Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Sawa tajiriSasa namtafutaje Mimi tajiri nipo huku kwenye migodi Chunya mdogo wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tajiriSasa namtafutaje Mimi tajiri nipo huku kwenye migodi Chunya mdogo wangu
Siku hizi video hazilipi zimebaki kama njia ya promotion.Hata wasafi (wcb) nao siku hizi wanafeli sana wanachelewesha sana official videos za ngoma zao
Video inakutangaza kimataifaSiku hizi video hazilipi zimebaki kama njia ya promotion.
Sawa.Video inakutangaza kimataifa
Mm mwenyewe nilijiuliza hiki kitu.Huyu bwana mdogo anafeli sana, ametoa hit lakini hataki kutoa video. Sasa wimbo wake kidogo kidogo unapotea masikioni japo ni mkali sana.
Nashindwa kuelewa ni umasikini, kama ni hivo watu wenye fedha zetu hatuwezi kushindwa kumpa milioni 30 atoe video.
Sasa wimbo mkali anachelewa kutoa video, atashangaa akitoa video wimbo ushasahaulika.
Make hapo kwanza nchekeContact Sina Halaf nipo busy kuangalia biashara zangu
Hahahahah behind key boardMake hapo kwanza ncheke
Lakini mda wa kumfungulia uzi unao
🤣🙌Hahahahah behind key board
🤣🤣🤣🤣🤣Mara Ameloaaaa sijui niniii ameloaaaa
Upo bize kuangalia bongo fleva video hadi unajua kuwa Jay hana hiyo video ya wimbo wake?Contact Sina Halaf nipo busy kuangalia biashara zangu
Nyambizi nakupendaaa...Yaani pwa pwa pwa pwaaa pwaaa pwaaa
Nikienda raund 3 kabla hujafika pwaaaa [emoji38]
Wape hi hapo saza,mkwajuni.....luika....Sasa namtafutaje Mimi tajiri nipo huku kwenye migodi Chunya mdogo wangu
Umenikumbusha mbali sana pande hizo asee Saza, Mkwajuni,LuikaWape hi hapo saza,mkwajuni.....luika....