ROOM 47 JF-Expert Member Joined May 23, 2022 Posts 2,301 Reaction score 7,460 Jul 23, 2024 #21 Mwanaume aliyetailiwa bila ganzi hawezi kusikiliza huu upuuzi .... .... .....
mshamba_mwingine JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 1,057 Reaction score 4,145 Jul 23, 2024 #22 Depal said: Sasa kama linabana na kutight asiseme 😂 Click to expand... coma sava.... nyimbo zetu za ushishani
Depal said: Sasa kama linabana na kutight asiseme 😂 Click to expand... coma sava.... nyimbo zetu za ushishani
mshamba_mwingine JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 1,057 Reaction score 4,145 Jul 23, 2024 #23 Bob Manson said: Lakini ni mwimbaji mzuri Click to expand... jay melody-kwa wanawake marioo-kwa wavulana simba la masimba dangote-kwa wanaume
Bob Manson said: Lakini ni mwimbaji mzuri Click to expand... jay melody-kwa wanawake marioo-kwa wavulana simba la masimba dangote-kwa wanaume
Bob Manson JF-Expert Member Joined May 16, 2021 Posts 4,158 Reaction score 7,787 Jul 23, 2024 Thread starter #24 ROOM 47 said: Mwanaume aliyetailiwa bila ganzi hawezi kusikiliza huu upuuzi .... .... ..... Click to expand... ..... ..... .....
ROOM 47 said: Mwanaume aliyetailiwa bila ganzi hawezi kusikiliza huu upuuzi .... .... ..... Click to expand... ..... ..... .....
Bob Manson JF-Expert Member Joined May 16, 2021 Posts 4,158 Reaction score 7,787 Jul 23, 2024 Thread starter #25 mshamba_mwingine said: Wanatamka maneno ya kishetani kama 'zombie' ambayo ukiwaiga moja kwa moja unaingia freemason Click to expand... Sasa mkuu kwa maana hiyo, mtaani kwa sasa kuna mafrimasons wangapi?
mshamba_mwingine said: Wanatamka maneno ya kishetani kama 'zombie' ambayo ukiwaiga moja kwa moja unaingia freemason Click to expand... Sasa mkuu kwa maana hiyo, mtaani kwa sasa kuna mafrimasons wangapi?
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Jul 23, 2024 #26 Bob Manson said: Kweli anajua lakini ameamua tu kuzipa amapiano kipaumbele, lakini bado ni mwimbaji mzuri Click to expand... Kabisa mkuu ni msanii mzuri.
Bob Manson said: Kweli anajua lakini ameamua tu kuzipa amapiano kipaumbele, lakini bado ni mwimbaji mzuri Click to expand... Kabisa mkuu ni msanii mzuri.
The Eric JF-Expert Member Joined Feb 23, 2019 Posts 6,446 Reaction score 10,976 Jul 25, 2024 #27 Marioo toto bad