gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,666
Yule msanii wa Mbeya kwa jina la Agence Mwakitwange almaarufu kama JAY Z , ameliambia gazeti hili hata weza kuhudhuria show ya fiesta kama hata kuwepo Diamond a.k.a Baba Tiffa a.k.a scorpion wa dada zao Kariakoo , kwakuwa hataweza kuwa na kiingilio cha show hiyo..
Ifhamike kwamba wakati wa show ya Diamond Kyela Mbeya ambayo Le Mbururaz alibeba viatu , Diamond alimuahidi msanii huyo atampa offer ya kubeba viatu vyake katika show ya fiesta kwasababu mbeba viatu Le mbururaz atakuwa kumbebea mikoba madame wa taifa a.k.a East Africa sweat heart aliye ziarani China
Gazeti hili lilimnukuu msanii huyo akilalamika kwa rafudhi yake ya kinyakyusa ..."kwakweli buroo nimesikitika sana kukosa show hiyo , najua ningefahamika na kuwa star angalau nami nimpate Gigy money " Alilalamika Jay z..
Hadi tunakwenda mitamboni , simu ya Diamond ilikuwa ikiita na kupokelewa na Mobeto ambaye alidai diamond yupo Malawi katika ziara yake Africa.
Ifhamike kwamba wakati wa show ya Diamond Kyela Mbeya ambayo Le Mbururaz alibeba viatu , Diamond alimuahidi msanii huyo atampa offer ya kubeba viatu vyake katika show ya fiesta kwasababu mbeba viatu Le mbururaz atakuwa kumbebea mikoba madame wa taifa a.k.a East Africa sweat heart aliye ziarani China
Gazeti hili lilimnukuu msanii huyo akilalamika kwa rafudhi yake ya kinyakyusa ..."kwakweli buroo nimesikitika sana kukosa show hiyo , najua ningefahamika na kuwa star angalau nami nimpate Gigy money " Alilalamika Jay z..
Hadi tunakwenda mitamboni , simu ya Diamond ilikuwa ikiita na kupokelewa na Mobeto ambaye alidai diamond yupo Malawi katika ziara yake Africa.