JATU PLC ipo kwenye soko la hisa?

Appreciate mkuu,kampuni hizi hata mr.kuku kuna kitu wanakificha huku wanatamanisha watu KWA faida no-no no-no.Wajinga ndo waliwao
 
HAWALIPI, Watu wanadai pesa zao mwaka wa pili huu
 
Dah jana kuna dada, kaenda kununua hisa za laki tatu, namjua juu juu, nimemuhoji inakuaje iyo jatu, blah blah nyingi.
Duh kwaiyo wameshamkamua?
Kwa sheria na kanuni za soko la hisa kampuni haiwezi kula pesa ya wanahisa hadi walipwe chao.
 
Bonge la point this guy ameleta kwa meza
Very good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…