Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

Mkuu unabii umetimia. Mwana mpotevu karudi kwa babaye tutegemee mwana kuvishwa kanzu mpya safi, tafrija na kuvishwa pete. Hahaaaaa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Sikuwa mfuatiliaji wa jf lakin nlikuwa na wazo kama hili hasa baada ya kusema ameshinda kwa 60% na akaukausha wasiwasi wangu uliongezeka maradufu ningeonaga hii thread ningepita kwa kuguna maana ina ka ukweli,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bravo mkuu.
Yametimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na ndo karud kwa mwenyekiti mpya sasa siasa za bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…