Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,936
- 4,947
Hebu niunganishe nao mimi fasta mkuu. Nina sababu mbili za kujiunga nao haraka
1. Kwenye mifumo ya aina hiyo ya upigaji kama ya upatu vile kama ilivyokuwa DECI wewe wekeza haraka haraka mapema kabisa mwanzo mwanzo. Tena weka hela ndefu ndefu,vuna vuna fasta fasta halafu shtuka kaa pembeni na pesa yako ndefu uliyovuna mara 3 mpaka 4 ya mtaji wako
2. Ukiwa muoga kila wakati huwezi kufanikiwa. Risk takers mara zote ndio zinazotusua
Tamaa ya pesa huijui vizuri, leo utavuna kesho utapanda zaidi ili uvune zaidi.
Ukitaka kujiweka pembeni tamaa zinakutuma weka tena upige za mwisho, ghafla akaunti imezuiwa kwa uchunguzi!!