Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Weeeeeee SEMA kweliWe
Kwakuwa jambo lilipendekezwa na kukubaliwa na Baraza la mawaziri, likalitishwa na ofisi ya mwansheria mkuu wa serkali ,likapitishwa na Bunge Kisha CCM wakalipitisha pia Kama chama Basi kinachoendelea ni kelele tu.
USSR
Mimi sizunguki! Mleta mada ndo aliyepuyangaLakini mkuu wote mnazunguka zunguka tu ila kimsingi ile document ina utata mkubwa.
Kama kilichoingiwa ni IGA kwanini isiwe kati ya United Arab Emirates na United Republic of Tanzania. Ni kwanini iwe kati ya Dubai ports ambayo ni taasisi tu dhidi ya United Republic of Tanzania? Na kwanini Bandari za Zanzibar ziwekewe kinga kwenye hiyo document? Je Zanzibar kwa sasa siyo sehemu ya United Republic of Tanzania ambayo ndiyo inatambulika kama nchi?
Na kama ni kati ya Dubai Ports na United Republic of Tanzania kwanini isiwe HGA?
Mbaya zaidi, kama ni IGA inayoruhusu kuwepo kwa HGA kwanini mpaka sheria zetu zilibadilishwa ili kulinda huu uwekezaji? Kuna nini mpaka sheria zibadilishwe wakati kutakuwa na HGA (Kwa mujibu wa madalali?)
Sasa twende kwenye hoja yako sijawahi kuona mkataba wowote ule kati ya nchi na nchi ambao haujaainisha kila kitu kinachohusu rasilimali! Sijawahi kuuona. Hata Jiwe aliingia mkataba na Uganda wa bomba la mafuta na umeainisha kila kitu. Mkataba wa kwanza kati ya unaodaiwa nchi na nchi huu wa Samia umekaa kihuni mno. Huwezi kuutetea mahali popote pale.
Na popote pale duniani mikataba ya IGA inahitaji umakini mkubwa sana siyo wa kuchora chora kama huu wa Samia maana inaweza kusababisha mgogoro mkubwa.
Huo utafiti wako umeufanyia wapi nasi tukapaone huko ulipofanyia? Siku zote maeneo ya utafiti sio siri, pataje.Nimefanya utafiti wangu ndo mana nikaja na ilo swali.
Fanya utafiti wako then Jibu swali langu kama lilivyoulizwa!
Karibu library kwangu. Nitakupa nondoHuo utafiti wako umeufanyia wapi nasi tukapaone huko ulipofanyia? Siku zote maeneo ya utafiti sio siri.
Lord denning hii kesi ilishamalizwa hapa.Bandari kavu sio aina ya special economic zone?
JF kuna wasomi wazuri kuliko mimi nawe.
Nawaachia hukumu juu yako.
Lete hizo nondo zako kwa mtandao, usikimbie.Karibu library kwangu. Nitakupa nondo
Moja wapo ndo iliyosababisha uzi wangu kutopata jibu hadi muda huu tangu janaLete hizo nondo zako kwa mtandao, usikimbie.
Lord anazingua. Yani mikataba ya uwekezaji wa rasilimali anachukulia poa wenzetu kwenye IGA wanakuwa makini kweli kweli. Yani Marekani aingie mkataba wa kuchimba mafuta na Kuwait halafu lije li document la IGA halijaainisha mgawanyo wa mapato eti litategemea HGAs? Sisi watanzania ni wajinga sana.IGA ya Italia na Algeria mwaka 2022 kwenye masuala ya nishati iliwekwa wazi kwamba Italia wangwekeza $4billions kwenye mashirikiano hayo.
Unauliza swali la kitoto sana, hata watu kukujibu wanaona uvivu. Kuna malaki ya IGA dunia na wewe sio ajabu hujawahi kuona hata zaidi ya tatu, halafu IGA za uwekezaji haziwezi kuwa sawa na za utamaduni, sheria, mazingira n.k
Elewa swali ndo ulijibu sio kupuyanga kama mleta mada ambaye amepuyanga ila mwisho kajisahau kasema ukweli kuwa shida kwake ni Waarabu tuLord anazingua. Yani mikataba ya uwekezaji wa rasilimali anachukulia poa wenzetu kwenye IGA wanakuwa makini kweli kweli. Yani Marekani aingie mkataba wa kuchimba mafuta na Kuwait halafu lije li document la IGA halijaainisha mgawanyo wa mapato eti litategemea HGAs? Sisi watanzania ni wajinga sana.
HongeraUbarikiwe🙏🙏
Ada ya wazazi waliokusomesha haikupotea kama ada ya wazazi wa Denim na Bi Fox!!!
