johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jasusi Yeriko Nyerere amesema kuelekea kufunga mwaka pamekuwepo na Ajali nyingi Sana za Ndege hivyo Makampuni yanayounda Ndege yaangalie kama Kuna itilafu yoyote kwenye Ndege zao
Aidha Yeriko Nyerere ameyataka Mashirika ya Kijasusi ya FSB, CIA na M16 kutafiti Kwanini Ndege nyingi zinaanguka Mwisho wa mwaka huu
Maelekezo, Maagizo na Ushauri ameyatoa Ukurasani kwake X
Ahsanteni sana 😄
Aidha Yeriko Nyerere ameyataka Mashirika ya Kijasusi ya FSB, CIA na M16 kutafiti Kwanini Ndege nyingi zinaanguka Mwisho wa mwaka huu
Maelekezo, Maagizo na Ushauri ameyatoa Ukurasani kwake X
Ahsanteni sana 😄