jay dee alitunyonya sana mandojo & domokaya

jay dee alitunyonya sana mandojo & domokaya

haya na mampya, mbona jamaa hawasikiki na aliyewafilisi kakaa kimya na ushamba wao...
 
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira kuuza sana waliambulia milioni 2 kila mmoja
Source mzee wa jikoni

Jitu zima ka punga!
 
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira kuuza sana waliambulia milioni 2 kila mmoja
Source mzee wa jikoni
ndio wamegundua baada ya kuona show ya Jide ilivyobamba?
 
Wameumbuka kivipi ilhali huyo kibibi ndiyo aliyeanzisha bifu?
sina haja ya kusema bwa chuchu ukweli unajinesha kuwa wao ndio wameumbuka alieanza sio JD alieanza ni huyo huyo mwana Faty..kwanini alitweety habari ambayo haimuhusu kama hakupenda ugomvi??kwa nini watanzania mnapenda kunyonywa hivi????
 
sina haja ya kusema bwa chuchu ukweli unajinesha kuwa wao ndio wameumbuka alieanza sio JD alieanza ni huyo huyo mwana Faty..kwanini alitweety habari ambayo haimuhusu kama hakupenda ugomvi??kwa nini watanzania mnapenda kunyonywa hivi????

Alitwiti nini na kwa nani na lini?
 
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira kuuza sana waliambulia milioni 2 kila mmoja
Source mzee wa jikoni

naona vjana wa ruge mnyonyaji mpo kazni na radio yenu ya wafu...wez nyieeeeeeeeeeeeeeeee Jde ni jembe
 
hao kama walipigwa pesa size yao manake walikuwa wana ushamba wao kila sehemu mmoja kabeba gitaa ili wajulikane kama ni man dojo na domo kaya!!!
 
Back
Top Bottom