JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu


Tamaa ya pesa huijui vizuri, leo utavuna kesho utapanda zaidi ili uvune zaidi.

Ukitaka kujiweka pembeni tamaa zinakutuma weka tena upige za mwisho, ghafla akaunti imezuiwa kwa uchunguzi!!
 
Tamaa ya pesa huijui vizuri, leo utavuna kesho utapanda zaidi ili uvune zaidi.

Ukitaka kujiweka pembeni tamaa zinakutuma weka tena upige za mwisho, ghafla akaunti imezuiwa kwa uchunguzi!!
Kwa mtindo kama huo usijaribu kuwa na tamaa. Kitakachokuzuia kuwa na tamaa ni ksbb tayari unajua unachokifanya,tofauti na ile tamaa ya kutokujua. Piga hela mara isizidi mara mbili ndefu ndefu,sepa zako,sahau kabisa kuhusu kuwepo kwa hiyo kampuni,yaani hukuwahi hukuwahi hata kuisogelea.
 
Ingia play store download app yao inaitwa jatu
 
Unajua soko la wenye kiu ya kutapeliwa ni kubwa. Utapeli wa aina na aina hautakaa ukaisha kama wenye nyota ya kutapeliwa wapo!! HAKUNA MTU WA KUKUZALISHIA FEDHA. amka wewe KENGE!!
 

Kwann wasilime wenyewe😁😁
 
Watanzania wengi walemavu wa akili. Hutaka vitu vifanyike bila wao kula gharama, so wengi huishia kugharamika mara mbili.
 
Kwani wana tofauti gani na hizo wanazoambiwa Watu watoe mia tano waboreshewe maisha?, mwisho anachaguliwa mmoja anapewa kiasi kadhaa mnaambiwa mtoe tena mia tano msichoke.

Kuhusu sisi wenye mamlaka si kwamba hatuoni, ni makusanyo tu yakifikia mahali tunaingia zinaingia mfuko mkuu...si unajua kuwa huwa haturudishi kwa Wahanga.
 
Ofisi zao Jatu PLC ziko jengo la PSSSF lililokuwa PPF House makao makuu. Ni makutano ya Barabara ya Morogoro na Samora. Story zao ni too sweet to be sour. Walinipa somo bahati mbaya wakanikuta ninaelewa mno na niliwapa challenge sana wakakosa majibu ya msingi. Nikajua iko siku watu watalizwa.
 
Kuchukua Offisi pale ni mitego mkuu ni kama wale wa Network Marketing huwa wanafanyia mikutano yao kwenye mahoteli makubwa ili msiwashitukie
 
Kuchukua Offisi pale ni mitego mkuu ni kama wale wa Network Marketing huwa wanafanyia mikutano yao kwenye mahoteli makubwa ili msiwashitukie
Hiyo ndiyo strategy za wapigaji mkuu. Nakumbuka kuna boss wangu mmoja alikuwa anafanya kazi one of the Regional banks na alikuwa stationed huko West Africa. Nakuambia walikuja matapeli na suti zao tena wanakaa conference ya Bank. Hahahaha. Kuja kushtuka alishapigwa dollar za maana.
 
Hii Jatu si ndio hii iliyosajiliwa kwenye soko la hisa la hapa bongo (DSE) au sio hii inayojadiliwa hapa???
 
Hii Jatu si ndio hii iliyosajiliwa kwenye soko la hisa la hapa bongo (DSE) au sio hii inayojadiliwa hapa???
Huko DSE tayari kuna notice nimeona website yao, suspension ya mauzo ya hisa za JATU.
Tuendelee kutizama, watatangaza faida kwenye financial statements zao.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…