Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

Ukituma kwenye PDF kwa tshs 3000 inakuwa Riwaya yote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana namba uliyotoa ni ya kulipia pesa pekee, ila PDF inatumwa huku huku JF kupitia PM? Ama unatumiwa Whatsapp?
Soma maelezo Chief!

Nimesema natuma kwa njia mbili emails na Whatsapp
Ukishalipa nambie nikutumie kwa njia ipi kati ya hizo
 
Soma maelezo Chief!

Nimesema natuma kwa njia mbili emails na Whatsapp
Ukishalipa nambie nikutumie kwa njia ipi kati ya hizo

Tatizo nikinunua PDF itapunguza utamu wa kusubiria, lakini sio kesi wacha nifanye mpango wa kukutumia. Lakini zile za kuchagua hata sizifahamu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tatizo nikinunua PDF itapunguza utamu wa kusubiria, lakini sio kesi wacha nifanye mpango wa kukutumia. Lakini zile za kuchagua hata sizifahamu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Zipo kwenye orodha mwisho wa sehemu ya 21
 
Amina tuombe heri shaka toa Mkuu
Mkuu bado haujamuona Kudo, maana sasa hii bure imekuwa aghari mno, per week epsode moja inaweza ikafika mwez wa sita story haijaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…