Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Asee mbona ni kama ulikuweko kwenye mkakati?
 
Kumbe wewe ni mbashili mzuri!

2015 lowassa angegombea urais ndani ya CCM kwa sifa mbaya alizokuwa nazo CCM ingepata tabu sana pengine vurugu zingezuka inakuaje mtu mchafu namna ile anashinda urais wakati watanzania wanajua ni mchafu,kilichofanyika pale ni kuokoa CCM na maslahi yao kwani urais upo tu,kama hivi sio miaka mingi lowassa na kundi lake wanaweza ongoza nchi....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
DU HUU NI MSUMARI WA UTOSI KWA CDM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanafunzi mliopo vyuoni jifunzeni kutoka kwangu
 
[USER]jingalao[/USER] leo kawa Somo tumsomeni


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Back
Top Bottom