Jay Combat ndie mrithi wa Juma Mpogo au tusubiri mwingine?

Jay Combat ndie mrithi wa Juma Mpogo au tusubiri mwingine?

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Namuona sana kijana mmoja mtandaon anaitwa jay Combat.

Anajua kuimba nyimbo za uswazi almaaurufu mnanda au mchiriku au vanga.

Kiukweli toka atutoke duniani Juma Mpogo GOAT wa mnanda bado pengo lake alijawai kuzibwa.

Walikuwa wengi kabla ya General Mpogo na wakaja wengi baada yake ila bado hatujapata wa kuchukua kiti chake.

Mimi nimependa anachofanya Jay Combat haswa style yake ya live akiwakilisha ile culture ya mnanda.

Vipi mnamuonaje anaweza vaa viatu vya Mpogo au tuendelee kusubiri mwingine?
 
Namuona sana kijana mmoja mtandaon anaitwa jay Combat.

Anajua kuimba nyimbo za uswazi almaaurufu mnanda au mchiriku au vanga.

Kiukweli toka atutoke duniani Juma Mpogo GOAT wa mnanda bado pengo lake alijawai kuzibwa.

Walikuwa wengi kabla ya General Mpogo na wakaja wengi baada yake ila bado hatujapata wa kuchukua kiti chake.

Mimi nimependa anachofanya Jay Combat haswa style yake ya live akiwakilisha ile culture ya mnanda.

Vipi mnamuonaje anaweza vaa viatu vya Mpogo au tuendelee kusubiri mwingine?
Huyu jamaa ni balaa kipaji halisi kabisa, ninachompendea nyimbo zake Huwa ni darasa na ni nadra kukuta matusi au maneno ya ajabu ajabu kwenye nyimbo zake.

Kinachonisikitisha hapewi heshima yake inayostajili binafsi namfananisha na Dogo Simela (RIP)
 
Wapo waliokuwa wako vizuri kwenye kupiga mitapa na kuimba, lakini hawakuhi kufikia level za hawa watu wawili. Mimi namuweka pale juu Khalfani wa Mizoga anaefuatia ni Juma Mpogo wa Lupoz. Case closed.
Generali Lupoz anajua sana GOAT wa mnanda. Nakumbuka tumekimbizwa sana na mandata tunaenda tandale uzuri kwenye vigoma tukitoka hapo ni umavimavi mwanzo mwisho duh noma sana Mpogo juma mpogo damu chafu Mungu amlaze mahali pema
 
jay combat anajua haat mimi nimempitisha ila anatakiwa awe na akili ya business maana naskia anakula ganja masaa 24 yeye mwenyewe hajui amefikaje sokoni [emoji23]
Swala paka nawalawala...
Toka chini kihuni nang'ang'ara...
Ghadhabu kama che gu wa Vara Vara...
Usilete ya tuku na gwalagwala...
Hili dance acha usela...
Dance tuone dance....
Dance tuone dance...
.
.
.
.
Sicheki na wowote naulinda wangu Moyo...
.
.
.
Wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
.
.
.
.
.
Piga makofi matatu...
Wakipekee ni mtu wa watu....
.
.
.
Kisingekuepo kifo, tungeishi mileleeeeee...
Tunywe tusilewe...
Usingekuepo mwisho, wote tungekwenda mbele..
.
Afya Bora hutunza ujana...
Uzee majaliwa, twalia Lia ukiwa..
Lala pema Chidi mchewa,
My pacha Doto sera..
Jay wa bishi kulala..
Arachuga siki faya..
Wako udongo mwili wa nyama, futi sita utazama...
Sisi wote wa labana, mkumbuke sali sana...
Iwe Nuru ya kiama....
Kesho kisingekuepo kifo tungeishi mileleeeeee....
.
.
.
Weeee... Wee.. wee Mushizo utawaua

