Swala paka nawalawala...
Toka chini kihuni nang'ang'ara...
Ghadhabu kama che gu wa Vara Vara...
Usilete ya tuku na gwalagwala...
Hili dance acha usela...
Dance tuone dance....
Dance tuone dance...
.
.
.
.
Sicheki na wowote naulinda wangu Moyo...
.
.
.
Wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
.
.
.
.
.
Piga makofi matatu...
Wakipekee ni mtu wa watu....
.
.
.
Kisingekuepo kifo, tungeishi mileleeeeee...
Tunywe tusilewe...
Usingekuepo mwisho, wote tungekwenda mbele..
.
Afya Bora hutunza ujana...
Uzee majaliwa, twalia Lia ukiwa..
Lala pema Chidi mchewa,
My pacha Doto sera..
Jay wa bishi kulala..
Arachuga siki faya..
Wako udongo mwili wa nyama, futi sita utazama...
Sisi wote wa labana, mkumbuke sali sana...
Iwe Nuru ya kiama....
Kesho kisingekuepo kifo tungeishi mileleeeeee....
.
.
.
Weeee... Wee.. wee Mushizo utawaua
Mamamae huyu jamaa ana balaaaaaaa