Jay Z ana Degree 33 za ufahamu , je unajua kazipataje?

Mengi ni makorokocho ya kutungwatungwa na kuungwaungwa na watu tu.

I read about the Knight Templars mpaka Freemasons na Illuminati, hizo stories nyingi ni watu wanaungaunga tu.
Kweli Mkuu , baadhi ya mambo yanafikirisha Sana .
 
U
Ukiona unashindwa kutafsiri watu wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi ujue.............
 
Jay Z ndo mwanamuziki.anayeongoza kwa hela duniani.
 

the man is masonic!
 
Nlimsikia siku moja Jay anasema wakiwa kwenye family gathering utakuta mabinamu zake wanamfuata na kumwambia bwana me nna wazo hili la biashara mara wazo lile yeye anawajibu "it doesn't work like that" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…