mimi ni mshabiki mkubwa sana wa Jay MO yule wa kundi la wateule, huyu jamaa namu-admire sana anavo-flow hata na mesej na creativity ya nyimbo zake ,ukianzia alivoanza na zile nyimbo za zamani mpaka sasa,simsikii tena katika ulimwengu wa hip hop,mwenye kujua jamaa anaishu gani atujuze, isije kuwa kama jinsi wasanii wengi wanavoishia katika hali duni hapo Tanzania, ni kati ya wasanii waliokuwa chini ya Bongo Records ya Majani.
Baadhi ya nyimbo zake.
maisha ya boarding
kimya kimya
mvua na jua
famous
Vile Vile
story tatu (ina fanana na ya Ludacris)
juma yupo na bado ajakaa kimya kivile alitoa wimbo wa famous na majani kwangu mi binafsi najua kua yupo msanii moja tu wa hip hop tanzania ambaye ni juma mchopanga kuna nyimbo kama hizi: JIPANGE,MO CUMENTARY ETC.
Uyo ni mmoja kati ya Punda wa madawa ya kulevya aliyefanikiwa kupeleka mzigo south afrika na kujipatia senti kadhaa za kubadili mboga na kumlipia ada mdogo wake.
Ni mmoja kati ya wasanii waliomu-inspire magwea kujaribu kazi hii ya upunda wa madawa ya kulevya, hamadi mauti yakamfika.
Sometime nipo Northen Kenya, kwenye kambi za wakimbizi/
umaarufu ndo umefanya, mpaka niitwe kama balozi/
naenda mpaka vijijini, wakulima kuwafuta chozi/
ndo mana sionekani, nikizama maisha naya abuse/