Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Kwelii kabisaa mi ndio hua sina mudaa kabisaaa
bora waje ile fiesta ya kiutu uzima, kama hii
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwelii kabisaa mi ndio hua sina mudaa kabisaaa
Acheni ujinga na ushamba kwani jay z au kanye kitu gani mpaka watu washindwe kuwaleta bongo????
Hata mimi nakumbuka nilienda tamasha moja tu la B connect lilifanyika mnazi mmoja miaka ya nyuma tena lilikuwa la bureMi labda aje Mungu ndio ntaendaa hawa wengine hata angekujaa nanii siendii
Atakuja October 4 ni kwaajili ya Project yake ya Clean water Campaign anayoifanya kwa muda wa wiki 7 katika nchi mbalimbali duniani. Kwa Tanzania ata ikamilishia Diamond Jubilee(DSM). Joseph kusaga hausiki
maviii iii
Vurugu Za Fiesta zinaishia September kwa mujibu wa ratiba niliyonayo.
Kanye na Jiga ni mabalozi wa maji wa UN, nadhani hiyo ndio inawaleta coz kwa shida Za maji safi Wabongo ndo mwake.
Ova.
acha uwongo. Fiesta inaisha oktoba 18 ambapo ndo main event