Mamamae huyu jamaa ana balaaaaaaa
 
Swala paka nawalawala...
Toka chini kihuni nang'ang'ara...
Ghadhabu kama che gu wa Vara Vara...
Usilete ya tuku na gwalagwala...
Hili dance acha usela...
Dance tuone dance....
Dance tuone dance...
.
.
.
.
Sicheki na wowote naulinda wangu Moyo...
.
.
.
Wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
.
.
.
.
.
Piga makofi matatu...
Wakipekee ni mtu wa watu....
.
.
.
Kisingekuepo kifo, tungeishi mileleeeeee...
Tunywe tusilewe...
Usingekuepo mwisho, wote tungekwenda mbele..
.
Afya Bora hutunza ujana...
Uzee majaliwa, twalia Lia ukiwa..
Lala pema Chidi mchewa,
My pacha Doto sera..
Jay wa bishi kulala..
Arachuga siki faya..
Wako udongo mwili wa nyama, futi sita utazama...
Sisi wote wa labana, mkumbuke sali sana...
Iwe Nuru ya kiama....
Kesho kisingekuepo kifo tungeishi mileleeeeee....
.
.
.
Weeee... Wee.. wee Mushizo utawaua

Mamamae huyu jamaa ana balaaaaaaa
Nakupa mapenzi, nakupa vichange
Kipi hukipatiii...nakuhonga Tambo.....
Sijui Nini huko mbele anasema 😂😂
 
Swala paka nawalawala...
Toka chini kihuni nang'ang'ara...
Ghadhabu kama che gu wa Vara Vara...
Usilete ya tuku na gwalagwala...
Hili dance acha usela...
Dance tuone dance....
Dance tuone dance...
.
.
.
.
Sicheki na wowote naulinda wangu Moyo...
.
.
.
Wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
.
.
.
.
.
Piga makofi matatu...
Wakipekee ni mtu wa watu....
.
.
.
Kisingekuepo kifo, tungeishi mileleeeeee...
Tunywe tusilewe...
Usingekuepo mwisho, wote tungekwenda mbele..
.
Afya Bora hutunza ujana...
Uzee majaliwa, twalia Lia ukiwa..
Lala pema Chidi mchewa,
My pacha Doto sera..
Jay wa bishi kulala..
Arachuga siki faya..
Wako udongo mwili wa nyama, futi sita utazama...
Sisi wote wa labana, mkumbuke sali sana...
Iwe Nuru ya kiama....
Kesho kisingekuepo kifo tungeishi mileleeeeee....
.
.
.
Weeee... Wee.. wee Mushizo utawaua

Mamamae huyu jamaa ana balaaaaaaa
We kama dini la thamani
Mungu wa pili duniani
Ukifananishwa ufanani
Sio siri wee jasiri


Ubarikiwe mama haruni
Ubarikiwe mama hassani
Ubarikiwe mama rashidi
Ubarikiwe mama rajabu KWA HESABU

🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
 
Generali Lupoz anajua sana GOAT wa mnanda. Nakumbuka tumekimbizwa sana na mandata tunaenda tandale uzuri kwenye vigoma tukitoka hapo ni umavimavi mwanzo mwisho duh noma sana Mpogo juma mpogo damu chafu Mungu amlaze mahali pema

Sasa Wa Lupoz, Midoke, Side Boy, Chichi na wengineo walikuwa wana wa area code. Wanapiga muziki sisi wengine tunajifanya wanajeshi utuambii kitu. Ndio sababu Bi Mkubwa akaona bora aniondoe uswahilini nirudi shule maana nilishakuwa mwana mpotevu. Na hii imenibadilishia maisha yangu na mpaka leo niko hai. Niliowataja hapo juu, tuliokuwa pamoja na maelfu ya vijana wa uswazi hawapo tena duniani.
Mimi nilizaliwa kwenye hood lakini with a lot of choices kwasababu wazazi wangu walikuwepo kunitunza na kuiniongoza. Inasikitisha vijana wengi ile life style was only an option they had. Wapumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom