uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Huyu mzee kila siku kuipendelea Real madrid,chuki kibao kwa barcelona na kuzusha uongo kila uchao dhidi ya barcelona
Ameipakazia barcelona ilikuwa inawalainisha waamuzi kitu ambacho ni cha kipuuzi kabisa,inajulikana wazi Real madrid ndio amekuwa akipata faida na waamuzi katika historia ya laliga
Alichangia pakubwa kusababisha Leo Messi aondoke laliga akushirikana na yule fisadi mwenzie Bart
Alitambulisha sera mbaya kuhusu usajili na mishahara ndani ya laliga
Na hivi majuzi ametia doa kuhusu bwana mdogo Gavi juu ya maswali ya mkataba
Amesababisha Laliga imepungukiwa msimumuko
Imefikia hatua El classico inachezwa mapema ili watu wastream wengi lkn bado watazamaji wameshuka tofauti na zamani mechi usiku lkn ndio mechi iliyokuwa unatazanwa zaidi
Mechi ya manchester united vs barcelona ndio ilikuwa na watazamaji wengi kuliko el classico
Nasema hivi huyu Rais aondoke kwa maslahi mapana ya mpira wetu na watu wa dunia
Tebas siku zako zinahesabika
Ameipakazia barcelona ilikuwa inawalainisha waamuzi kitu ambacho ni cha kipuuzi kabisa,inajulikana wazi Real madrid ndio amekuwa akipata faida na waamuzi katika historia ya laliga
Alichangia pakubwa kusababisha Leo Messi aondoke laliga akushirikana na yule fisadi mwenzie Bart
Alitambulisha sera mbaya kuhusu usajili na mishahara ndani ya laliga
Na hivi majuzi ametia doa kuhusu bwana mdogo Gavi juu ya maswali ya mkataba
Amesababisha Laliga imepungukiwa msimumuko
Imefikia hatua El classico inachezwa mapema ili watu wastream wengi lkn bado watazamaji wameshuka tofauti na zamani mechi usiku lkn ndio mechi iliyokuwa unatazanwa zaidi
Mechi ya manchester united vs barcelona ndio ilikuwa na watazamaji wengi kuliko el classico
Nasema hivi huyu Rais aondoke kwa maslahi mapana ya mpira wetu na watu wa dunia
Tebas siku zako zinahesabika