Jay Z ana Degree 33 za ufahamu , je unajua kazipataje?

Jay Z ana Degree 33 za ufahamu , je unajua kazipataje?

Mwab Evelina

Member
Joined
Jan 24, 2025
Posts
12
Reaction score
34
Katika level of consciousness viwango vya ufahamu vipo katika degree .

Mfano Jay z Ana degree 33, huyu hauwezi kumuingiza Katika trap kirahisi, maana yeye ndo mmiliki wa hizo trap.

Katika degree ili ufike huko lazima uamshe nguvu ya "Kundalini" kwanza.

Nimeongea hivi maana kuna watu wana degree 2 za ufahamu hawa ndo Kama watanzania walio wengi utawakuta wanafata trend , kusifu ngono na pombe n.k

Wengine utawakuta ni vibarua wa wahindi wanatumikishwa .

Wengine. ndo wale utamkuta anadanganywa na wanasiasa anaenda vitani na kuuliwa .

So somo lijalo nitaelezea kuhusu degree namna ya kujua degree zako.

Ila ukiona unadanganyika kirahisi fahamu degree zako ni ndogo Sana.

Ukiona unatumikishwa na binadamu wenzako fahamu degree zako ni ndogo pia .

Ukiona unaendeshwa na mapenzi fahamu tu kuwa degree zako ni ndogo Sana .

Ukiona unakuwa mlevi Mbwa mpaka unazima ,degree zako za ufahamu ni ndogo .

Unakuwa mzinzi , degree zako ni ndogo .
 
Katika level of consciousness viwango vya ufahamu vipo katika degree .

Mfano Jay z Ana degree 33, huyu hauwezi kumuingiza Katika trap kirahisi, maana yeye ndo mmiliki wa hizo trap.

Katika degree ili ufike huko lazima uamshe nguvu ya "Kundalini" kwanza.

Nimeongea hivi maana kuna watu wana degree 2 za ufahamu hawa ndo Kama watanzania walio wengi utawakuta wanafata trend , kusifu ngono na pombe n.k

Wengine utawakuta ni vibarua wa wahindi wanatumikishwa .

Wengine. ndo wale utamkuta anadanganywa na wanasiasa anaenda vitani na kuuliwa .

So somo lijalo nitaelezea kuhusu degree namna ya kujua degree zako.

Ila ukiona unadanganyika kirahisi fahamu degree zako ni ndogo Sana.

Ukiona unatumikishwa na binadamu wenzako fahamu degree zako ni ndogo pia .

Ukiona unaendeshwa na mapenzi fahamu tu kuwa degree zako ni ndogo Sana .

Ukiona unakuwa mlevi Mbwa mpaka unazima ,degree zako za ufahamu ni ndogo .

Unakuwa mzinzi , degree zako ni ndogo .
Wewe utakuwa huna moto huko chini ndiyo maana umeona kuwa mpenda ngono ni mtu dhaifu.

Baba yako angekuwa si mzinzi na wewe usingezaliwa paka msimbe.
 
Kuna tofauti ya ufahamu.
Kuna ufahamu wa kujua ukashindwa kuwasilisha.
Kuna ufahamu wa kutokujua ukaweza kuwasilisha.
Kuna ufahamu wa nafasi uliyopo ukaonekana una ufahamu mkubwa.
 
Katika level of consciousness viwango vya ufahamu vipo katika degree .

Mfano Jay z Ana degree 33, huyu hauwezi kumuingiza Katika trap kirahisi, maana yeye ndo mmiliki wa hizo trap.

Katika degree ili ufike huko lazima uamshe nguvu ya "Kundalini" kwanza.

Nimeongea hivi maana kuna watu wana degree 2 za ufahamu hawa ndo Kama watanzania walio wengi utawakuta wanafata trend , kusifu ngono na pombe n.k

Wengine utawakuta ni vibarua wa wahindi wanatumikishwa .

Wengine. ndo wale utamkuta anadanganywa na wanasiasa anaenda vitani na kuuliwa .

So somo lijalo nitaelezea kuhusu degree namna ya kujua degree zako.

Ila ukiona unadanganyika kirahisi fahamu degree zako ni ndogo Sana.

Ukiona unatumikishwa na binadamu wenzako fahamu degree zako ni ndogo pia .

Ukiona unaendeshwa na mapenzi fahamu tu kuwa degree zako ni ndogo Sana .

Ukiona unakuwa mlevi Mbwa mpaka unazima ,degree zako za ufahamu ni ndogo .

Unakuwa mzinzi , degree zako ni ndogo .
Mimi Nina degree 32 hiyo moja iliyobaki siitaki kwasababu napenda sana ngono
 
Thermometer inazo degree zaidi ya 40 na bado inashinda kwapani...

eyJidWNrZXQiOiJhcm9nZ2EiLCJrZXkiOiJQcm9kdWN0LXBfaW1hZ2VzXC8zMDEzM1wvMzAxMzMtQ2xpbmljYWwtVGhlcm1vbWV0ZXItVE9TSElCQS1NYW51YWwtTWVyY3VyeS1jb3B5LTRicTh2cy5qcGVnIiwiZWRpdHMiOltdfQ==
 
Katika level of consciousness viwango vya ufahamu vipo katika degree .

Mfano Jay z Ana degree 33, huyu hauwezi kumuingiza Katika trap kirahisi, maana yeye ndo mmiliki wa hizo trap.

Katika degree ili ufike huko lazima uamshe nguvu ya "Kundalini" kwanza.

Nimeongea hivi maana kuna watu wana degree 2 za ufahamu hawa ndo Kama watanzania walio wengi utawakuta wanafata trend , kusifu ngono na pombe n.k

Wengine utawakuta ni vibarua wa wahindi wanatumikishwa .

Wengine. ndo wale utamkuta anadanganywa na wanasiasa anaenda vitani na kuuliwa .

So somo lijalo nitaelezea kuhusu degree namna ya kujua degree zako.

Ila ukiona unadanganyika kirahisi fahamu degree zako ni ndogo Sana.

Ukiona unatumikishwa na binadamu wenzako fahamu degree zako ni ndogo pia .

Ukiona unaendeshwa na mapenzi fahamu tu kuwa degree zako ni ndogo Sana .

Ukiona unakuwa mlevi Mbwa mpaka unazima ,degree zako za ufahamu ni ndogo .

Unakuwa mzinzi , degree zako ni ndogo .

33 ndio wanajiita enlightened. Eti wamepanda mpaka juu kileleni.

Wanasubiri kufa tu😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom