Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

RIWAYA: MPANGO WA CONGO

SEHEMU YA 13

NA BAHATI MWAMBA.

SIMU: 0758573660


Hakujuwa kesho anaijua mungu pekee na hakuna binadamu aliewahi kuifikia kesho isipokuwa mauti pekee ndio hukufikisha katika ukomo wa kesho ila si mwanadamu aliehai mana kila siku ni kesho ijayo.


Hakujua! Hakujua!

******

2. FUMBO.

Askari wa usalama barabarani bwana Kambi kitime alihakikisha anajua ni nani hasa amewasiliana na Remi pale kituoni na ni kitu gani hasa kilichompeleka pale kituoni.

Upande wake wala haikuwa kazi hasa baada ya kuona kijana mmoja ‘IO' akiharakisha kuingia ofisi namba kumi.

Kwa uzoefu wake wa ushushu usio rasmi ambao hautambuliwi na ofisi za usalama,alijua kuna mwito maalumu wa kijana yule hasa baada ya kuhakikisha Remi ametoka ofisi namba kumi inayokaliwa na OCCID Shaban katwila.

Alimkariri ‘IO’ yule kisha akatoka ndani ya ofisi na kuaga kwa baadhi ya rafiki zake.

Alipohakikisha yupo mbali na viunga vya kituo cha polisi; akachukua simu yake kisha akalitafuta jina alilohifadhi kwa herufi kubwa.

‘Elchapo' alipohakikisha ndilo jina alilohitaji, akapiga.

Punde simu ikapokelewa upande wa pili.

“Sema kitime” iliunguruma sauti iliopokea.

“Kasuku alikuwa hapa kituoni dakika sita zilizoisha” alisema Afande Kambi Kitime.

Upande wa pili kwa mtu alietambulika kama Elchapo ulikaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Unahakika umemuona yule binti?” akauliza Elchapo.

“Aah!!, sasa nitashindwaje kumjua wakati picha ya Kasuku ninayo?” alihoji Afande Kitime huku akionesha dhahiri kuchukia.

“Aisee hii inaweza kutugharimu poti!” alisema Elchapo huku akisikika dhahiri kuwa juu ya uwezo wake wa kupumua.

“Umepata tetesi za alichokifuata?” Elchapo aliuliza kwa utulivu wa kutisha na hiyo ilimaanisha yupo kwenye kiwango cha mbali sana cha tafakuri.

“Aliingia ofisi namba kumi, na ameacha karatasi kadhaa na sijui kilichomo” alieleza Afande Kitime.

Elchapo akapumua kisha akasema; “Naomba unipe uwezo wa mtu aliekabidhiwa hiyo kesi”

“Solomoni Bukaba, ni intelligence ofisa na ni mjuzi si haba” alifafanua Kambi Kitime.


“Ok nadhani ataponzwa na hizo karatasi” alisema taratibu sana Elchapo.

Ukimya ulipita baina yao.

Sekunde kadhaa mbele Elchapo akavunja ukimya ule.

“Ahsante poti, kazi yako imeisha nenda benki saivi mzigo wako umeshasoma” akamaliza Elchapo kisha akakata simu.

Afande mnoko; Kambi kitime alifurahi kwa kazi yake nyepesi inayomuingizia mkwanja wa kutakata.

Malipo ya usaliti hakujua ni kifo na hilo hakujua afande huyu mnoko ambae rushwa ya barabarani kwa madereva aliona haiwezi kukidhi matakwa yake pengine aliona ni pesa ya kusafisha viatu tu kama alivyosema mheshimiwa mmoja nchini.

Hakujua usaliti wa damu hulipwa kwa damu.

*****

Solomini Bukaba ndie ofisa wa kitengo cha upelelezi ya makosa ya jinai na uhaini ndani ya Nchi na ndie aliepewa karatasi nne zilizotoka kwa Remi.

Kwa maelezo ya mwanzo aliopewa ni kuwa kesi hiyo inahusiana na upotevu wa watoto wawili na karatasi alizopewa ni ushahidi kwa mujibu wa Remi.

Solomoni Bukaba alikuwa na kiporo cha mkasa mwingine wa mauaji ya watu sita huko visiwa vya Mwabhurugu simiyu na yeye alipewa jukumu hilo kwa kuwa ilisadikika wauaji wamekimbilia jijini Mwanza.

Solomoni alikuwa anakamilisha ripoti ya uchunguzi wake kabla ya kuripoti kwa mkuu wake wa kazi hivyo kazi aliopewa na OCCID Shaban Katwila ilikuwa ni nyongeza ya mrundikano wa kazi kwake hivyo aliamua kuzisoma karatasi hizo akiwa nyumbani kwake usiku mnene.

Kiza kilipoingia tayari Solomoni alikuwa ameshakamilisha ripoti yake na akaihifadhi vizuri kwenye makablasha kisha akaihifadhi ndani ya droo ya moja ya makabati yaliokuwa ofisini kwake.

Alipomaliza akapiga mwayo mrefu kisha akajinyoosha ili kuondoa uchovu uliokuwa umeanza kumvaa.

Hakutaka kuendelea kukaa ndani ya ofisi zile, akatoka na kuchukua koti lake akavaa na kuliendea gari lake lililokuwa limepaki likiwa pweke baada ya magari mengine yaliokuwa pamoja nalo kuchukuliwa na wamikiki wake.

Aliweka kablasha lililokuwa limehifadhi nakala za karatasi za Remi kwenye kiti cha nyuma kisha akaingia ndani ya gari lake na kulitekenya.

Lilipostuka tayari alikuwa ameshaingiza gia na kuondoka kwenye viunga vya ofisi za kipolisi.

Mwendo wake haukuwa wa kasi, alikuwa anaendesha taratibu huku akisikiliza muziki safi kutoka kwa wazee wa kale Kilimanjaro Band wananjenje.

Ingelikuwa ni siku ambazo huwa yupo kwenye hekaheka za kukimbizana na wahalifu basi angekuwa makini sana na vioo vyake vya gari kuangalia mienendo ya gari zilizokuwa nyuma yake.

Labda kwa siku hiyo kwake ilikuwa kifo cha nyani miti yote huteleza au basi wimbi la kupoteza lilikuwa linamwandama.

Hakuweza kabisa kuiona gari ndogo nyeusi iliokuwa nyuma yake tangu atoke kituo cha Polisi Neshino.

Safari yake ilikoma mbele ya geti la kijani pembezoni kidogo ya soko la nguo Langolango.

Alishuka ndani ya gari kisha akaenda kufungua geti na kurudi kuingiza gari lake.

Moja kwa moja aliposhuka ndani ya gari lake, akaenda kuingia ndani kwake ambapo palikuwa pweke kwa sababu hakuwa na mke wala mtoto alieweza kuishi nae.

Makablasha yake akayabwaga kwenye sofa kisha akaenda bafuni kuoga.

Huko hakudumu sana akarejea sebuleni akiwa amevaa nguo nyepesi maalumu kwa kulalia.

Alianza kwa kuyaweka sawa baadhi ya makablasha yake ambayo hakuwa na kazi nayo kwa wakati huo.

Mikono yake ikalifikia kablasha lililohifadhi nakala alizopewa na mkuu wake.

Akalifunua na macho yake yakatua kwenye maandishi ya kwanza kabisa ambayo yalimshawishi aendelee kusoma.

Lakini kila alivyozidi kusoma alijikuta mwili wake unasisimuka kwa alichokisoma..

Hatimae akatua karatasi ya kwanza na kuendelea na ya pili hatimae ya tatu na ya nne ndio ilimtoa jasho.

Kwanini!!

Kwa sababu katikati ya maelezo ya ile karatasi kulikuwa kuna majina mawili yaliokuwa yamekolezwa kwa wino.

Mbali na majina yale kulikuwa pia kuna akaunti mbili za kibenki katika mabenki mawili tofauti.

Solomoni Bukaba akaingiwa na ganzi ya mwili hakika.

Kichwani mwake yaliibuka maswali mawili huku swali kubwa likiwa ni vipi ataindika ripoti yake kwa sababu kwa maelezo ya karatasi zile haikuwa rahisi kuandika tena upotevu wa watoto kama mkuu wake alivyotaka iwe.

Lakini pia alihitaji kumpata binti aliezileta karatasi zile ili amuulize maswali kadhaa.

