milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,063
Umesema Vita Kwa Vina....?Au Twende Bank,sijaelewaNimeiskiza ni ngoma kali. Japo haijafika viwango vya Jay moe. Tusubirie na mzigo wa Mwana FA asanteni kwa kuja.. Beat kafanya Hermy B, FA anakwambia vita kwa vina kumaaanina au twende bank.
Umesema Vita Kwa Vina....?Au Twende Bank,sijaelewa
Ngoma fata link hii
(3.50mb)Download Jay Moe fEAT Deddy - HILI GAME.mp3
Mkuu avatar yako imenishtua sana.. Nikajiuliza haka kadudu kanafanya nini ndani ya simu yangu... Teh Teh.. Nimejaribu hata kukapangusa
Ngoma fata link hii
(3.50mb)Download Jay Moe fEAT Deddy - HILI GAME.mp3
...wengine kwetu 'burudani' ni kupata vitu conscious vya kufikirisha ubongo!
Hua unanunua kazi zao au unazidownload tuu? hawa jamaa wa zamani hawauwezi mziki wa sasa hivi maana pace yake ni kubwa kwa wao ku keep up sio unatoa single moja unapotea sasa hivi unasanda game ya sasa hivi inabidi baada ya miezi miwili mitatu unatoa ngoma....kwa kipindi kile waliweza sasa hivi hawawwzi....
Hamnaa.. Sjaona kipya.
Hamnaa.. Sjaona kipya.
Na ndio mnaowafanya jamaa zetu hawa wakosewe heshma hata na watoto wadogo kama kina Yamoto Band!!
Kama wanafanya Hiphop kama dini ni vizuri wakaendelea na maBeat yao ya kigumu kutoka kwa P~phunk but kama music ni maisha na biashara ni lazma waangalie upya namna ya kukuza hii biashara yao!!
Tatizo hii nyimbo inamaudhui kama hasi15 ya Nash mc zuzu..
Wachache watakuelewa
JMoe hizo ndio nyimbo zake tangia Nash MC hajaanza kuimba na kumbuka alikuwa hajatoa track yeyote ndani ya miaka 4