Jay Moe aonyesha utu uzima dawa katika hili game

Jay Moe aonyesha utu uzima dawa katika hili game

Nimeiskiza ni ngoma kali. Japo haijafika viwango vya Jay moe. Tusubirie na mzigo wa Mwana FA asanteni kwa kuja.. Beat kafanya Hermy B, FA anakwambia vita kwa vina kumaaanina au twende bank.
Umesema Vita Kwa Vina....?Au Twende Bank,sijaelewa
 
Kweli superman amerudi,safii.
 
...wengine kwetu 'burudani' ni kupata vitu conscious vya kufikirisha ubongo!

Hua unanunua kazi zao au unazidownload tuu? hawa jamaa wa zamani hawauwezi mziki wa sasa hivi maana pace yake ni kubwa kwa wao ku keep up sio unatoa single moja unapotea sasa hivi unasanda game ya sasa hivi inabidi baada ya miezi miwili mitatu unatoa ngoma....kwa kipindi kile waliweza sasa hivi hawawwzi....
 
Hua unanunua kazi zao au unazidownload tuu? hawa jamaa wa zamani hawauwezi mziki wa sasa hivi maana pace yake ni kubwa kwa wao ku keep up sio unatoa single moja unapotea sasa hivi unasanda game ya sasa hivi inabidi baada ya miezi miwili mitatu unatoa ngoma....kwa kipindi kile waliweza sasa hivi hawawwzi....

Inategemea unamzungumzia nani. .Jay moe hatoi ngoma ili apate pesa ya kulipia kodi ya nyumba na ndo maana kuna mstari anakuambia kuna wasanii wanasukuma mipira ya hatari unaweza ukajua wanaishi nyumba za ghorofa. ....si kila msanii bongo ni kama nassib. ....kwa hip hop ya bongo ni chiddy benz tu alikuwa na pace ya Usain bolt. ..
 
watu wanaangalia mpunga nowadays, heshima bila mkwanja si mali kitu
 
Na ndio mnaowafanya jamaa zetu hawa wakosewe heshma hata na watoto wadogo kama kina Yamoto Band!!

Kama wanafanya Hiphop kama dini ni vizuri wakaendelea na maBeat yao ya kigumu kutoka kwa P~phunk but kama music ni maisha na biashara ni lazma waangalie upya namna ya kukuza hii biashara yao!!

Hivi Eminem anaimba hip-hop gani na bado anauza??
 
Back
Top Bottom