Angelimpata wapi hilo hakujua na wakati huo mshale wa saa ulisoma ni saa tano na nusu za usiku.

Alihitaji kupiga simu kutoa taarifa ile na si kulala nayo mana hakutaka kabisa kuipuuzia.

Akatoka sebuleni na kuelekea chumbani kuchukua simu yake.

Akiwa chumbani huko huko akapiga simu.

Mwanzo alidhani hana salio mana simu iligoma kutoka. Bila papara akajaribu kuangalia salio.

Lilikuwepo!

“mmh” akaguna

Akarudia tena kupiga simu,hali ikawa ile ile.

Simu haikutoka.

“Alah!!” alagafirika.

Akaichomoa kitesi chake kisha akarudisha.

Bado hali ilikuwa ni ile ile simu yake haikutoka.

Pagumu!!!

Akahisi labda ni mtandao unasuumbua, akatazama juu ya meza ndogo iliokuwa chumbani mwake.

Akaiona simu ya mezani ikiwepo.
Akaiendea na kuzungusha mara kadhaa ila ilitoa mlio kuashiria hakuna simu inayoweza kupigwa ama kupokelewa na simu ile.

“Kum….ae” likamtoka tusi zito lenye uzani wa kilo kadhaa.

Akajishika kiuono huku akishindwa la kuamua.

Akavuta pumzi nyingi na kuzishusha nusu tu.

Akasita kuzimaliza akavuta tena.

Ewaah!!

Alinusa harufu ya kitu kuungua,akaangaza pale chumbani hakuona kinachoungua.

Haraka akapiga hatua ndefu na kutoka ndani ya chumba huku akibamiza mlango kwa nguvu.

Akapigwa na butwaa kwa alichokiona sebuleni.

Kulikuwa kuna mgeni aliezichoma moto karatasi zile nne huku akiwa amejikaribisha kwenye sofa.

Mgeni yule alikuwa ameziba uso wake wote na kubakiza macho tu.

Kifupi alivaa kininja.

Aligwaya.

Solomoni Bukaba alitazama tena mlango wake, ulikuwa umefungwa lakini pia alikumbuka alifunga mlango wa nje kihakika.

Kapitaje na wapi!!

Hakukuwa na wa kumjibu.

“Wewe ni nani na umeingiaje?” aliuliza Solomoni huku akijitahidi kuupoteza mtetemeko uliokuwa umeanza kuomba makazi mwilini mwake.

“Acha kuwa mjinga Solo; yani hujaona karatasi zilizoungua unauliza nimeingiaje au hazijakuuma karatasi hizo?” alimaliza kwa swali mgeni yule.

Maajabu!!

Solomoni alihisi kuota hivi, sauti ya mgeni wake ilikuwa ya mwanamke.

Lakini kulikuwa kuna kitu cha ziada kwa mwanamke yule na kitu hicho kilijaribu kumuingia Solomoni ila hakikuingia sawa sawa mana hofu na akili vilishindana kuziteka hisia za mwili.

Solomoni Bukaba akatupia tena macho yake pale zilipokuwa karatasi alizopewa na OCCID; zilikuwa zinamalizikia kuteketea.

Akagashabika!!

“Ulishazichoma kwanini usiondoke sasa” aliuliza kwa utaratibu Solomoni.

Mgeni akatokwa na cheko la kishambenga.

Hapo napo Solomoni akakazia tafakuri yake ili aone kama ubongo utamletea kumbukumbu ya sauti hiyo.

Ikagoma!!

“Unadhani nitaondoka kirahisi tu!” aliuliza mgeni yule wa ajabu huku akinyanyuka kwenye sofa.

“Kwanini isiwe kirahisi binti” Solomoni nae akauliza huku akimtizama kwa makini mgeni yule.

“Haya macho mbona..” akajisemea Solomoni ila hakumaliza kuyatafakari binti yule akakwepesha macho yake ili asitazamane na Solo.

“Hakuna aliewahi kuzitazama hizo karatasi akabaki hai” alijibu Mgeni.

“Una….” Solomoni hakumalizia kauli yake akajikuta akipokea teke safi la kifuani lililomsambaratisha chini kama gunia la Panya huko Nyasa.

Solomoni akashangaa alivyopigwa kitaalamu.

Kutoka pale alipokuwa kwa chini kulikuwa kuna bastola ambayo ni vigumu kujua huwa inawekwa mahali hapo karibu na sofa aliloangukia.

Akataka kuikwapua…!

Lauhaulah! !!” akashangaa kisu kikita karibu na mkono uliokuwa ukienda kuinyofoa mafichoni bastola yake.

“ Alijuaje naeka hapa mpuuzi huyu!” alijiwazia Solomoni huku akijizoazoa kutoka chini.

“Mwanaume mzima unakimbilia silaha mbele ya mwanamke, shame on you lazy boy!!” alichamba mwanamke yule.

Solomoni akajaa gadhabu.

Kosa hilo!!

Kwa kujitutumua akanesa juu ili amtandike teke mgeni, ila akaambulia patupu na kabla hajatua chini akajikuta akipokea teke la pumbu.

Solomoni akabweka kama mbwa koko aliegonganisha mabwana.

Maumivu yakamtambaa kila kona ya mwili wake.

Ili aisendelee kuotewa akajiegemeza kwenye kabati la vyombo lililokuwa lipo pale sebuleni huku mkono wake mmoja ukiwa umezikumbatia kende zake na macho yake yakiwa makini kwa binti mgeni ambae alikuwa amechora mchoro kwa mtindo wa fujtsu.

Patamu!

Dakika mbili zikapita za ukimya huku kila mmoja akijaribu kumsoma mwenzie mawazo yake.

Binti mgeni alionekana kujiamini sana kuliko maelezo.

Solomoni maumivu yakampungua nae akachora huku akimtizama binti kwa makini bila kufanya papara ya kushambulia.

Binti akacheza kidogo na kumpelekea makonde manne ya haraka haraka ambayo yalipanguliwa kihodari na solomoni.

Kisha bila kutarajia binti akajikuta akivutwa kwa kasi na kupigwa kiwiko cha uso kilichompeleka chini bila kupenda alipotaka kunyanyuka akajikuta akitandikwa teke la tumbo lililomrudisha chini kama mzoga wa kiboko majini.

Binti akawahiwa kwa kupigwa kabari matata wakati akijaribu kujiinua kupambana huku nafsini akijuta kumchukulia poa Solomoni.

Kabali ilizidi kumdumaza binti huku akikohoa na kutapatapa kama Mhaya aliepaliwa na Senene.

Solomoni akataka kupeleka mkono ili amvue kofia ya kuficha uso.

Hakutimiza matakwa yake akajikuta akipigwa mtama safi uliompeleka chini kwa mara nyingine huku akiona mpigaji akiwa nyuma yake.

Alimwachia binti na kusambaratika chini kama mzoga.

Akafanya haraka kujinyanyua baada ya kuona binti kapata usaidizi wa mtu ambae hakujua alikotokea.

Kabla hajasimama vizuri akajikuta kisu kikitua sawia tumboni mwake na kabla hajataka kukichomoa akapigwa mateke mawili ya kifuani na hata kabla hajaanguka akajikuta akijaa kwenye kabari matata ya mwanamke.

Akafurukuta lakini maumivu ya kisu na kuvuja damu kukampunguzia uwezo wa kujikomboa.

Taratibu akaanza kuhisi kizunguzungu na kuhisi akiachiwa na mkono wa chuma uliokuwa umemkaba.

Alihisi mabishano yakiendelea baina ya watu wale ila hakusikia kitu zaidi ya miluzi ilioanza kujenga urafiki na masikio yake.

***

Zilipita dakika kadhaa ndipo alipohisi kuna hali ya tofauti kutoka pale alipokuwa amelala.

Mwili hakuwa na nguvu lakini alisikia joto jingi huku akianza kupaliwa na alipofumbua macho akakutana na wingu la moshi mzito.

Nyumba ilikuwa inaungua!!.

Akajaribu kuinuka ila hakuwa na nguvu,akajaribu tena akashindwa.

Akakata tamaa na tayari alisikia mmomonyoko wa mabati kutokea huko vyumbani.

Kifo kilinusa pua za Solomoni Bukaba.

****
 
RIWAYA: MPANGO WA CONGO

SEHEMU YA 13

NA BAHATI MWAMBA.

