Jawabu kwa Lord Denning: Mikataba mithili ya IGA inayotaja gharama halisi za miradi ipo hapa Tanzania

Jawabu kwa Lord Denning: Mikataba mithili ya IGA inayotaja gharama halisi za miradi ipo hapa Tanzania

Yuko Maktaba
Hakuna jibu hapo

Hili ndo swali;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?


Alafu soma jibu lake hapo ndo uone alichofanya ni kupuyanga tu, hajatoa jibu lolote
 
Huo ni mjadala mwingine ambao unaweza kuanzisha uzi ili ujadiliwe kivyake.

Swali langu linasema hivi;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Na nimesema hapa atakayeweza kulijibu hili swali vizuri atanilazimu kuondoa fake I'd yangu niliyokaa nayo humu tangu mwaka 2012 kwenye account zangu mbili tofauti. Ingawa moja siitumii tena nimebaki nayo hii ya Lord Denning
Kwanini unashindwa kujibu swali nililokuuliza? hapa sio suala la mpaka mjadala uanzishiwe uzi, jibu kama kweli swali lako lina mantiki tujue.

Navyoona hapa wewe umeenda kutafuta IGA za wengine zikoje, ili tu uje kuutetea ule mkataba wa hovyo wa bandari, usijue wenzetu wana credibility zao, hawawezi kufanya mambo ya hovyo kama waliyofanya hawa wetu, wale sheria zinawabana, wapo accountable.

Sasa ndio nakutaka utuambie, ni authority gani uliyoitumia au inayotumika duniani kusema kwamba, kwenye IGA, mambo ya viwango vya uwekezaji sio lazima yawepo, yatakuwepo kwenye HGA, ili tuijue nia ya swali lako, kama ni njema au hapana.
 
Kawajazia maneno mengi kuwapoteza maboya wabongo maana anajua wabongo ukiwawekea maandishi mengi wanadhani huyu mtu anajua kweli

Swali lililoulizwa ni jepesi sana ila alichofanya ni kupuyanga tu
Wewe zuzu tulia si umeshajibiwa swali lako mbon Mama Amon ameelezea vizuri tu
 
Kwanini unashindwa kujibu swali nililokuuliza? sio suala la mpaka mjadala uanzishiwe uzi, jibu kama kweli swali lako lina mantiki tujue.

Navyoona hapa wewe umeenda kutafuta IGA za wengine zikoje, ili tu uje kuutetea ule mkataba wa hovyo wa bandari, usijue wenzetu wana credibility zao, hawawezi kufanya mambo ya hovyo kama waliyofanya hawa wetu, wale sheria zinawabana wapo accountable.

Sasa ndio nakutaka utuambie, ni authority gani uliyoitumia au inayotumika duniani kusema kwamba, kwenye IGA, mambo ya viwango vya uwekezaji sio lazima yawepo, yatakuwepo kwenye HGA, ili tuijue nia ya swali lako, kama ni njema au hapana.
Tajikistan kwenye hoja kuu. Mambo ya kuhamisha magoli ndo yanapoteza lengo la uzi.

Ndo mana nasisitiza kama kuna hoja nyingine ianzishie uzi ijadiliwe kwa mapana yake!
 
Wewe zuzu tulia si umeshajibiwa swali lako mbon Mama Amon ameelezea vizuri tu
Kwa akili yako ya kijinga kuna jibu la hili swali hapo?

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
 
Huo ni mjadala mwingine ambao unaweza kuanzisha uzi ili ujadiliwe kivyake.

Swali langu linasema hivi;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Na nimesema hapa atakayeweza kulijibu hili swali vizuri atanilazimu kuondoa fake I'd yangu niliyokaa nayo humu tangu mwaka 2012 kwenye account zangu mbili tofauti. Ingawa moja siitumii tena nimebaki nayo hii ya Lord Denning
Ushajibiwa hapo au unajifanya huoni maelezo sasa ondoa hizo ID au tuwaite mods
 
Tajikistan kwenye hoja kuu. Mambo ya kuhamisha magoli ndo yanapoteza lengo la uzi.

Ndo mana nasisitiza kama kuna hoja nyingine ianzishie uzi ijadiliwe kwa mapana yake!
Tajikistan ndio sheria inayotumika duniani, au ndio utaratibu?

Hapa suala sio kuhamisha magoli, lazima tuijue the motive behind your question, hasa kwa wewe chawa wa mama, haya mambo ya kawaida kwa wenye akili timamu.

Haiwezekani wewe, uende kuchukua mifano toka nchi zinazofuata sheria walizojiwekea, halafu uje hapa kuzilinganisha nasi ambao kwanza mikataba huwa siri, na pili, wanaoharibu hawachukuliwi hatua zozote, ili ku- justify ubovu wa ule mkataba.

You can't be serious. Swali lako halina mantiki kwa mazingira yetu.
Lord denning nijibu hapa wacha kukimbia.
 
Kwa akili yako ya kijinga kuna jibu la hili swali hapo?

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Ushajibiwa wewe acha kujitoa akili ntachapa makofi soma tena maelezo ya Mama Amon
 
Hakuna jibu hapo

Hili ndo swali;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?


Alafu soma jibu lake hapo ndo uone alichofanya ni kupuyanga tu, hajatoa jibu lolote
Kwani huko Duniani kuna Nchi imewahi kuingia hiyo IGA na Kampuni binafsi ya Nchi nyingine?

Dominica njema!
 
Ushajibiwa hapo au unajifanya huoni maelezo sasa ondoa hizo ID au tuwaite mods
Unajua niliuliza swali gani? Na umeona alivyopuyanga huyo mtu wenu

Hili ndo swali langu;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Haya niambie kama kalijibu au amepuyanga hapo?
 
Unajua niliuliza swali gani? Na umeona alivyopuyanga huyo mtu wenu

Hili ndo swali langu;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Haya niambie kama kalijibu au amepuyanga hapo?
Soma tena alichoandika wewe hujasoma umekimbilia kujibu tu
 
kwa
kwani Tanzania timesaini IGA na kampuni binafsi au Falme ya Dubai?
We kweli kiazi kabisa ndio maana nikwambia hujasoma soma kwa kutulia sio unakimbilia kujibu tu, jibu lako ushapewa hapo juu unarukaruka sasa unataka jibu gani?
 
Nimesoma chote na sijaona jibu la swali langu zaidi ya mtu kupuyanga tu na kwenda op kabisaaaa
Wewe unataka jibu gani mpaka mifano umepewa unataka jibu gani jingine? Yaan hujaelewa nini katika maelezo ya Mama Amon ambacho hujaelewa ni nini? Yaan watu km nyinyi inabidi uulizwe huku unalishwa makofi maana huelewi
 
We kweli kiazi kabisa ndio maana nikwambia hujasoma soma kwa kutulia sio unakimbilia kujibu tu, jibu lako ushapewa hapo juu unarukaruka sasa unataka jibu gani?
Nimepewa jibu gani kulingana na hili swali?

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
 
Wewe unataka jibu gani mpaka mifano umepewa unataka jibu gani jingine? Yaan hujaelewa nini katika maelezo ya Mama Amon ambacho hujaelewa ni nini? Yaan watu km nyinyi inabidi uulizwe huku unalishwa makofi maana huelewi
soma hili swali

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
 
Back
Top Bottom