Asee mbona ni kama ulikuweko kwenye mkakati?Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Unajisikiaje sasa hivi? Mtafute mtoa mada umuombe radhiMtoa mada kajipange upya.hujafanya upembuzi yakinifu.Ushauri,acha kukurupuka.I
Msamehe bure naamini yeye mwenyewe sasa hivi anajisikia vibaya sanaWho is empty head now?
Kumbe wewe ni mbashili mzuri!
DU HUU NI MSUMARI WA UTOSI KWA CDMHii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Vipi mkuu bado hujamwita janja laoThread imeanzishwa na JINGALAO kwa hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa aliyeanzisha ni kubwa la wajinga
Leo unamwitaje huyu jamaa mkuuHuyu jamaa nimuita kwa majina yanayofanana na ID yake mode wata delete wakidai nimetumia lugha mbaya au nimemuita majina mabaya wakati wao walioiruhusu hiyi ID hapa jukwaani
Kwa leo bado unacheka?Teh teh teh teh kwa kwa kwa kweli jingalao
Unamwambiaje mleta mada leoThread imeanzishwa na JINGALAO kwa hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa aliyeanzisha ni kubwa la wajinga
And now it's confirmedUnaweza ukawa sahihi kulingana na mtazamo wako, lakini kumbuka si kila uwazalo ni sahihi, anyway time will tell