SIMU: 0758573660


Hakujuwa kesho anaijua mungu pekee na hakuna binadamu aliewahi kuifikia kesho isipokuwa mauti pekee ndio hukufikisha katika ukomo wa kesho ila si mwanadamu aliehai mana kila siku ni kesho ijayo.


Hakujua! Hakujua!

******

2. FUMBO.

Askari wa usalama barabarani bwana Kambi kitime alihakikisha anajua ni nani hasa amewasiliana na Remi pale kituoni na ni kitu gani hasa kilichompeleka pale kituoni.

Upande wake wala haikuwa kazi hasa baada ya kuona kijana mmoja ‘IO' akiharakisha kuingia ofisi namba kumi.

Kwa uzoefu wake wa ushushu usio rasmi ambao hautambuliwi na ofisi za usalama,alijua kuna mwito maalumu wa kijana yule hasa baada ya kuhakikisha Remi ametoka ofisi namba kumi inayokaliwa na OCCID Shaban katwila.

Alimkariri ‘IO’ yule kisha akatoka ndani ya ofisi na kuaga kwa baadhi ya rafiki zake.

Alipohakikisha yupo mbali na viunga vya kituo cha polisi; akachukua simu yake kisha akalitafuta jina alilohifadhi kwa herufi kubwa.

‘Elchapo' alipohakikisha ndilo jina alilohitaji, akapiga.

Punde simu ikapokelewa upande wa pili.

“Sema kitime” iliunguruma sauti iliopokea.

“Kasuku alikuwa hapa kituoni dakika sita zilizoisha” alisema Afande Kambi Kitime.

Upande wa pili kwa mtu alietambulika kama Elchapo ulikaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Unahakika umemuona yule binti?” akauliza Elchapo.

“Aah!!, sasa nitashindwaje kumjua wakati picha ya Kasuku ninayo?” alihoji Afande Kitime huku akionesha dhahiri kuchukia.

“Aisee hii inaweza kutugharimu poti!” alisema Elchapo huku akisikika dhahiri kuwa juu ya uwezo wake wa kupumua.

“Umepata tetesi za alichokifuata?” Elchapo aliuliza kwa utulivu wa kutisha na hiyo ilimaanisha yupo kwenye kiwango cha mbali sana cha tafakuri.

“Aliingia ofisi namba kumi, na ameacha karatasi kadhaa na sijui kilichomo” alieleza Afande Kitime.

Elchapo akapumua kisha akasema; “Naomba unipe uwezo wa mtu aliekabidhiwa hiyo kesi”

“Solomoni Bukaba, ni intelligence ofisa na ni mjuzi si haba” alifafanua Kambi Kitime.


“Ok nadhani ataponzwa na hizo karatasi” alisema taratibu sana Elchapo.

Ukimya ulipita baina yao.

Sekunde kadhaa mbele Elchapo akavunja ukimya ule.

“Ahsante poti, kazi yako imeisha nenda benki saivi mzigo wako umeshasoma” akamaliza Elchapo kisha akakata simu.

Afande mnoko; Kambi kitime alifurahi kwa kazi yake nyepesi inayomuingizia mkwanja wa kutakata.

Malipo ya usaliti hakujua ni kifo na hilo hakujua afande huyu mnoko ambae rushwa ya barabarani kwa madereva aliona haiwezi kukidhi matakwa yake pengine aliona ni pesa ya kusafisha viatu tu kama alivyosema mheshimiwa mmoja nchini.

Hakujua usaliti wa damu hulipwa kwa damu.

*****

Solomini Bukaba ndie ofisa wa kitengo cha upelelezi ya makosa ya jinai na uhaini ndani ya Nchi na ndie aliepewa karatasi nne zilizotoka kwa Remi.

Kwa maelezo ya mwanzo aliopewa ni kuwa kesi hiyo inahusiana na upotevu wa watoto wawili na karatasi alizopewa ni ushahidi kwa mujibu wa Remi.

Solomoni Bukaba alikuwa na kiporo cha mkasa mwingine wa mauaji ya watu sita huko visiwa vya Mwabhurugu simiyu na yeye alipewa jukumu hilo kwa kuwa ilisadikika wauaji wamekimbilia jijini Mwanza.

Solomoni alikuwa anakamilisha ripoti ya uchunguzi wake kabla ya kuripoti kwa mkuu wake wa kazi hivyo kazi aliopewa na OCCID Shaban Katwila ilikuwa ni nyongeza ya mrundikano wa kazi kwake hivyo aliamua kuzisoma karatasi hizo akiwa nyumbani kwake usiku mnene.

Kiza kilipoingia tayari Solomoni alikuwa ameshakamilisha ripoti yake na akaihifadhi vizuri kwenye makablasha kisha akaihifadhi ndani ya droo ya moja ya makabati yaliokuwa ofisini kwake.

Alipomaliza akapiga mwayo mrefu kisha akajinyoosha ili kuondoa uchovu uliokuwa umeanza kumvaa.

Hakutaka kuendelea kukaa ndani ya ofisi zile, akatoka na kuchukua koti lake akavaa na kuliendea gari lake lililokuwa limepaki likiwa pweke baada ya magari mengine yaliokuwa pamoja nalo kuchukuliwa na wamikiki wake.

Aliweka kablasha lililokuwa limehifadhi nakala za karatasi za Remi kwenye kiti cha nyuma kisha akaingia ndani ya gari lake na kulitekenya.

Lilipostuka tayari alikuwa ameshaingiza gia na kuondoka kwenye viunga vya ofisi za kipolisi.

Mwendo wake haukuwa wa kasi, alikuwa anaendesha taratibu huku akisikiliza muziki safi kutoka kwa wazee wa kale Kilimanjaro Band wananjenje.

Ingelikuwa ni siku ambazo huwa yupo kwenye hekaheka za kukimbizana na wahalifu basi angekuwa makini sana na vioo vyake vya gari kuangalia mienendo ya gari zilizokuwa nyuma yake.

Labda kwa siku hiyo kwake ilikuwa kifo cha nyani miti yote huteleza au basi wimbi la kupoteza lilikuwa linamwandama.

Hakuweza kabisa kuiona gari ndogo nyeusi iliokuwa nyuma yake tangu atoke kituo cha Polisi Neshino.

Safari yake ilikoma mbele ya geti la kijani pembezoni kidogo ya soko la nguo Langolango.

Alishuka ndani ya gari kisha akaenda kufungua geti na kurudi kuingiza gari lake.

Moja kwa moja aliposhuka ndani ya gari lake, akaenda kuingia ndani kwake ambapo palikuwa pweke kwa sababu hakuwa na mke wala mtoto alieweza kuishi nae.

Makablasha yake akayabwaga kwenye sofa kisha akaenda bafuni kuoga.

Huko hakudumu sana akarejea sebuleni akiwa amevaa nguo nyepesi maalumu kwa kulalia.

Alianza kwa kuyaweka sawa baadhi ya makablasha yake ambayo hakuwa na kazi nayo kwa wakati huo.

Mikono yake ikalifikia kablasha lililohifadhi nakala alizopewa na mkuu wake.

Akalifunua na macho yake yakatua kwenye maandishi ya kwanza kabisa ambayo yalimshawishi aendelee kusoma.

Lakini kila alivyozidi kusoma alijikuta mwili wake unasisimuka kwa alichokisoma..

Hatimae akatua karatasi ya kwanza na kuendelea na ya pili hatimae ya tatu na ya nne ndio ilimtoa jasho.

Kwanini!!

Kwa sababu katikati ya maelezo ya ile karatasi kulikuwa kuna majina mawili yaliokuwa yamekolezwa kwa wino.

Mbali na majina yale kulikuwa pia kuna akaunti mbili za kibenki katika mabenki mawili tofauti.

Solomoni Bukaba akaingiwa na ganzi ya mwili hakika.

Kichwani mwake yaliibuka maswali mawili huku swali kubwa likiwa ni vipi ataindika ripoti yake kwa sababu kwa maelezo ya karatasi zile haikuwa rahisi kuandika tena upotevu wa watoto kama mkuu wake alivyotaka iwe.

Lakini pia alihitaji kumpata binti aliezileta karatasi zile ili amuulize maswali kadhaa.

Angelimpata wapi hilo hakujua na wakati huo mshale wa saa ulisoma ni saa tano na nusu za usiku.

