusha pumzi zake kwa mkupuo.

“Ni Club ndani ya Club nyingine na ipo D…” Simbi hakumalizia kauli yake.

Mara mlangoni kukasikika kishindo na malumbano.

Honda akakaa chonjo huku Simbi akitamani ardhi ipasuke aingie mzima ili aepuke balaa linalokuja.

Haikuwezekana alichoomba.

Simbi akaanza kutetemeka.

****

Kizibo tangu waingie pale ndani alitokea kuuhusudu uzuri wa Simbi na hata wakati anapewa chumba akajipumzishe,yeye mawazo yake yalikuwa kwa Sajini jinsi anavyomfaidi mlimbwende yule..

Hata wakati Simbi anaingia na kuvua nguo kwa Sajini,yeye alinyata na kuchungulia kwenye tundu la funguo.

Alipoona haoni kitu akaamua kuweka sikio lake kwenye mlango huku hisia zake akiziweka sehemu moja tu.

Kilio cha mahaba alichokitoa Simbi kilimpagiwisha Kizibo huku akitamani avunje mlango na yeye aonje hicho kilio ila akajionya.

Hakutaka mgogoro wakati bado wanakazi.

Kilio cha Simbi hakikuzidi dakika tatu kikata.

Alilaani na kumdharau Sajini,mana alitegemea Simbi aendelee kulia hata zaidi ya dakika kumi.

Hata wakati wanaagana na Simbi kuahidi kurudi usiku,yeye alisikia na akaondoka mlangoni ili asikutwe.

Usiku ulikuwa mgumu kwa Kizibo. Kila alipofikiria umbo na kilio cha Simbi alitamani aende chumbani kwa Simbi walau amwekee hata kidole tu.

Aligalagala huku na huko kama mtoto aliebalehe huku akitizama filamu za kikubwa.

Ki kawaida alitakiwa awe kubwa jinga mana umri wake haukufanania kabisa na mawazo yake.

Akaanza kujichua huku akijifananisha yupo juu ya kifua kichanga cha mlimbwende Simbi.

Uvumilivu ukamshinda na yeye katika makuzi yake hakuwahi kutongoza.

Yeye alikuwa akitaka mwanamke basi njia pekee ni kumteka na kumbaka kisha kila mtu anapita njia yake.

Kizibo hakuwahi kupenda, yeye alichokipenda na kukihusudu ni bunduki yake iliotoa uhai wa watu kadri alivyoweza.

Mazoea mabaya.

Akaona njia pekee ni kubaka na aliamini Simbi na Mama yake kamwe wasingeweza kupiga kelele.

Alikuwa fundi wa kubaka.

***
Wakati Kizibo akiwaza kwenda kubaka,Sajini Kebu yeye alikuwa anaona anacheleweshwa.

Kila alipodhani Simbi angelitokea,haikuwa hivyo.

Muda ulizidi kusonga na alihitaji kuushika tena mwili wa Simbi.

Akaona ni uzuzu kuendelea kulala.
Akataka kwenda kumgongea Simbi.

Kamwe mwanamke hajawahi kuwa juu ya mwanaume. Ndicho alichokiamini Sajini.

Akanyanyuka.

Wakati anafungua mlango ni wakati huo Kizibo alikuwa tayari alikuwa ameshavuka sebule na kuelekea kilipo chumba cha Simbi.

Sajini alitoka taratibu akiwa hana habari ya Kizibo kuwa huko aendako.

Na si Kizibo tu aliekuwa huko ila ndani ya Chumba kulikuwa na kidume mwingine aliekuwa amefaidi utamu wa Simbi usiku ule na ndie adui yao alikuwa amewalaza kichovu.

Mi simo!!!

******

Tuendelee kuachia maoni tafadhali
Shukrani mkuu endelea kushushaa aisee
 
Nimekupa na like juuu bado sijakushawishi Kuendelea?
 
Patachimbika humo ndani, halafu Honda ni mzima kweli? Kwanini anazurura na mzigo ambao anajua una siri, tuone kama ataondoka nao leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ataondoka nao maana yeye ndo amekuwa wa kwanza kushitukia huo mzozo kwahiyo suprize ni kwao hao wawili, mwenzao amelala kwenye Gari nje ana heri maana litakalowapata humo ndani, ila simbi maisha ndo yanaishia hapo
 
Back
Top Bottom