Jawabu kwa Lord Denning: Mikataba mithili ya IGA inayotaja gharama halisi za miradi ipo hapa Tanzania

Hilo boya achana nalo. Halijui kama IGA inaweza kuleta vita kati ya nchi na nchi kama imeingiwa kijinga! Kama hii ya kwetu ni Rubbish takataka la dampo. Wajinga hawajui kuwa kwa mujibu wa mkataba Samia ameuza Tanganyika yote mpaka Air space yake kwa DP World. Hayaelewi na yanacheka kuunga mkono.
 
El
Elewa swali ndo ulijibu sio kupuyanga kama mleta mada ambaye amepuyanga ila mwisho kajisahau kasema ukweli kuwa shida kwake ni Waarabu tu

Swali tumelielewa na kulijibu kikamilifu, lakini wewe ndio huelewi majibu. Ni hivi:

1. A Framework Contract (FC) is an abstract contract between two parties, which can be between two governments, between a government and a non-government, or between two between two non-governments.

2. A framework contract between governments is called an Intergovernmental agreement (IGA) aka Heads of States Agreement (HSA). aka Bilateral International Treaty (BIT)

3. An example of Framework Contract between Vodacom and HELIOS is a FC between two non-governments, which exemplifies a FC between two governments, which exemplifies an IGA, which exemplifies a BIT.

4. So, the IGA/BIT example you requested has been given.

What else do you want?
 
Ubarikiwe🙏🙏🙏🙏
 
Nimefanya utafiti wangu ndo mana nikaja na ilo swali.

Fanya utafiti wako then Jibu swali langu kama lilivyoulizwa!

Back to basics:

1. A Framework Contract (FC) is an abstract contract between two parties, which can be between two governments, between a government and a non-government, or between two between two non-governments.

2. A framework contract between governments is called an Intergovernmental agreement (IGA) aka Heads of States Agreement (HSA). aka Bilateral International Treaty (BIT)

3. An example of Framework Contract between Vodacom and HELIOS is a FC between two non-governments, which exemplifies a FC between two governments, which exemplifies an IGA, which exemplifies a BIT.

4. So, the IGA/BIT example you requested has been given.

What else do you want?
 
Swali lake lilieleweka vizuri, tatizo lake hakuwa na authority yoyote ya maana kuthibitisha kile alichokuwa akisimamia, hakuwa hata na mifano ya IGA iliyoingiwa bila hivyo vipengele anavyodai, vikapelekwa HGA, yeye akawa anaimba tu.

Ndio maana kila akiulizwa kwanini kila IGA isiwe na hivyo vipengele, kama cha mgawanyo wa mapato, lazima viende HGA, is it a worldwide rule? if yes aseme inaitwaje, anakosa majibu.

Hapo kwenye hiyo mifano mitatu uliyompa ya hiyo mikataba, umemaliza mjadala wake, naamini sasa ameondoa ujinga kichwani mwake, na yupo mwingine akaomba kuchukua sehemu ya ujinga wake, ili akatengeneze ujinga mwingine Pascal Mayalla msitujazie server ya JF kwa ujinga wenu.
 
Wapi inesemwa hivyo?
 
Moja wapo ndo iliyosababisha uzi wangu kutopata jibu hadi muda huu tangu jana
Swali la kijinga haliwezi pata majibu!!

Unaambiwa makubaliano hayo yanavunja Katiba na Sovereign ya nchi,

We unatuambia wapi duniani wamewahi enda tofauti na Utaratibu wa DP World!!!

Yoda kakujibu, Italy makubaliano Yao yameonyesha kiwango Cha uwekezaji hujajibu!!!

Jibu ni Rahisi, Watanzania hatutaki Nchi moja au Kampuni kuwa na mamlaka juu ya ardhi yetu yaliyo juu ya Katiba.

TUMEKATAA UHUNI!!!
 
Kaka unatatizo sasa kisa mwenzio kala nya basi nawe uletu! kama uwekezaji hauoneshi kiwango unawekeza nini sasa ?
Anataka kulazimisha eti Kila mwanamke akojoe amechuchumaa anasahau kuwa wanawake wazee sana nyonga zao haziruhusu kuchuchumaa, wanajisaidia wamesimama!!!
 
This is thec truth but not quitecthe whole truth - it us too presumptious, too bland for general use.