Alihitaji kupiga simu kutoa taarifa ile na si kulala nayo mana hakutaka kabisa kuipuuzia.

Akatoka sebuleni na kuelekea chumbani kuchukua simu yake.

Akiwa chumbani huko huko akapiga simu.

Mwanzo alidhani hana salio mana simu iligoma kutoka. Bila papara akajaribu kuangalia salio.

Lilikuwepo!

“mmh” akaguna

Akarudia tena kupiga simu,hali ikawa ile ile.

Simu haikutoka.

“Alah!!” alagafirika.

Akaichomoa kitesi chake kisha akarudisha.

Bado hali ilikuwa ni ile ile simu yake haikutoka.

Pagumu!!!

Akahisi labda ni mtandao unasuumbua, akatazama juu ya meza ndogo iliokuwa chumbani mwake.

Akaiona simu ya mezani ikiwepo.
Akaiendea na kuzungusha mara kadhaa ila ilitoa mlio kuashiria hakuna simu inayoweza kupigwa ama kupokelewa na simu ile.

“Kum….ae” likamtoka tusi zito lenye uzani wa kilo kadhaa.

Akajishika kiuono huku akishindwa la kuamua.

Akavuta pumzi nyingi na kuzishusha nusu tu.

Akasita kuzimaliza akavuta tena.

Ewaah!!

Alinusa harufu ya kitu kuungua,akaangaza pale chumbani hakuona kinachoungua.

Haraka akapiga hatua ndefu na kutoka ndani ya chumba huku akibamiza mlango kwa nguvu.

Akapigwa na butwaa kwa alichokiona sebuleni.

Kulikuwa kuna mgeni aliezichoma moto karatasi zile nne huku akiwa amejikaribisha kwenye sofa.

Mgeni yule alikuwa ameziba uso wake wote na kubakiza macho tu.

Kifupi alivaa kininja.

Aligwaya.

Solomoni Bukaba alitazama tena mlango wake, ulikuwa umefungwa lakini pia alikumbuka alifunga mlango wa nje kihakika.

Kapitaje na wapi!!

Hakukuwa na wa kumjibu.

“Wewe ni nani na umeingiaje?” aliuliza Solomoni huku akijitahidi kuupoteza mtetemeko uliokuwa umeanza kuomba makazi mwilini mwake.

“Acha kuwa mjinga Solo; yani hujaona karatasi zilizoungua unauliza nimeingiaje au hazijakuuma karatasi hizo?” alimaliza kwa swali mgeni yule.

Maajabu!!

Solomoni alihisi kuota hivi, sauti ya mgeni wake ilikuwa ya mwanamke.

Lakini kulikuwa kuna kitu cha ziada kwa mwanamke yule na kitu hicho kilijaribu kumuingia Solomoni ila hakikuingia sawa sawa mana hofu na akili vilishindana kuziteka hisia za mwili.

Solomoni Bukaba akatupia tena macho yake pale zilipokuwa karatasi alizopewa na OCCID; zilikuwa zinamalizikia kuteketea.

Akagashabika!!

“Ulishazichoma kwanini usiondoke sasa” aliuliza kwa utaratibu Solomoni.

Mgeni akatokwa na cheko la kishambenga.

Hapo napo Solomoni akakazia tafakuri yake ili aone kama ubongo utamletea kumbukumbu ya sauti hiyo.

Ikagoma!!

“Unadhani nitaondoka kirahisi tu!” aliuliza mgeni yule wa ajabu huku akinyanyuka kwenye sofa.

“Kwanini isiwe kirahisi binti” Solomoni nae akauliza huku akimtizama kwa makini mgeni yule.

“Haya macho mbona..” akajisemea Solomoni ila hakumaliza kuyatafakari binti yule akakwepesha macho yake ili asitazamane na Solo.

“Hakuna aliewahi kuzitazama hizo karatasi akabaki hai” alijibu Mgeni.

“Una….” Solomoni hakumalizia kauli yake akajikuta akipokea teke safi la kifuani lililomsambaratisha chini kama gunia la Panya huko Nyasa.

Solomoni akashangaa alivyopigwa kitaalamu.

Kutoka pale alipokuwa kwa chini kulikuwa kuna bastola ambayo ni vigumu kujua huwa inawekwa mahali hapo karibu na sofa aliloangukia.

Akataka kuikwapua…!

Lauhaulah! !!” akashangaa kisu kikita karibu na mkono uliokuwa ukienda kuinyofoa mafichoni bastola yake.

“ Alijuaje naeka hapa mpuuzi huyu!” alijiwazia Solomoni huku akijizoazoa kutoka chini.

“Mwanaume mzima unakimbilia silaha mbele ya mwanamke, shame on you lazy boy!!” alichamba mwanamke yule.

Solomoni akajaa gadhabu.

Kosa hilo!!

Kwa kujitutumua akanesa juu ili amtandike teke mgeni, ila akaambulia patupu na kabla hajatua chini akajikuta akipokea teke la pumbu.

Solomoni akabweka kama mbwa koko aliegonganisha mabwana.

Maumivu yakamtambaa kila kona ya mwili wake.

Ili aisendelee kuotewa akajiegemeza kwenye kabati la vyombo lililokuwa lipo pale sebuleni huku mkono wake mmoja ukiwa umezikumbatia kende zake na macho yake yakiwa makini kwa binti mgeni ambae alikuwa amechora mchoro kwa mtindo wa fujtsu.

Patamu!

Dakika mbili zikapita za ukimya huku kila mmoja akijaribu kumsoma mwenzie mawazo yake.

Binti mgeni alionekana kujiamini sana kuliko maelezo.

Solomoni maumivu yakampungua nae akachora huku akimtizama binti kwa makini bila kufanya papara ya kushambulia.

Binti akacheza kidogo na kumpelekea makonde manne ya haraka haraka ambayo yalipanguliwa kihodari na solomoni.

Kisha bila kutarajia binti akajikuta akivutwa kwa kasi na kupigwa kiwiko cha uso kilichompeleka chini bila kupenda alipotaka kunyanyuka akajikuta akitandikwa teke la tumbo lililomrudisha chini kama mzoga wa kiboko majini.

Binti akawahiwa kwa kupigwa kabari matata wakati akijaribu kujiinua kupambana huku nafsini akijuta kumchukulia poa Solomoni.

Kabali ilizidi kumdumaza binti huku akikohoa na kutapatapa kama Mhaya aliepaliwa na Senene.

Solomoni akataka kupeleka mkono ili amvue kofia ya kuficha uso.

Hakutimiza matakwa yake akajikuta akipigwa mtama safi uliompeleka chini kwa mara nyingine huku akiona mpigaji akiwa nyuma yake.

Alimwachia binti na kusambaratika chini kama mzoga.

Akafanya haraka kujinyanyua baada ya kuona binti kapata usaidizi wa mtu ambae hakujua alikotokea.

Kabla hajasimama vizuri akajikuta kisu kikitua sawia tumboni mwake na kabla hajataka kukichomoa akapigwa mateke mawili ya kifuani na hata kabla hajaanguka akajikuta akijaa kwenye kabari matata ya mwanamke.

Akafurukuta lakini maumivu ya kisu na kuvuja damu kukampunguzia uwezo wa kujikomboa.

Taratibu akaanza kuhisi kizunguzungu na kuhisi akiachiwa na mkono wa chuma uliokuwa umemkaba.

Alihisi mabishano yakiendelea baina ya watu wale ila hakusikia kitu zaidi ya miluzi ilioanza kujenga urafiki na masikio yake.

***

Zilipita dakika kadhaa ndipo alipohisi kuna hali ya tofauti kutoka pale alipokuwa amelala.

Mwili hakuwa na nguvu lakini alisikia joto jingi huku akianza kupaliwa na alipofumbua macho akakutana na wingu la moshi mzito.

Nyumba ilikuwa inaungua!!.

Akajaribu kuinuka ila hakuwa na nguvu,akajaribu tena akashindwa.

Akakata tamaa na tayari alisikia mmomonyoko wa mabati kutokea huko vyumbani.

Kifo kilinusa pua za Solomoni Bukaba.

****
maskini solomoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIWAYA: MPANGO WA CONGO

SEHEMU YA 13

NA BAHATI MWAMBA.

