Jay-z kutinga bongo tena mwaka huu

Jay-z kutinga bongo tena mwaka huu

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Msanii machachali wa usa wa miondoko ile ya kufokafoka jay z yaani mumewe beyonce, atatinga bongo na kufanya onyesho matata pale dimond jubile tarehe 26 mwezi wa kumi. Msanii huyo atakua katika ziara yake ya mabara ambapo kwa africa ataanzia tanzania kabla ya kwenda nigeria. wale wapenzi wa miondoka ya kufokafoka naamini tutakua pamoja ndani ya nyumba tukiruka majoka na mengine kuyakanyaga. forever young, newyork,High art,D.O.A, dead president, lucifer,izzo, show me what you get, ain't no nigga, etc. mia
 
utasikia jamaa fulani hapa bongo watasema wao ndio wamemleta.
 
Back
Top Bottom