Mfano wa a+b+c+d ni mzuri, as long as kuna uelewa wa pamoja wa mutual interdependence.

Yaani kampuni ya Kenya na ya Tanzania na Canada hakuna ubaya kuingia mkataba bila mwavuli wa dola, hasa kama makampuni yana ukubwa roughly ule ule, tuna uzoefu wa siku nyingi.

In the case of countries like Somalia au Bosnia au Haiti, yenye historia ya ukorofi, ni vyema kujihami kwa kushirikieha doka za nchi husika. Hiyo ndiyo IGA ili mkianza kuoenena dola iweze kuingilia. Hii huitwa umbrella protection, yaani uko chini ya ulinzi wa mwavuli wa dola.

Mfano kama huu ni taasisi za Umoja wa Mataifa. Mkataba wa Tanzania na UN ni wa muda mrefu, hauna ukomo, haufi hivihivi yaanini kama IGA.

Lakini miradi wa taasisi za Umoja wa Mataifa, mathalani njaa (FAO) au malaria (WHO) au Uchaguzi (UNDP) una mashariti kamili na kikomo kamili (kama malaria ulivyoisha Zanzibar na WHO).

Anachosema Mjumbe ni sawa, lakini IGA hutoa comfort on BOTH SIDES, haipunguzi chochote anachokusema wala haiathiri chochote.

Kamati ya Johari ilikuwa makini na imeona mbali zaidi kwa kuweka KPI - key performance indicators - kwa kila mradi, ambazo ni SMART - specific measurable achievable relationable timebound.

Kitu pekee ambacho kingejitosheleza bila IGA ni iwapo kampuni tanzu ingesajiliwa Dar es Salaam Stock Exchange, soko la hisa, ambalo taratibu na kanuni zake tayari ni za limaraifa. Mifano halisi Tanzania nu SWISSPORT ya Uswisi, TCC (sigara, ya Japan), TBL (beer, ya Makaburu) na NMB (benki, ya Uholanzi).

Lakini hata hizi nyingi ziba IGA tayari. IGA kazi yake ni kama mwavuli wa swerkali zote mbili, to give comfort to both sides.

Imagine kampuni kama TANAPA au Mwebdokasi iingie ubia na kampuni ya Mongolia au Papua New Guinea, wapi na wapi?

Au imagine DPW waje halafu 2030 CHADEMA watawale kwa kutumia mgombea binafsi millionaire Donald Trump kwa sera ya uraiapacha na majimbo, achukue Kilimanjaro yote na Kanda ya Kusini kwa kuhonga.

Cha kwanza atakachofanya ni kufuta Mkataba wa DPW kwa mabavu ili upewe kampuni ya Tundu Lissu au ukoo wa Mbowe. Leo hii DPW watakubalu? No, ni lazima pawe na kipengele kuzuia matumizi ya mabavu.

Kumbuka IGA haizuii mkataba kufutwa au kukoma, kinachotakuwa ni taratibu zifuatwe.

LGFMwambalule
Kawe.
 
Nimekuuliza swali la msingi. Mkataba umeusoma?
Hajawahi kuusoma ule mkataba, haujui nina hakika, ndio maana toka mwanzo wa hii issue nikiwa namuuliza maswali kuhusu ule mkataba hakuwahi kunijibu hata moja.
 
Haya mambo yanahitaji twenda taratibu na kuelekezana. Maana hii ni taaluma na inahitaji utaalamu na uzoefu wa muda mrefu. Kuna baadhi ya mambo hapa, hata mtoa mada wetu ameteleza sana na yamenipa ukakasi, sema sintayasema. Ila kwenye hili, watanzania tunahitaji kwenda taratibu sana bila kutunishiana misuli. Kuna giza kubwa sana huko mbeleni...
 
Sasa kwa nini msiseme hamna majibu? Kuna shida gani mkikubali kuwa mmeshindwa?
 
Hiyo ni opinion yako. Opinion yako sio jibu la swali ukiloulizwa. Pekeka hiyo opinion yako kwa Dubai huko wakujibu.

Unajifanya unatoa maelezo mengi kumbe unajibu opposite na ulichoulizwa.

Kama huna jibu sema sina jibu na utoe hiyo opinion yako.

Stress breaker...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…