SIMU: 0758573660


Hakujuwa kesho anaijua mungu pekee na hakuna binadamu aliewahi kuifikia kesho isipokuwa mauti pekee ndio hukufikisha katika ukomo wa kesho ila si mwanadamu aliehai mana kila siku ni kesho ijayo.


Hakujua! Hakujua!

******

2. FUMBO.

Askari wa usalama barabarani bwana Kambi kitime alihakikisha anajua ni nani hasa amewasiliana na Remi pale kituoni na ni kitu gani hasa kilichompeleka pale kituoni.

Upande wake wala haikuwa kazi hasa baada ya kuona kijana mmoja ‘IO' akiharakisha kuingia ofisi namba kumi.

Kwa uzoefu wake wa ushushu usio rasmi ambao hautambuliwi na ofisi za usalama,alijua kuna mwito maalumu wa kijana yule hasa baada ya kuhakikisha Remi ametoka ofisi namba kumi inayokaliwa na OCCID Shaban katwila.

Alimkariri ‘IO’ yule kisha akatoka ndani ya ofisi na kuaga kwa baadhi ya rafiki zake.

Alipohakikisha yupo mbali na viunga vya kituo cha polisi; akachukua simu yake kisha akalitafuta jina alilohifadhi kwa herufi kubwa.

‘Elchapo' alipohakikisha ndilo jina alilohitaji, akapiga.

Punde simu ikapokelewa upande wa pili.

“Sema kitime” iliunguruma sauti iliopokea.

“Kasuku alikuwa hapa kituoni dakika sita zilizoisha” alisema Afande Kambi Kitime.

Upande wa pili kwa mtu alietambulika kama Elchapo ulikaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Unahakika umemuona yule binti?” akauliza Elchapo.

“Aah!!, sasa nitashindwaje kumjua wakati picha ya Kasuku ninayo?” alihoji Afande Kitime huku akionesha dhahiri kuchukia.

“Aisee hii inaweza kutugharimu poti!” alisema Elchapo huku akisikika dhahiri kuwa juu ya uwezo wake wa kupumua.

“Umepata tetesi za alichokifuata?” Elchapo aliuliza kwa utulivu wa kutisha na hiyo ilimaanisha yupo kwenye kiwango cha mbali sana cha tafakuri.

“Aliingia ofisi namba kumi, na ameacha karatasi kadhaa na sijui kilichomo” alieleza Afande Kitime.

Elchapo akapumua kisha akasema; “Naomba unipe uwezo wa mtu aliekabidhiwa hiyo kesi”

“Solomoni Bukaba, ni intelligence ofisa na ni mjuzi si haba” alifafanua Kambi Kitime.


“Ok nadhani ataponzwa na hizo karatasi” alisema taratibu sana Elchapo.

Ukimya ulipita baina yao.

Sekunde kadhaa mbele Elchapo akavunja ukimya ule.

“Ahsante poti, kazi yako imeisha nenda benki saivi mzigo wako umeshasoma” akamaliza Elchapo kisha akakata simu.

Afande mnoko; Kambi kitime alifurahi kwa kazi yake nyepesi inayomuingizia mkwanja wa kutakata.

Malipo ya usaliti hakujua ni kifo na hilo hakujua afande huyu mnoko ambae rushwa ya barabarani kwa madereva aliona haiwezi kukidhi matakwa yake pengine aliona ni pesa ya kusafisha viatu tu kama alivyosema mheshimiwa mmoja nchini.

Hakujua usaliti wa damu hulipwa kwa damu.

*****

Solomini Bukaba ndie ofisa wa kitengo cha upelelezi ya makosa ya jinai na uhaini ndani ya Nchi na ndie aliepewa karatasi nne zilizotoka kwa Remi.

Kwa maelezo ya mwanzo aliopewa ni kuwa kesi hiyo inahusiana na upotevu wa watoto wawili na karatasi alizopewa ni ushahidi kwa mujibu wa Remi.

Solomoni Bukaba alikuwa na kiporo cha mkasa mwingine wa mauaji ya watu sita huko visiwa vya Mwabhurugu simiyu na yeye alipewa jukumu hilo kwa kuwa ilisadikika wauaji wamekimbilia jijini Mwanza.

Solomoni alikuwa anakamilisha ripoti ya uchunguzi wake kabla ya kuripoti kwa mkuu wake wa kazi hivyo kazi aliopewa na OCCID Shaban Katwila ilikuwa ni nyongeza ya mrundikano wa kazi kwake hivyo aliamua kuzisoma karatasi hizo akiwa nyumbani kwake usiku mnene.

Kiza kilipoingia tayari Solomoni alikuwa ameshakamilisha ripoti yake na akaihifadhi vizuri kwenye makablasha kisha akaihifadhi ndani ya droo ya moja ya makabati yaliokuwa ofisini kwake.

Alipomaliza akapiga mwayo mrefu kisha akajinyoosha ili kuondoa uchovu uliokuwa umeanza kumvaa.

Hakutaka kuendelea kukaa ndani ya ofisi zile, akatoka na kuchukua koti lake akavaa na kuliendea gari lake lililokuwa limepaki likiwa pweke baada ya magari mengine yaliokuwa pamoja nalo kuchukuliwa na wamikiki wake.

Aliweka kablasha lililokuwa limehifadhi nakala za karatasi za Remi kwenye kiti cha nyuma kisha akaingia ndani ya gari lake na kulitekenya.

Lilipostuka tayari alikuwa ameshaingiza gia na kuondoka kwenye viunga vya ofisi za kipolisi.

Mwendo wake haukuwa wa kasi, alikuwa anaendesha taratibu huku akisikiliza muziki safi kutoka kwa wazee wa kale Kilimanjaro Band wananjenje.

Ingelikuwa ni siku ambazo huwa yupo kwenye hekaheka za kukimbizana na wahalifu basi angekuwa makini sana na vioo vyake vya gari kuangalia mienendo ya gari zilizokuwa nyuma yake.

Labda kwa siku hiyo kwake ilikuwa kifo cha nyani miti yote huteleza au basi wimbi la kupoteza lilikuwa linamwandama.

Hakuweza kabisa kuiona gari ndogo nyeusi iliokuwa nyuma yake tangu atoke kituo cha Polisi Neshino.

Safari yake ilikoma mbele ya geti la kijani pembezoni kidogo ya soko la nguo Langolango.

Alishuka ndani ya gari kisha akaenda kufungua geti na kurudi kuingiza gari lake.

Moja kwa moja aliposhuka ndani ya gari lake, akaenda kuingia ndani kwake ambapo palikuwa pweke kwa sababu hakuwa na mke wala mtoto alieweza kuishi nae.

Makablasha yake akayabwaga kwenye sofa kisha akaenda bafuni kuoga.

Huko hakudumu sana akarejea sebuleni akiwa amevaa nguo nyepesi maalumu kwa kulalia.

Alianza kwa kuyaweka sawa baadhi ya makablasha yake ambayo hakuwa na kazi nayo kwa wakati huo.

Mikono yake ikalifikia kablasha lililohifadhi nakala alizopewa na mkuu wake.

Akalifunua na macho yake yakatua kwenye maandishi ya kwanza kabisa ambayo yalimshawishi aendelee kusoma.

Lakini kila alivyozidi kusoma alijikuta mwili wake unasisimuka kwa alichokisoma..

Hatimae akatua karatasi ya kwanza na kuendelea na ya pili hatimae ya tatu na ya nne ndio ilimtoa jasho.

Kwanini!!

Kwa sababu katikati ya maelezo ya ile karatasi kulikuwa kuna majina mawili yaliokuwa yamekolezwa kwa wino.

Mbali na majina yale kulikuwa pia kuna akaunti mbili za kibenki katika mabenki mawili tofauti.

Solomoni Bukaba akaingiwa na ganzi ya mwili hakika.

Kichwani mwake yaliibuka maswali mawili huku swali kubwa likiwa ni vipi ataindika ripoti yake kwa sababu kwa maelezo ya karatasi zile haikuwa rahisi kuandika tena upotevu wa watoto kama mkuu wake alivyotaka iwe.

Lakini pia alihitaji kumpata binti aliezileta karatasi zile ili amuulize maswali kadhaa.

Angelimpata wapi hilo hakujua na wakati huo mshale wa saa ulisoma ni saa tano na nusu za usiku.

