JATU ifuatiliwe - ni kama Kalynda tu!

JATU ifuatiliwe - ni kama Kalynda tu!

DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE PLC TUESDAY,1ST JUNE 2021

PUBLIC NOTICE SUSPENSION FROM TRADING OF JATU PLC (ā€œJATUā€) SHARES

Following the guidance from Capital Markets and Securities Authority (ā€œCMSAā€), notice is hereby given on the suspension from trading of JATU shares at the Dar es Salaam Stock Exchange (ā€œDSEā€) effective from 1st June 2021 to 28th July 2021.

The suspension is implemented to necessitate the synchronization of JATU’s Corporate Actions related to: (i) Share split for existing listed shares; (ii) Price between Primary Market and Secondary Market; (iii) Ongoing Initial Public Offer (IPO) of 15,000,000 new shares.

All shares (following the share split for existing shares together with new shares subscribed during the IPO) will be credited electronically and deposited in the Central Depository System on 29th July 2021 to enable secondary trading.

All JATU shareholders, Potential investors and the general public are advised to take note of the suspension.

For more information please contact:

Dar es Salaam Stock Exchange Plc 3rd Floor, Kambarage House Building Ufukoni Street, P. O. Box 70081, Dar es Salaam Tel: +255 22 2123983 Email: info@dse.co.tz Website: www.dse.co.tz
Mzee hii si ilipita mwaka Jana.

Mwaka huu walitangaza kuacha kutegemea mtaji kutoka kwa wawekezaji wa kiswahili tu katika kukuza uwekezaji wake, cha ajabu mtendaji mkuu Kala kona wanatafuta mwingine.

Nisaidie hapa unadhani nini kinaendelea kwa taarifa hizo mbili, je mtendaji aliye kuwepo kwa miaka 6 hawezi kuendana na ukuaji unaotakiwa au ..?

Akili kumkichwa, ila 290 inalipa wazee walioweka mafao wawahi mapema. Hatifungani za serikali zitawapa wasiwasi kidogo sana kuliko hapa walipo.

Mtazamo wangu tu.
 
Ndugu zangu,

Jana nimepata wasaa wa kuzungumza na mdau mmoja akanielezea namna amesikia hii issue ya Kalynda na kuilinganisha na kile kinachoendelea JATU!

Tayari nimeona nyuzi kadhaa zilileta hii issue mpaka pale serikali ilipotoa tamko lakini mzee wa watu ambae ni mwanachama wa hii JATU anasema mpaka leo hajalipwa pesa zake za mavuno - na kilio hiki ni cha wanachama wengi sana!

Wanapigwa danganya toto na kuitwa kwenye vikao hewa. Jamani wasaidieni hawa wazee tena wengi wao ni wastaafu, pesa zao za mafao zote zimeishia huko.

JATU JATU JATU!

Mkalifikishe hili kwa wahusika! Uchunguzi na suluhisho litafutwe.
Likishabuma serikali ikafreeze akaunti hiyo pesa hairudi kwa wenyewe. Umesahau ya DECI na Mr Kuku. Sijuia uwa wanagawana huko
 
Ndugu zangu,

Jana nimepata wasaa wa kuzungumza na mdau mmoja akanielezea namna amesikia hii issue ya Kalynda na kuilinganisha na kile kinachoendelea JATU!

Tayari nimeona nyuzi kadhaa zilileta hii issue mpaka pale serikali ilipotoa tamko lakini mzee wa watu ambae ni mwanachama wa hii JATU anasema mpaka leo hajalipwa pesa zake za mavuno - na kilio hiki ni cha wanachama wengi sana!

Wanapigwa danganya toto na kuitwa kwenye vikao hewa. Jamani wasaidieni hawa wazee tena wengi wao ni wastaafu, pesa zao za mafao zote zimeishia huko.

JATU JATU JATU!

Mkalifikishe hili kwa wahusika! Uchunguzi na suluhisho litafutwe.
Acha wafuatilie wanaopeleka hela zao, sasa kama mtu hajapeleka hela huko aifuatilie jatu ili iweje?
 
Back
Top Bottom