Hawawezi kupiga kelele maana kwenye mkataba wametutafuna mpaka mifupa. Yani mtu mpaka umebadili sheria zako ili kumlinda aanze kulalamika? Kwenye mkataba kuna sehemu wameandika kuwa Tanzania italazimika kulinda haki zote za maslahi ya Dubai Ports ama kampuni nyingine itakayopendekezwa na Dibai ports! Halafu unataka walalamike? Yani wana uwezo wa kuamua Kariakoo iwe maegesho yao (Kwa mujibu wa mkataba) na serikali ya Tanzania (Sijui ni serikali ipi?) Inatakiwa kuhakikisha hilo linafanyika. Bado kwa haya unataka walalamike?Mimi sizunguki! Mleta mada ndo aliyepuyanga
Hivi zile falme zote ya UAE zisilalamike Dubai kuingia mkataba na Tanzania nyie wamatombo ndo mlalamike muwe na hoja?
Sicilia nikwambie kwa Mujibu wa Katiba ya UAE, Falme saba zinazounda UAE zinaweza kuingia makubaliano na nchi nyingine.
Ndo mana hizo kelele za Dubai kuingia makubaliano na Tanzania huzisikii UAE unazisikia kwa wajinga wapotoshaji waliopo hapa Tanzania
Wametutafunaje? Sheria gani iliyobadilishwa as we speak now?Hawawezi kupiga kelele maana kwenye mkataba wametutafuna mpaka mifupa. Yani mtu mpaka umebadili sheria zako ili kumlinda aanze kulalamika? Kwenye mkataba kuna sehemu wameandika kuwa Tanzania italazimika kulinda haki zote za maslahi ya Dubai Ports ama kampuni nyingine itakayopendekezwa na Dibai ports! Halafu unataka walalamike? Yani wana uwezo wa kuanua Kariakoo iwe maegesho yao (Kwa mujibu wa mkataba) na serikali ya Tanzania (Sijui ni serikali ipi?) Inatakiwa kuhakikisha hilo linafanyika. Bado kwa haya unataka walalamike?
Mwaka 2019 tulibadili sheria kuzuia mikataba yetu tunayoingia na foreigners kutumia sheria za nchi nyingine. Leo tunaingia mkataba na DP World halafu tunaambiwa utaongozwa na sheria za Uingereza! Hapo kimsingi tumefanya nini?Wametutafunaje? Sheria gani iliyobadilishwa as we speak now?
Mmm wauza nchi mmekaza FuvuNarudia tena. Soma swali vizuri!
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Nondo za kutunga hizi ndio unasema hazijapata majibu, nondo zisizo na authority wala mifano yoyote toka kwako unayejiita mwanasheria!.Moja wapo ndo iliyosababisha uzi wangu kutopata jibu hadi muda huu tangu jana
Tumieni lugha ya kiswahili, binafsi naelewa, bt jitahidi kutafsiri Ili Elimu iwafikie Watanzania wote.You have provided an elaborate explanation about IGA and HGA.
Pro-IGA want the Tanzanians to believe that HGAs will have clauses that protect the sovereignty of Tanzania. However, a host government agreement (HGA) is a legal document or contract between a foreign government and a foreign investor or company, outlining the terms and conditions for the investor's operations within the host country. The HGAs, with respect to the contested IGA, will have similar nasty clauses.
HGAs are typically used to address issues related to foreign direct investment (FDI) and establish a framework for collaboration between the host government and the investor. Some key elements typically covered in a host government agreement may include:
1. Legal Framework: The agreement establishes the legal basis for the investor's presence and operations in the host country, often by referencing existing laws and regulations. In our case, the legal basis is the signed controversial IGA.
2. Investment Protection: It outlines the specific protections and guarantees that the host government provides to the investor, such as property rights, repatriation of profits, fair treatment, and dispute resolution mechanisms. The contested IGA has clauses that are fundamentally contrary to our Katiba and other laws e.g. THE NATURAL WEALTH AND RESOURCES (PERMANENT SOVEREIGNTY) ACT, 2017
3. Dispute Resolution: HGAs typically include mechanisms for settling disputes between the investor and the host government, commonly through arbitration or by referencing international investment treaties. The IGA has contested "dispute resolution" clauses.
Narudia tena. Soma swali vizuri!
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato
Kaka unatatizo sasa kisa mwenzio kala nya basi nawe uletu! kama uwekezaji hauoneshi kiwango unawekeza nini sasa ?Hakuna jibu hapo
Hili ndo swali;
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Alafu soma jibu lake hapo ndo uone alichofanya ni kupuyanga tu, hajatoa jibu lolote