Alihitaji kupiga simu kutoa taarifa ile na si kulala nayo mana hakutaka kabisa kuipuuzia.

Akatoka sebuleni na kuelekea chumbani kuchukua simu yake.

Akiwa chumbani huko huko akapiga simu.

Mwanzo alidhani hana salio mana simu iligoma kutoka. Bila papara akajaribu kuangalia salio.

Lilikuwepo!

“mmh” akaguna

Akarudia tena kupiga simu,hali ikawa ile ile.

Simu haikutoka.

“Alah!!” alagafirika.

Akaichomoa kitesi chake kisha akarudisha.

Bado hali ilikuwa ni ile ile simu yake haikutoka.

Pagumu!!!

Akahisi labda ni mtandao unasuumbua, akatazama juu ya meza ndogo iliokuwa chumbani mwake.

Akaiona simu ya mezani ikiwepo.
Akaiendea na kuzungusha mara kadhaa ila ilitoa mlio kuashiria hakuna simu inayoweza kupigwa ama kupokelewa na simu ile.

“Kum….ae” likamtoka tusi zito lenye uzani wa kilo kadhaa.

Akajishika kiuono huku akishindwa la kuamua.

Akavuta pumzi nyingi na kuzishusha nusu tu.

Akasita kuzimaliza akavuta tena.

Ewaah!!

Alinusa harufu ya kitu kuungua,akaangaza pale chumbani hakuona kinachoungua.

Haraka akapiga hatua ndefu na kutoka ndani ya chumba huku akibamiza mlango kwa nguvu.

Akapigwa na butwaa kwa alichokiona sebuleni.

Kulikuwa kuna mgeni aliezichoma moto karatasi zile nne huku akiwa amejikaribisha kwenye sofa.

Mgeni yule alikuwa ameziba uso wake wote na kubakiza macho tu.

Kifupi alivaa kininja.

Aligwaya.

Solomoni Bukaba alitazama tena mlango wake, ulikuwa umefungwa lakini pia alikumbuka alifunga mlango wa nje kihakika.

Kapitaje na wapi!!

Hakukuwa na wa kumjibu.

“Wewe ni nani na umeingiaje?” aliuliza Solomoni huku akijitahidi kuupoteza mtetemeko uliokuwa umeanza kuomba makazi mwilini mwake.

“Acha kuwa mjinga Solo; yani hujaona karatasi zilizoungua unauliza nimeingiaje au hazijakuuma karatasi hizo?” alimaliza kwa swali mgeni yule.

Maajabu!!

Solomoni alihisi kuota hivi, sauti ya mgeni wake ilikuwa ya mwanamke.

Lakini kulikuwa kuna kitu cha ziada kwa mwanamke yule na kitu hicho kilijaribu kumuingia Solomoni ila hakikuingia sawa sawa mana hofu na akili vilishindana kuziteka hisia za mwili.

Solomoni Bukaba akatupia tena macho yake pale zilipokuwa karatasi alizopewa na OCCID; zilikuwa zinamalizikia kuteketea.

Akagashabika!!

“Ulishazichoma kwanini usiondoke sasa” aliuliza kwa utaratibu Solomoni.

Mgeni akatokwa na cheko la kishambenga.

Hapo napo Solomoni akakazia tafakuri yake ili aone kama ubongo utamletea kumbukumbu ya sauti hiyo.

Ikagoma!!

“Unadhani nitaondoka kirahisi tu!” aliuliza mgeni yule wa ajabu huku akinyanyuka kwenye sofa.

“Kwanini isiwe kirahisi binti” Solomoni nae akauliza huku akimtizama kwa makini mgeni yule.

“Haya macho mbona..” akajisemea Solomoni ila hakumaliza kuyatafakari binti yule akakwepesha macho yake ili asitazamane na Solo.

“Hakuna aliewahi kuzitazama hizo karatasi akabaki hai” alijibu Mgeni.

“Una….” Solomoni hakumalizia kauli yake akajikuta akipokea teke safi la kifuani lililomsambaratisha chini kama gunia la Panya huko Nyasa.

Solomoni akashangaa alivyopigwa kitaalamu.

Kutoka pale alipokuwa kwa chini kulikuwa kuna bastola ambayo ni vigumu kujua huwa inawekwa mahali hapo karibu na sofa aliloangukia.

Akataka kuikwapua…!

Lauhaulah! !!” akashangaa kisu kikita karibu na mkono uliokuwa ukienda kuinyofoa mafichoni bastola yake.

“ Alijuaje naeka hapa mpuuzi huyu!” alijiwazia Solomoni huku akijizoazoa kutoka chini.

“Mwanaume mzima unakimbilia silaha mbele ya mwanamke, shame on you lazy boy!!” alichamba mwanamke yule.

Solomoni akajaa gadhabu.

Kosa hilo!!

Kwa kujitutumua akanesa juu ili amtandike teke mgeni, ila akaambulia patupu na kabla hajatua chini akajikuta akipokea teke la pumbu.

Solomoni akabweka kama mbwa koko aliegonganisha mabwana.

Maumivu yakamtambaa kila kona ya mwili wake.

Ili aisendelee kuotewa akajiegemeza kwenye kabati la vyombo lililokuwa lipo pale sebuleni huku mkono wake mmoja ukiwa umezikumbatia kende zake na macho yake yakiwa makini kwa binti mgeni ambae alikuwa amechora mchoro kwa mtindo wa fujtsu.

Patamu!

Dakika mbili zikapita za ukimya huku kila mmoja akijaribu kumsoma mwenzie mawazo yake.

Binti mgeni alionekana kujiamini sana kuliko maelezo.

Solomoni maumivu yakampungua nae akachora huku akimtizama binti kwa makini bila kufanya papara ya kushambulia.

Binti akacheza kidogo na kumpelekea makonde manne ya haraka haraka ambayo yalipanguliwa kihodari na solomoni.

Kisha bila kutarajia binti akajikuta akivutwa kwa kasi na kupigwa kiwiko cha uso kilichompeleka chini bila kupenda alipotaka kunyanyuka akajikuta akitandikwa teke la tumbo lililomrudisha chini kama mzoga wa kiboko majini.

Binti akawahiwa kwa kupigwa kabari matata wakati akijaribu kujiinua kupambana huku nafsini akijuta kumchukulia poa Solomoni.

Kabali ilizidi kumdumaza binti huku akikohoa na kutapatapa kama Mhaya aliepaliwa na Senene.

Solomoni akataka kupeleka mkono ili amvue kofia ya kuficha uso.

Hakutimiza matakwa yake akajikuta akipigwa mtama safi uliompeleka chini kwa mara nyingine huku akiona mpigaji akiwa nyuma yake.

Alimwachia binti na kusambaratika chini kama mzoga.

Akafanya haraka kujinyanyua baada ya kuona binti kapata usaidizi wa mtu ambae hakujua alikotokea.

Kabla hajasimama vizuri akajikuta kisu kikitua sawia tumboni mwake na kabla hajataka kukichomoa akapigwa mateke mawili ya kifuani na hata kabla hajaanguka akajikuta akijaa kwenye kabari matata ya mwanamke.

Akafurukuta lakini maumivu ya kisu na kuvuja damu kukampunguzia uwezo wa kujikomboa.

Taratibu akaanza kuhisi kizunguzungu na kuhisi akiachiwa na mkono wa chuma uliokuwa umemkaba.

Alihisi mabishano yakiendelea baina ya watu wale ila hakusikia kitu zaidi ya miluzi ilioanza kujenga urafiki na masikio yake.

***

Zilipita dakika kadhaa ndipo alipohisi kuna hali ya tofauti kutoka pale alipokuwa amelala.

Mwili hakuwa na nguvu lakini alisikia joto jingi huku akianza kupaliwa na alipofumbua macho akakutana na wingu la moshi mzito.

Nyumba ilikuwa inaungua!!.

Akajaribu kuinuka ila hakuwa na nguvu,akajaribu tena akashindwa.

Akakata tamaa na tayari alisikia mmomonyoko wa mabati kutokea huko vyumbani.

Kifo kilinusa pua za Solomoni Bukaba.

****
Umetisha sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIWAYA: MPANGO WA CONGO

SEHEMU YA 13

NA BAHATI MWAMBA.

