Tour De France
JF-Expert Member
- Jun 12, 2014
- 345
- 335
Huyu ndio kwenye nyimbo yake anasema KAFA PAKA KAZIKWA NYAU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa akiimba na akiongea ni vitu viwili tofauti ,akizungumza kama Mange au Crazy GK.Swala paka nawalawala...
Toka chini kihuni nang'ang'ara...
Ghadhabu kama che gu wa Vara Vara...
Usilete ya tuku na gwalagwala...
Hili dance acha usela...
Dance tuone dance....
Dance tuone dance...
.
.
.
.
Sicheki na wowote naulinda wangu Moyo...
.
.
.
Wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
.
.
.
.
.
Piga makofi matatu...
Wakipekee ni mtu wa watu....
.
.
.
Kisingekuepo kifo, tungeishi mileleeeeee...
Tunywe tusilewe...
Usingekuepo mwisho, wote tungekwenda mbele..
.
Afya Bora hutunza ujana...
Uzee majaliwa, twalia Lia ukiwa..
Lala pema Chidi mchewa,
My pacha Doto sera..
Jay wa bishi kulala..
Arachuga siki faya..
Wako udongo mwili wa nyama, futi sita utazama...
Sisi wote wa labana, mkumbuke sali sana...
Iwe Nuru ya kiama....
Kesho kisingekuepo kifo tungeishi mileleeeeee....
.
.
.
Weeee... Wee.. wee Mushizo utawaua
Mamamae huyu jamaa ana balaaaaaaa
Jack Simela ama?Dogo jack ndo masta WA hizo kazi ... rip
Gongo 🙌🙌jay combat anajua haat mimi nimempitisha ila anatakiwa awe na akili ya business maana naskia anakula ganja masaa 24 yeye mwenyewe hajui amefikaje sokoni 😂