Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

Mwaka 1995 ilikuwa vyama vichanga na uchaguzi wao wa kwaza kushiriki,so,hata wananchi wapiga kura walikuwa bado na uelewa mdogo na hofu juu ya mageuzi wakizani nchi bila CCM haiwezekani kabisa.

Angalia takwimu mwaka 2005 - 2010 kura za upinzani zilipanda na mwaka huu 2015 zitapanda zaidi kwa sababu kadhaa,

1. Nguvu ya Lowasa ni kubwa sana na nivigumu kushindwa unapomfikisha kwenye kuchaguliwa kwa njia ya kura kumbuka hata CCM walivyojua wanamkata hawakulipeleka jina lake kwenye point ya kupigiwa kura kwasababu wanajua ukweli huo.

2. kumbuka hata watoto waliozaliwa 1995 sasa tunapiga nao kura ile hofu ya (wana umri wamiaka 20 sasa) maana yangu ni kwamba hawana ule U-CCM, U-TANU ,U ASP wala U Nyerere wamezaliwa ndani ya vyama vingi na wamekuliwa humu,so, wanapoelimishwa kwamba hizi changamoto wanazokabiliana nazo zitaondolewa nje ya CCM wanahamasika.

3.Udhaifu na mapungufu ya CCM yenyewe sasa yako wazi mno hata mtoto ana ona jinsi wana vyoumbuana kwa chaguzi zao za rushwa n.k

Kama EL anayo nguvu kiasi hicho kwa nini aliogopa kiasi cha kutoa sharti la kutokuwapo kwa mwanachama mwingine atakaye chukua form ya uraisi Chadema kwa kuwa hakutaka kushindanishwa kwa kupigiwa kura?!!!
 
1. Nguvu ya Lowasa ni kubwa sana na nivigumu kushindwa unapomfikisha kwenye kuchaguliwa kwa njia ya kura kumbuka hata CCM walivyojua wanamkata hawakulipeleka jina lake kwenye point ya kupigiwa kura kwasababu wanajua ukweli huo.
Jambo kama hulijyi uliza, ukidhani nguvu hii ilitokana na "uwezo"wake wa kuongoza umebugi. Fuatilia uchaguzi wa ccm wa 2012; uwt na uvccm, ndio utajua nguvu ya lowasa imetokea wapi ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu.
 
Kuna buku saba wanajipa moyo humu.. Ni vizuri mkamwambia nnape awaongeze dau ili nanyi mfaidi escrow kabla ukawa haijaingia ikulu...
 
Ww ndio uliotumwa ila leo mm nasema tz imekuwa kisiasa wala usitutishe
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
If wishes were horses......
 
Kama EL anayo nguvu kiasi hicho kwa nini aliogopa kiasi cha kutoa sharti la kutokuwapo kwa mwanachama mwingine atakaye chukua form ya uraisi Chadema kwa kuwa hakutaka kushindanishwa kwa kupigiwa kura?!!!
ni wana chadema na Ukawa ndiyo tulimwomba mzee Lowassa atuoneshe tena uungwana wake kwa kukubali kuwa mgombea pekee bila kuhitaji kushindanishwa na mwingine yeyote kwa kupigiwa kura.

Tunamshukuru Mzee Legwanan kwa uungwana wake, akatukubalia kuwa mgombea pekee.
 
Kuna watu wanamtaja edo kama mkombozi wame kuwa kama wamepigwa nusu kaputi, hv ninyi hamkuwahi kusema kuwa hakuna maarufu kuliko chama?? Mkamuita zitto na wengine kuwa wasaliti??

Leo kila kitu lowasa, asee pesa mbaya mmefungwa speed gavana hamuon, mkija kustitukia hamna cham, nyie jidanganyeni kuwa mna interijensia ya kutosha kuliko jk mtajuta kumualika huyo mwizi na fisadi..

Kuna msemo unasema ukiwa mwongo usiwe msahaulifu,

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Chadema na miaka yote kisiasa Leo inakodi wagombea kutoka vyama vingine!!!! This iz shamefully.......
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
We bado una fikra za mwenyekiti zidumu eti?Kwa taarifa yako huu si Mwaka tisini huu ni Mwaka 2015 kizibo wewe, unaongelea miaka ambayo tulikuwa hatuna mitandao? Amka wewe hata vijijini wako up to date wanaisoma JF
 
maccm humu ndani wanabadili thread zao ila wanaomwongeleA ni lowasa tu, mbona hamuwasemi hawa viongoz wenu wanaotoka ccm na kuja chadema?.....mutabaki na mipasho ila huu mwaka uraic musahau
 
Ni mawazo mazur pia ila sion kama uzi wako unajitosheleza et ubaki kama historia ongezea kidogo labda itavutia..
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Mbowe ndiyo jasusi,tayari amekiua chama,,habari hizi ndizo za kwelii!!!!!!!!! kumbukeni mrema alivyovuma,,,,,,Hela mbaya!!!!!
 
Kipindi cha mrema na sshiv tofauti
Kuanzia mazingira,uelewa wa waTz kuhusu upinzani!
Pia kumbuka kipindi kile alikuwepo baba wa taifa,Nyerere,nafikiri unaelewa,alikuwa ndo muamuzi wa mwisho!!
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Hujui hata usemalo, pole sana!! Mwaka huu utakumbukwa katika historia na wanafunzi watajifunza kwamba ubakaji wa demokrasia kama tulivyoona Dodoma ukiongozwa na mwenyekiti wenu haufai!!
 
thread zinazokua sticvk apa ni zenye mashiko hatuwez kila mtu akiandika thread akisema iwe stick basi inakua stick far from it kaka lete hoja zenye mashiko basi itakua stick hapa!!!
 
Kuna wanaodhani ni UKAWA ndio inayokufa bali ukweli ni kwamba Chadema ndio inayokufa !!



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Mkuu unaweza usiaminike sasa ila na mimi napata hisia kama zako. Tuombe tuu isiharibu amani yetu
Mwenyewe nahisi kitu kama hicho kabisa before najua kuna agenda ya siri sio bure kaenda kwa purpose pale. It's just a matter of time.
 
Back
Top Bottom