SIMU: 0758573660


Hakujuwa kesho anaijua mungu pekee na hakuna binadamu aliewahi kuifikia kesho isipokuwa mauti pekee ndio hukufikisha katika ukomo wa kesho ila si mwanadamu aliehai mana kila siku ni kesho ijayo.


Hakujua! Hakujua!

******

2. FUMBO.

Askari wa usalama barabarani bwana Kambi kitime alihakikisha anajua ni nani hasa amewasiliana na Remi pale kituoni na ni kitu gani hasa kilichompeleka pale kituoni.

Upande wake wala haikuwa kazi hasa baada ya kuona kijana mmoja ‘IO' akiharakisha kuingia ofisi namba kumi.

Kwa uzoefu wake wa ushushu usio rasmi ambao hautambuliwi na ofisi za usalama,alijua kuna mwito maalumu wa kijana yule hasa baada ya kuhakikisha Remi ametoka ofisi namba kumi inayokaliwa na OCCID Shaban katwila.

Alimkariri ‘IO’ yule kisha akatoka ndani ya ofisi na kuaga kwa baadhi ya rafiki zake.

Alipohakikisha yupo mbali na viunga vya kituo cha polisi; akachukua simu yake kisha akalitafuta jina alilohifadhi kwa herufi kubwa.

‘Elchapo' alipohakikisha ndilo jina alilohitaji, akapiga.

Punde simu ikapokelewa upande wa pili.

“Sema kitime” iliunguruma sauti iliopokea.

“Kasuku alikuwa hapa kituoni dakika sita zilizoisha” alisema Afande Kambi Kitime.

Upande wa pili kwa mtu alietambulika kama Elchapo ulikaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Unahakika umemuona yule binti?” akauliza Elchapo.

“Aah!!, sasa nitashindwaje kumjua wakati picha ya Kasuku ninayo?” alihoji Afande Kitime huku akionesha dhahiri kuchukia.

“Aisee hii inaweza kutugharimu poti!” alisema Elchapo huku akisikika dhahiri kuwa juu ya uwezo wake wa kupumua.

“Umepata tetesi za alichokifuata?” Elchapo aliuliza kwa utulivu wa kutisha na hiyo ilimaanisha yupo kwenye kiwango cha mbali sana cha tafakuri.

“Aliingia ofisi namba kumi, na ameacha karatasi kadhaa na sijui kilichomo” alieleza Afande Kitime.

Elchapo akapumua kisha akasema; “Naomba unipe uwezo wa mtu aliekabidhiwa hiyo kesi”

“Solomoni Bukaba, ni intelligence ofisa na ni mjuzi si haba” alifafanua Kambi Kitime.


“Ok nadhani ataponzwa na hizo karatasi” alisema taratibu sana Elchapo.

Ukimya ulipita baina yao.

Sekunde kadhaa mbele Elchapo akavunja ukimya ule.

“Ahsante poti, kazi yako imeisha nenda benki saivi mzigo wako umeshasoma” akamaliza Elchapo kisha akakata simu.

Afande mnoko; Kambi kitime alifurahi kwa kazi yake nyepesi inayomuingizia mkwanja wa kutakata.

Malipo ya usaliti hakujua ni kifo na hilo hakujua afande huyu mnoko ambae rushwa ya barabarani kwa madereva aliona haiwezi kukidhi matakwa yake pengine aliona ni pesa ya kusafisha viatu tu kama alivyosema mheshimiwa mmoja nchini.

Hakujua usaliti wa damu hulipwa kwa damu.

*****

Solomini Bukaba ndie ofisa wa kitengo cha upelelezi ya makosa ya jinai na uhaini ndani ya Nchi na ndie aliepewa karatasi nne zilizotoka kwa Remi.

Kwa maelezo ya mwanzo aliopewa ni kuwa kesi hiyo inahusiana na upotevu wa watoto wawili na karatasi alizopewa ni ushahidi kwa mujibu wa Remi.

Solomoni Bukaba alikuwa na kiporo cha mkasa mwingine wa mauaji ya watu sita huko visiwa vya Mwabhurugu simiyu na yeye alipewa jukumu hilo kwa kuwa ilisadikika wauaji wamekimbilia jijini Mwanza.

Solomoni alikuwa anakamilisha ripoti ya uchunguzi wake kabla ya kuripoti kwa mkuu wake wa kazi hivyo kazi aliopewa na OCCID Shaban Katwila ilikuwa ni nyongeza ya mrundikano wa kazi kwake hivyo aliamua kuzisoma karatasi hizo akiwa nyumbani kwake usiku mnene.

Kiza kilipoingia tayari Solomoni alikuwa ameshakamilisha ripoti yake na akaihifadhi vizuri kwenye makablasha kisha akaihifadhi ndani ya droo ya moja ya makabati yaliokuwa ofisini kwake.

Alipomaliza akapiga mwayo mrefu kisha akajinyoosha ili kuondoa uchovu uliokuwa umeanza kumvaa.

Hakutaka kuendelea kukaa ndani ya ofisi zile, akatoka na kuchukua koti lake akavaa na kuliendea gari lake lililokuwa limepaki likiwa pweke baada ya magari mengine yaliokuwa pamoja nalo kuchukuliwa na wamikiki wake.

Aliweka kablasha lililokuwa limehifadhi nakala za karatasi za Remi kwenye kiti cha nyuma kisha akaingia ndani ya gari lake na kulitekenya.

Lilipostuka tayari alikuwa ameshaingiza gia na kuondoka kwenye viunga vya ofisi za kipolisi.

Mwendo wake haukuwa wa kasi, alikuwa anaendesha taratibu huku akisikiliza muziki safi kutoka kwa wazee wa kale Kilimanjaro Band wananjenje.

Ingelikuwa ni siku ambazo huwa yupo kwenye hekaheka za kukimbizana na wahalifu basi angekuwa makini sana na vioo vyake vya gari kuangalia mienendo ya gari zilizokuwa nyuma yake.

Labda kwa siku hiyo kwake ilikuwa kifo cha nyani miti yote huteleza au basi wimbi la kupoteza lilikuwa linamwandama.

Hakuweza kabisa kuiona gari ndogo nyeusi iliokuwa nyuma yake tangu atoke kituo cha Polisi Neshino.

Safari yake ilikoma mbele ya geti la kijani pembezoni kidogo ya soko la nguo Langolango.

Alishuka ndani ya gari kisha akaenda kufungua geti na kurudi kuingiza gari lake.

Moja kwa moja aliposhuka ndani ya gari lake, akaenda kuingia ndani kwake ambapo palikuwa pweke kwa sababu hakuwa na mke wala mtoto alieweza kuishi nae.

Makablasha yake akayabwaga kwenye sofa kisha akaenda bafuni kuoga.

Huko hakudumu sana akarejea sebuleni akiwa amevaa nguo nyepesi maalumu kwa kulalia.

Alianza kwa kuyaweka sawa baadhi ya makablasha yake ambayo hakuwa na kazi nayo kwa wakati huo.

Mikono yake ikalifikia kablasha lililohifadhi nakala alizopewa na mkuu wake.

Akalifunua na macho yake yakatua kwenye maandishi ya kwanza kabisa ambayo yalimshawishi aendelee kusoma.

Lakini kila alivyozidi kusoma alijikuta mwili wake unasisimuka kwa alichokisoma..

Hatimae akatua karatasi ya kwanza na kuendelea na ya pili hatimae ya tatu na ya nne ndio ilimtoa jasho.

Kwanini!!

Kwa sababu katikati ya maelezo ya ile karatasi kulikuwa kuna majina mawili yaliokuwa yamekolezwa kwa wino.

Mbali na majina yale kulikuwa pia kuna akaunti mbili za kibenki katika mabenki mawili tofauti.

Solomoni Bukaba akaingiwa na ganzi ya mwili hakika.

Kichwani mwake yaliibuka maswali mawili huku swali kubwa likiwa ni vipi ataindika ripoti yake kwa sababu kwa maelezo ya karatasi zile haikuwa rahisi kuandika tena upotevu wa watoto kama mkuu wake alivyotaka iwe.

Lakini pia alihitaji kumpata binti aliezileta karatasi zile ili amuulize maswali kadhaa.

Angelimpata wapi hilo hakujua na wakati huo mshale wa saa ulisoma ni saa tano na nusu za usiku.

Alihitaji kupiga simu kutoa taarifa ile na si kulala nayo mana hakutaka kabisa kuipuuzia.

Akatoka sebuleni na kuelekea chumbani kuchukua simu yake.

Akiwa chumbani huko huko akapiga simu.

Mwanzo alidhani hana salio mana simu iligoma kutoka. Bila papara akajaribu kuangalia salio.

Lilikuwepo!

“mmh” akaguna

Akarudia tena kupiga simu,hali ikawa ile ile.

Simu haikutoka.

“Alah!!” alagafirika.

Akaichomoa kitesi chake kisha akarudisha.

Bado hali ilikuwa ni ile ile simu yake haikutoka.

Pagumu!!!

Akahisi labda ni mtandao unasuumbua, akatazama juu ya meza ndogo iliokuwa chumbani mwake.

Akaiona simu ya mezani ikiwepo.
Akaiendea na kuzungusha mara kadhaa ila ilitoa mlio kuashiria hakuna simu inayoweza kupigwa ama kupokelewa na simu ile.

“Kum….ae” likamtoka tusi zito lenye uzani wa kilo kadhaa.

Akajishika kiuono huku akishindwa la kuamua.

Akavuta pumzi nyingi na kuzishusha nusu tu.

Akasita kuzimaliza akavuta tena.

Ewaah!!

Alinusa harufu ya kitu kuungua,akaangaza pale chumbani hakuona kinachoungua.

Haraka akapiga hatua ndefu na kutoka ndani ya chumba huku akibamiza mlango kwa nguvu.

Akapigwa na butwaa kwa alichokiona sebuleni.

Kulikuwa kuna mgeni aliezichoma moto karatasi zile nne huku akiwa amejikaribisha kwenye sofa.

Mgeni yule alikuwa ameziba uso wake wote na kubakiza macho tu.

Kifupi alivaa kininja.

Aligwaya.

Solomoni Bukaba alitazama tena mlango wake, ulikuwa umefungwa lakini pia alikumbuka alifunga mlango wa nje kihakika.

Kapitaje na wapi!!

Hakukuwa na wa kumjibu.

“Wewe ni nani na umeingiaje?” aliuliza Solomoni huku akijitahidi kuupoteza mtetemeko uliokuwa umeanza kuomba makazi mwilini mwake.

“Acha kuwa mjinga Solo; yani hujaona karatasi zilizoungua unauliza nimeingiaje au hazijakuuma karatasi hizo?” alimaliza kwa swali mgeni yule.

Maajabu!!

Solomoni alihisi kuota hivi, sauti ya mgeni wake ilikuwa ya mwanamke.

Lakini kulikuwa kuna kitu cha ziada kwa mwanamke yule na kitu hicho kilijaribu kumuingia Solomoni ila hakikuingia sawa sawa mana hofu na akili vilishindana kuziteka hisia za mwili.

Solomoni Bukaba akatupia tena macho yake pale zilipokuwa karatasi alizopewa na OCCID; zilikuwa zinamalizikia kuteketea.

Akagashabika!!

“Ulishazichoma kwanini usiondoke sasa” aliuliza kwa utaratibu Solomoni.

Mgeni akatokwa na cheko la kishambenga.

Hapo napo Solomoni akakazia tafakuri yake ili aone kama ubongo utamletea kumbukumbu ya sauti hiyo.

Ikagoma!!

“Unadhani nitaondoka kirahisi tu!” aliuliza mgeni yule wa ajabu huku akinyanyuka kwenye sofa.

“Kwanini isiwe kirahisi binti” Solomoni nae akauliza huku akimtizama kwa makini mgeni yule.

“Haya macho mbona..” akajisemea Solomoni ila hakumaliza kuyatafakari binti yule akakwepesha macho yake ili asitazamane na Solo.

“Hakuna aliewahi kuzitazama hizo karatasi akabaki hai” alijibu Mgeni.

“Una….” Solomoni hakumalizia kauli yake akajikuta akipokea teke safi la kifuani lililomsambaratisha chini kama gunia la Panya huko Nyasa.

Solomoni akashangaa alivyopigwa kitaalamu.

Kutoka pale alipokuwa kwa chini kulikuwa kuna bastola ambayo ni vigumu kujua huwa inawekwa mahali hapo karibu na sofa aliloangukia.

Akataka kuikwapua…!

Lauhaulah! !!” akashangaa kisu kikita karibu na mkono uliokuwa ukienda kuinyofoa mafichoni bastola yake.

“ Alijuaje naeka hapa mpuuzi huyu!” alijiwazia Solomoni huku akijizoazoa kutoka chini.

“Mwanaume mzima unakimbilia silaha mbele ya mwanamke, shame on you lazy boy!!” alichamba mwanamke yule.

Solomoni akajaa gadhabu.

Kosa hilo!!

Kwa kujitutumua akanesa juu ili amtandike teke mgeni, ila akaambulia patupu na kabla hajatua chini akajikuta akipokea teke la pumbu.

Solomoni akabweka kama mbwa koko aliegonganisha mabwana.

Maumivu yakamtambaa kila kona ya mwili wake.

Ili aisendelee kuotewa akajiegemeza kwenye kabati la vyombo lililokuwa lipo pale sebuleni huku mkono wake mmoja ukiwa umezikumbatia kende zake na macho yake yakiwa makini kwa binti mgeni ambae alikuwa amechora mchoro kwa mtindo wa fujtsu.

Patamu!

Dakika mbili zikapita za ukimya huku kila mmoja akijaribu kumsoma mwenzie mawazo yake.

Binti mgeni alionekana kujiamini sana kuliko maelezo.

Solomoni maumivu yakampungua nae akachora huku akimtizama binti kwa makini bila kufanya papara ya kushambulia.

Binti akacheza kidogo na kumpelekea makonde manne ya haraka haraka ambayo yalipanguliwa kihodari na solomoni.

Kisha bila kutarajia binti akajikuta akivutwa kwa kasi na kupigwa kiwiko cha uso kilichompeleka chini bila kupenda alipotaka kunyanyuka akajikuta akitandikwa teke la tumbo lililomrudisha chini kama mzoga wa kiboko majini.

Binti akawahiwa kwa kupigwa kabari matata wakati akijaribu kujiinua kupambana huku nafsini akijuta kumchukulia poa Solomoni.

Kabali ilizidi kumdumaza binti huku akikohoa na kutapatapa kama Mhaya aliepaliwa na Senene.

Solomoni akataka kupeleka mkono ili amvue kofia ya kuficha uso.

Hakutimiza matakwa yake akajikuta akipigwa mtama safi uliompeleka chini kwa mara nyingine huku akiona mpigaji akiwa nyuma yake.

Alimwachia binti na kusambaratika chini kama mzoga.

Akafanya haraka kujinyanyua baada ya kuona binti kapata usaidizi wa mtu ambae hakujua alikotokea.

Kabla hajasimama vizuri akajikuta kisu kikitua sawia tumboni mwake na kabla hajataka kukichomoa akapigwa mateke mawili ya kifuani na hata kabla hajaanguka akajikuta akijaa kwenye kabari matata ya mwanamke.

Akafurukuta lakini maumivu ya kisu na kuvuja damu kukampunguzia uwezo wa kujikomboa.

Taratibu akaanza kuhisi kizunguzungu na kuhisi akiachiwa na mkono wa chuma uliokuwa umemkaba.

Alihisi mabishano yakiendelea baina ya watu wale ila hakusikia kitu zaidi ya miluzi ilioanza kujenga urafiki na masikio yake.

***

Zilipita dakika kadhaa ndipo alipohisi kuna hali ya tofauti kutoka pale alipokuwa amelala.

Mwili hakuwa na nguvu lakini alisikia joto jingi huku akianza kupaliwa na alipofumbua macho akakutana na wingu la moshi mzito.

Nyumba ilikuwa inaungua!!.

Akajaribu kuinuka ila hakuwa na nguvu,akajaribu tena akashindwa.

Akakata tamaa na tayari alisikia mmomonyoko wa mabati kutokea huko vyumbani.

Kifo kilinusa pua za Solomoni Bukaba.

****
Makini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, yaani Kama naona live vile.
Shukran mkuu
 
Mdharau mwiba mguu huota tende, yote haya yaliyompata Solomon ni matokeo ya kumdharau Remi pale kituoni... (Mwenye akili na aelewe)
 
Back
Top Bottom